Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Anandunda wakati mwenzako katiwa ulemavu, hakuna Lissu alichoshindana zaidi ya kujikuta anashambuliwa na kupata bahati ya kutoka hai sasa huo ushindi sijui hata wa aina gani na wakati wewe unamuona mshindi yeye bado hayupo hata kisaikolojia toka atokewe na lile tukio.

..sisi tunaendelea kumshukuru MUNGU kwamba Lissu bado yuko hai anadunda.

..hata kama Lissu angepata ulemavu na kutembea kwa kutambaa bado tungemshukuru MUNGU.

..Lissu yuko vizuri tu kiakili na kisaikolojia. Baada ya kushambuliwa ameandika kitabu cha historia ya mabunge ya Afrika Mashariki.

..Kwa kifupi anafanya vizuri kuliko wengi walivyotarajia baada ya tukio la Sept 7, 2017.
 
Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli ataonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
kwa nini umuue kwa namna ile wakati unaweza kumkamata na kushtaki
 
kwa nini umuue kwa namna ile wakati unaweza kumkamata na kushtaki
Msaliti wa taifa ni hatari sana. Kila nchi wanawaua! Usidanganywe na neno demokrasia! Wanauawa tu, mpaka nchi nyingine wanauwa watu wa nchi nyingine wanaiodhani wamewasaliti kwa milengo yao tu! Mfano kuuawa kwa Patrice Lumumba! Ghadafi, bin Laden etc. Itakuaje kwa saliti nchini mwako! Usipoliua nchi inaangamia, maana msaliti anatumikia maadui wa nchi yako!
 
Acha uwongo wako late age iko wapi hapo? Joe Biden kaingia State House ya USA akiwa 77, Trump yuko above 80 bado anataka kurudi White House, Raila alikuwa anagombea akiwa above 70.

Magufuli hawezi ku REST IN PEACE kama unavyotaka kwa vile yeye mwenyewe aliiba uchaguzi wote wa 2020 na kuweka wabunge wake ambao alitaka waje wampitishe kubadili Katiba na kuondoa ukomo wa utawala pale mwaka 2025 ili aendelee kutawala. Mungu akatenda tulichotaka Watanzania tulio wengi kwa kumpekea Jehanam
Tulia ww shangingi wa mtaa vaaa dera kademke huko
 
Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.

Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu.

Inaumiza sana...

Halafu watu wakimsema Magu, wanatokea Misukule na kudai eti "oh, una chuki na Magufuli"!

Ni shetani na ukoo wake tu ndie anaweza kumtukuza muuaji!!
 
Kwani angetaka kumuua si angemmaliza tu au unadhani kipi kilishindikana kummalizia Lissu baada ya kutoka hai kwenye lile shambulizi?
Angemmalizia wapi?! Kwenye eneo la tukio ambako tayari watu walishafika, au Dom Hospital ambako kwa kujua nia ovu, watu fasta wakamtoa na kumpeleka Nairobi?1 Au angeenda kumuulia Ubelgiji alikoioshi muda mrefu tangu anusurike na unyama huu?!
 
..sisi tunaendelea kumshukuru MUNGU kwamba Lissu bado yuko hai anadunda.

..hata kama Lissu angepata ulemavu na kutembea kwa kutambaa bado tungemshukuru MUNGU.

..Lissu yuko vizuri tu kiakili na kisaikolojia. Baada ya kushambuliwa ameandika kitabu cha historia ya mabunge ya Afrika Mashariki.

..Kwa kifupi anafanya vizuri kuliko wengi walivyotarajia baada ya tukio la Sept 7, 2017.
Mungu anashukuriwa kwa kila jambo, kilichomtokea Lissu ambaye alikuwa mzima kabisa na sasa alivyo ni katika mitihani ya Mungu hivyo si suala la ushindi hilo. Mwenzenu amepitia mateso wewe si ajabu hujawahi hata kulala kituo cha polisi halafu unakuja hapa kusema et Lissu mshindi na anafanya vizuri.
 
Angemmalizia wapi?! Kwenye eneo la tukio ambako tayari watu walishafika, au Dom Hospital ambako kwa kujua nia ovu, watu fasta wakamtoa na kumpeleka Nairobi?1 Au angeenda kumuulia Ubelgiji alikoioshi muda mrefu tangu anusurike na unyama huu?!
Kwahiyo unataka kusema kwamba watu waliweza kudhibiti wasiojulikana kuweza kummalizia Lissu?
 
