Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimchukulie poaHivi mpaka leo hujawaga Billionaire tu...?
Kweli Betting ni mzizi wa umaskini alooh.
SIMBA kamwe haiwezi kukuangusha kamweTimu yangu ya mwisho iliyobaki kwenye mkeka wangu wa timu 25 ni simba iakiamua kuniua sawa siku ya Leo maombi yangu napeleka kwenye hii klabu ya simba sijui ilikuaje mpaka nikaiweka kwenye mkeka asiee maana siiamini maana hivi itatoboa kweli hii timu ya watani zangu
SIMBA kamwe haiwezi kukuangusha kamweTimu yangu ya mwisho iliyobaki kwenye mkeka wangu wa timu 25 ni simba iakiamua kuniua sawa siku ya Leo maombi yangu napeleka kwenye hii klabu ya simba sijui ilikuaje mpaka nikaiweka kwenye mkeka asiee maana siiamini maana hivi itatoboa kweli hii timu ya watani zangu
Sasa mkuu nikupe namba za muamala.gemu imetikiSawa mkuu ngoja tuone Leo maana uliopita man city aliniua
NipangeDah halafu haya makampuni yanafunga cashout
Mwisho wa siku utapigwa mtungoTimu yangu ya mwisho iliyobaki kwenye mkeka wangu wa timu 25 ni simba iakiamua kuniua sawa siku ya Leo maombi yangu napeleka kwenye hii klabu ya simba sijui ilikuaje mpaka nikaiweka kwenye mkeka asiee maana siiamini maana hivi itatoboa kweli hii timu ya watani zangu
Njoo inbox nikufundishee😃😃😃Nami nianze kubet🤒