nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
duh kumbe chizi fresh hili!Wewe mshamba mwingine kutoka Kolomije Kaa kimya. Hivi unajuwa Ben Saanane alikuwa anahoji nini mpaka Magufuli akamuua?
Upo Uzi wa Ben Saanane hapa nitakuletea. Mpaka anakufa mwaka jana alishindwa kujibu uhalali wa PhD yake ya maganda ya korosho. Usitupotezee muda hapa kwa ubishi wa kitoto. Wewe mwenyewe ni mbumbumbu tu
Acha kujifanya unawajua watu wakati huwajui!!Lkn nyie wahuni mlinyooka vzr, hatimaye sasa mnalambishwa asali
Misukule ya Mwendazake inajaribu kulink kila shortcoming ya kipindi hiki including natural disasters na yule DIKTETA. Watakuambia eti angekuwapo bei ya dizeli isingepanda au bei ya unga na mchele visingepanda. I think level ya foolishness kwa Watanzania ni astronomicalAcha kujifanya unawajua watu wakati huwajui!!
And don't pretend like you guys mambo yaliwanyookea kweli kweli wakati ilikuwa njaa tupu!! Zaidi ya kuwa wapiga mapambio na kujitoa ufahamu, 99.99% of you guys were nothing not only to him but to the entire circle!1
That being said, hakuna madhira ambayo walikutana nayo critics wake ambayo mavuvuzela hayakuwakuta!
Five years ... hakuna ajira za kueleweka!! Unataka kusema ni critics wake ndio walikuwa hawaajiriwi lakini Waimba mapimbio waliojaa mitandaoni ndio walikuwa wanaajiriwa?!
THINK!
Ni upuuzi mtupu! Wanajisahaulisha kwamba wakati anaingia madarakani, bei ya korosho soko la dunia ilikuwa mzuri kweli kweli, wakaanza kudanganya watu kwamba ni JPM ndie kafanya bei ya korosho Tanzanai kuwa mzuri!Misukule ya Mwendazake inajaribu kulink kila shortcoming ya kipindi hiki including natural disasters na yule DIKTETA. Watakuambia eti angekuwapo bei ya dizeli isingepanda au bei ya unga na mchele visingepanda. I think level ya foolishness kwa Watanzania ni astronomical
Magufuli alikuta bei ya sukari ni Tsh 1,800/- kwa kilo. Akaleta UJINGA wake toka Kolomije sukari ika hit mpaka Tsh 3,000/- na haijawahi teremka tena. Ila wajinga bado wanamuona shujaaNi upuuzi mtupu! Wanajisahaulisha kwamba wakati anaingia madarakani, bei ya korosho soko la dunia ilikuwa mzuri kweli kweli, wakaanza kudanganya watu kwamba ni JPM ndie kafanya bei ya korosho Tanzanai kuwa mzuri!
Kama ilivyo kwa ada kwa vitu ambavyo vipo beyond our control, few years later bei ya korosho soko la dunia ikaporomoka na TZ bei ikaporomoka!!
Dah! Hii fact ilishaanza kusahaulika manake ilikuwa ndo blanda yake ya kwanza kabisa mara tu alipoingia madarakani!Magufuli alikuta bei ya sukari ni Tsh 1,800/- kwa kilo. Akaleta UJINGA wake toka Kolomije sukari ika hit mpaka Tsh 3,000/- na haijawahi teremka tena. Ila wajinga bado wanamuona shujaa
Wa namna gani??Tunataka Rais wa namna hii, wasaliti sio wa kuwachekea
Na watu ni wasahaulifu sana, lazima tuwakumbusheDah! Hii fact ilishaanza kusahaulika manake ilikuwa ndo blanda yake ya kwanza kabisa mara tu alipoingia madarakani!
Kumbe huwa unanisoma?Wewe unajulikana kwamba hizi ndio thread zako za kila siku....hivi taifa halina agenda zingine za kujadili, mpaka kila siku utulalamikie kwamba Magufuli alikupiga kwenye mshono? Kwamba ulipapaswa makalio? Shenz kabisa...kila uchawao Magufuli alikufanya hivi...mnakera sana
Duuh damu za watanzania zinazidi kuwatafunaNi miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu.
Kwa mtiririko huu tumuombee Mpina.Duuh damu za watanzania zinazidi kuwatafuna
Ni kweliDuuh damu za watanzania zinazidi kuwatafuna
Umeumbuka vibaya sana.Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli ataonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Huyu jamaa alikuwa mjinga sana hakika; actually naamini alikuwa na maradhi ya akiliNi miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu.
Lakini aliwashindwa mafisadi ndani ya chama chake fisadiBaada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli ataonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Tozo kulipa sio shida,je inafanyia kazi gani hio tozo?Tozo lazima zilipwe na tozo ziko specific kwa maendeleo ya Vijijini anaepinga ni mhujumu uchumi na msaliti..
Mwendazake angekuwepo tozo mngelipa na hakuna ambae angenyanyua Domo kama vile wanafanya kina Assad,Kitwanga,Chadomo na wapuuzi wengine..
Mnadekezwa na kuchelewa Sana na SSH na sielewi kama anajua hasa aina ya watu anaowaongoza..
Binafsi naona Lissu alipenda kumkomoa Magufuli kupitia mocking statements. Kwa title aliyokuwa nayo Magufuli ilihitaji mtu mwenye busara sana na uvumilivu. Sio wote wanaweza.Swali la kuuliza wanaoshangilia hii hotuba ni nani aliyeanzisha vyama vyingi na je hao wanaoitwa waropokaji wanakuwa wanaongea mawazo yasiyo na mantiki?
Nchi zinazojulikana kuwa na chama kimoja tu ni China na Cuba.
Russia hata wawepo wapinzani wote huishia kuswekwa jela na mtu yeyote anayemkosoa Putin kama hatapigwa risasi basi atanyweshwa sumu hata akikimbilia nje ya nchi.
Huyu mwanakwendazake mliona alivyofanya kwenye uchaguzi wa 2020 na tulishuhudia yaliyomkuta na kundi lake.
CCM ni ileile na mimi na jiwe ni yuleyule, alisikika akisema.Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu.