Ikiwa nafasi ya uenyekiti tu wa chama mnabagazana namna hii ingekuwaje kama mngeshika dola kuhusu nafasi ya Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu na Mawaziri

Ikiwa nafasi ya uenyekiti tu wa chama mnabagazana namna hii ingekuwaje kama mngeshika dola kuhusu nafasi ya Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu na Mawaziri

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Nimekuwa najiuliza sana kama nafasi ya uenyekiti wa chadema tu mnaongea hadi mnapitiliza, mnatukanana hadi wazazi wenu, mmefikia hatua ya kuua udugu wenu, zogo kila kila siku, kila mwanachama anaita vyombo vya habari anafyatuka tu, Mbowe anaongea kule, Lissu anaongea pale, Lema yuko kule, Heche yuko pale, Lwaitama yuko kule, Wenje yuko pale, Bon Yai kule, wenyeviti wa kanda wako huko mikoani nao wanatoa matamko, mara cjui Ntobi, mara Yericko mara Martin mara Mdude, aisee. Hujakaa sawa Pambalu huyoo.

Aisee, sasa tuchukulie mmeshinda nafasi ya urais itakuwaje kwenye nafasi ya PM, MAwaziri, Ubunge wa kuteuliwa, Spika, Jaji Mkuu, na mavyeo mengine si mtakuwa mnapeana tu kama njugu.

Uhuni mtupu kwenye chama hiki
 
Back
Top Bottom