Mungu anashukuriwa kwa kila jambo, kilichomtokea Lissu ambaye alikuwa mzima kabisa na sasa alivyo ni katika mitihani ya Mungu hivyo si suala la ushindi hilo. Mwenzenu amepitia mateso wewe si ajabu hujawahi hata kulala kituo cha polisi halafu unakuja hapa kusema et Lissu mshindi na anafanya vizuri.
Tumekwisha SEMA kuwa Tundu Lissu ni mshindi dhidi ya udhalimu wa yule dikteta wa Chato. Haijalishi Lissu ana ulemavu wa kudumu lakini yuko hai wakati DIKTETA wa Chato amekuwa Chakula cha minyoo.

Hakuna furaha kama kuona adui yako akilamba mchanga
 
Kwahiyo unataka kusema kwamba watu waliweza kudhibiti wasiojulikana kuweza kummalizia Lissu?
Suala sio kudhibiti... si umeshasema "Wasiojulikana"?! Sasa watafanyaje tukio mbele za watu na bado wakabaki kuwa "wasiojulikana"?
 
Tumekwisha SEMA kuwa Tundu Lissu ni mshindi dhidi ya udhalimu wa yule dikteta wa Chato. Haijalishi Lissu ana ulemavu wa kudumu lakini yuko hai wakati DIKTETA wa Chato amekuwa Chakula cha minyoo.

Hakuna furaha kama kuona adui yako akilamba mchanga
Ni furaha inayosababishwa na uvivu wa kufikiri sawa sawa, Magufuli hakuwa Mungu tuseme kwamba hatukutegemea atakufa kama ambavyo hata huyo Lissu atakuja atakufa pia.

Sasa kifo kila mtu lazima kimkute utake usitake ila ulemavu sio kitu ambacho kila mtu atakipata, sasa Lissu alikuwa mzima ila katiwa ulemavu na hakuweza kulipa kisasi na mwishoni nae kifo kitamuhusa.
 
Suala sio kudhibiti... si umeshasema "Wasiojulikana"?! Sasa watafanyaje tukio mbele za watu na bado wakabaki kuwa "wasiojulikana"?
Wewe unaona kwamba wasingeweza kummalizia Lissu ndio nauliza ni kwa sababu watu walidhibiti hilo kutokea ndio ikashindikana au kwamba wahusika hawakuwa na hilo wazo?

Kwani walivyommiminia risasi mchana kweupe mbona hawakujulikana? Lengo ni kuuwa hivyo sio lazima watumie risasi maana hata mwanzo wangeweza kumteka na kukuta maiti yake tu kwenye kiroba maana walikuwa wakimfuatilia kwa muda tu.
 
Mpaka naandika hizo reference bado unadhani sijui PhD nini? Nenda ukakojoe ulale tu
unataka kusema ukiweza kuandika hizo reference maana yake unaijua phd?

ni nani mwingine amewahi kupewa phd zawadi kama ilivyofanyika kwa magufuli?
 
Nazan inatosha thread za aina hii kla sku ata km wanasema madikteta huwa hawasahauliki
 
Mungu anashukuriwa kwa kila jambo, kilichomtokea Lissu ambaye alikuwa mzima kabisa na sasa alivyo ni katika mitihani ya Mungu hivyo si suala la ushindi hilo. Mwenzenu amepitia mateso wewe si ajabu hujawahi hata kulala kituo cha polisi halafu unakuja hapa kusema et Lissu mshindi na anafanya vizuri.

..Ni jambo la furaha na kumshukuru MUNGU.

..waliomdungua risasi nia yao ilikuwa afe lakini Lissu bado yu hai, yuko active, ukiacha changamoto ya ulemavu.

..kwa mashabiki na marafiki wa Tundu Lissu huo ni USHINDI dhidi ya waliotaka afe kwa risasi za Sept 7, 2017.

NB:

..baadhi yetu tuliambiwa Lissu ametangulia mbele za haki pale Dodoma Hospital.

..baadae zikatoka taarifa kuwa yuko mahututi atapelekwa Nairobi.

..Sasa fast forward mpaka leo hii. Kwanini watu wasimshukuru na kumsifu MUNGU?
 
Kwa ulivyoandika, inamaana angetuma watu wakamuue hospitali? Unaona ilikua rahisi hivyo?
Lissu hatarudia alichokuwa akikifanya, hauwezi saliti taifa lililo kusomesha kwa garama, baada ya kuelemika unaanza kuuza siri za serikali kwenye kambi ya maadui wa nchi,tena anabahati ingelikuwa Mimi ndiye Rais angetumbukizwa kwenye pipa la tindikali kama alivyofanyiwa Kashogi yule mwandishi wa habari wa Saudia
 
Back
Top Bottom