Ikiwa wao wanataka handsome na wenye Pesa Kwa nini wewe iwe kosa ukiwa na vigezo?

Ikiwa wao wanataka handsome na wenye Pesa Kwa nini wewe iwe kosa ukiwa na vigezo?

Kwa tabia hii ndiomana naitwa mjeuri, mjivuni, mwenye dharau, I tell them am the king huwezi kuwa malkia kwenda zako siabudu K naipata anytime, nawaambia sina mawazo ya katiba mpya mimi mwenyewe ni katiba tosha.
 
Kwa tabia hii ndiomana naitwa mjeuri, mjivuni, mwenye dharau, I tell them am the king huwezi kuwa malkia kwenda zako siabudu K naipata anytime, nawaambia sina mawazo ya katiba mpya mimi mwenyewe ni katiba tosha.

Huo ukoloni sasa
 
Kwa tabia hii ndiomana naitwa mjeuri, mjivuni, mwenye dharau, I tell them am the king huwezi kuwa malkia kwenda zako siabudu K naipata anytime, nawaambia sina mawazo ya katiba mpya mimi mwenyewe ni katiba tosha.
Bravoooooooo! Wadiiiiiiiiiiiiiz

Boya gani huyo anayekuambia una dharau na unajisikia mkuu???

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Japokuwa umetufokea Sana lakini tumekuelewa mkuu.Ushauri wako tutaufanyia kazi.
 
Mzee wa taikuni again.
Mwanamke akikuacha kisa huna pesa kakupa baraka
 
Back
Top Bottom