Ikiwa wao wanataka handsome na wenye Pesa Kwa nini wewe iwe kosa ukiwa na vigezo?

Linapokuja swala la mapenzi na mahusiano,WANAUME TUNAKUWAGA WAJINGA SANA. TUNAJIPENDEKEZA NA KUJISHUSHA SANA NA KUPOTEZA HADHI.


Nafunga mkono hoja. Wanaume tujithamini na kuwa na misimamo sio kwenda kwenda tu kama ling'ombe
Ubadilike sasa. Anza kuishi kwa vitendo si maneno. Robert Heriel Mtibeli hajaanza jana wala juzi kuwashtua wahanga. Usiwe mtu wa kusikiliza na kuishia kukaa tu kimya, anza kuishi.
 
Kujipangia unachotaka ni haki yako ya msingi ya kikatiba na kibinadanu.

Wala huhitaji kujieleza sana, ukijieleza sana inakuwa kama hujitambui, unaanza kuomba upya haki yako mwenyewe.
 
Kujipangia unachotaka ni haki yako ya msingi ya kikatiba na kibinadanu.

Wala huhitaji kujieleza sana, ukijieleza sana inakuwa kama hujitambui, unaanza kuomba upya haki yako mwenyewe.
Kiranga huwa naku imagine sana. Ni mtu wa aina gani? Na guess ni dubwasha kuuubwa, halafu kumbe huenda ni mwembamba mfupi mweupe.[emoji23][emoji23][emoji23]

Anyways napenda michango yako
 
Hii ni kweli kabisa, haya mambo walioleta wazungu mambo ya equal rights wanatuvurugia sana dada zetu , wanaleta jambo ambalo hta wao in reality hawawez kulipractice..
 
Linapokuja swala la mapenzi na mahusiano,WANAUME TUNAKUWAGA WAJINGA SANA. TUNAJIPENDEKEZA NA KUJISHUSHA SANA NA KUPOTEZA HADHI.


Nafunga mkono hoja. Wanaume tujithamini na kuwa na misimamo sio kwenda kwenda tu kama ling'ombe
Nawashangaaga sana vijana wenzangu, ili mwanamke ajue unampenda eti lazima uwe fala, yan unakuta jitu limekuwa zezeta, linateseka alafu linasema hayo ni mapenz.. Maisha yenyewe mafupi, ni ujinga mtupu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…