Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Hawa watu wanaoutetea ukatili na ujinga wa mwendazake badala ya kutoa kauli za kumuombea msamaha wanazidi kutia hasira kwa wote walioathirika naye.
Wasilojua ni kuwa wanaweza kuwafanya watu wawe na chuki mpaka kwa mjane wake Janet na watoto wake pia.
Wasituletee ujinga, yule jamaa alikuwa kiongozi wa hovyo sana kupata kutokea katika nchi hii
wewe si mzima, huo u hovyo wa magufuri unaweza kuuweka hapa, na ambao sio u hovyo wa viongozi unaowapenda ni upi?

manina zenu.
 
Hawa watu wanaoutetea ukatili na ujinga wa mwendazake badala ya kutoa kauli za kumuombea msamaha wanazidi kutia hasira kwa wote walioathirika naye.
Wasilojua ni kuwa wanaweza kuwafanya watu wawe na chuki mpaka kwa mjane wake Janet na watoto wake pia.
Wasituletee ujinga, yule jamaa alikuwa kiongozi wa hovyo sana kupata kutokea katika nchi hii
ukiwa mwizi huwezi mpenda magufuli!

mkwepa kodi hawezi kumpenda magufuli

madawa ya kulevya huwezi mpenda magufuli

vyeti feki

na hiki ndio kilisababisha magufuli akawa na maadui ccm na upinzani

maana ccm kumejaa wezi, upinzani kumejaa wakwepa kodi na wauza madawa ya kulevya.
 
Ukichunguza waliopewa kazi ya kumchafua magufuli wengi wao ni mbumbumbu wasiojua kitu zaidi ya chuki.
 
Unapigiwa kelele kuna mtu kakuita kwenye huu uzi? Hutaki kusikia usichopenda pitia mbali post za wanaume.
Na wewe ni mwanaume?mwanaume unamlilia mwanaume mwenzio ili iweje?
 
Bado unapambana na marehemu, tumwombee tu Mwenyezi Mungu amjalie rehema sisi wote kila mmoja ana madhambi yake.
 
Jamaa angeweza kufanya mambo yake kimyakimya asingepata lawama kama hizi anazopata baada ya kifo chake. Mimi simsamehi kwa kuubaka uchaguzi wa mwaka 2020. Huyu mtu angeendelea kuwepo angeweza hata kusababisha civil wars. Tumuunge Mama Samia mkono kwasababu angalau alionyesha utu kwa kumtembelea Lissu hospitalini. Mashetani kama Makonda, Hapi, Sabaya, na wengine ilibidi nao wasaidiwe kumfuata kiongozi wao.
 
samahani mkuu huyo nebukadneza ndie nani ndugu yangu
Nebukadineza alikuwa ndiye mfalme wa Dola kubwa ya Babeli (Babylon) ambayo ni Iraq ya sasa. Huyu mbabe ndiye aliyevunja kwa Mara ya kwanza himaya ya wana wa Israel pale Yerusalem kwa kuwapeleka uhamishoni kwenye mwaka 650 BCE. Nebukadineza baada ya kupata madaraka alikengeuka na kuanza kukufuru na ndipo akapata adhabu aliyopata. Soma kitabu cha Ezekiel na cha Daniel kwenye biblia
 
Unabisha kwa kutumia negative sio weledi mkuu. Hiyo age ya Magu kwa huku kwetu ni kama late age tuu kwakuwa hawa wazee wetu sio kama hao uliowataja.

Kwanza tambua late age inategemea na mazingira . Kuwa kiongozi katika umri wa 77/79 kwa Wamarekani sawa kwasababu kwao nchi ina mfumo wa kujiendesha katika kila sehemu . Mfano Bunge, Mahakama na Serikali kuu. Mfumo imara ukiwepo mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kuwa kiongozi hata Mzee Mwinyi(ruksa) unaweza kumrudisha.

Hapa kwetu kuna shida nyingi sana na serikali haiwezi kujiendesha bila kiongozi sio mfumo. Hapa namaanisha mfumo unamfuata kiongozi sio kiongozi kufuata mfumo.

Ukiachana na hizo akili zako za kuvukiaj barabara , naweza kukwambia tu Jpm umri wake kiafrika hasa kisiasa ni late age.
Labda ni late age kwa watu wa kwenu Kolomije na Chato, sisi wa nyanda za juu kusini huo ni uvulana bado. Mimi mwenyewe nina miaka 63 na bado niko fit. Hilo DIKTETA lenu likikuwa liasherati likauvagaa UKIMWI na ukamdhoofisha kwa kuwa alikuwa anatumia pacemaker kifuani iliyochakaa
 
Hilo swali unalojiuliz kila mtu anajiuliza na ndio msingi wa mleta Thread
Mleta Thread anazungumzia kauli za Magufuli kabla ya tukio la kushambuliwa Lissu kwa maana ni muendelezo wa kuonesha kuwa Magufuli ndio alikuwa muhusika, sasa mimi ndio najiuliza imekuaje wamefanya mambo ya wazi yenye kuwafanya kunyooshewa wao kidole.
 
Wanaompenda Magufuli ni makundi makubwa ya wajinga ambao ndiyo wengi Tanzania. Unaongelea vyeti feki wakati yeye mwenyewe Magufuli alikuwa na PhD feki. Unaongelea ufisadi wakati yeye Magufuli amekufa bika kujibu tuhima za matumizi mabaya ya Tsh 2.4 Trillion zilizohojiwa na CAG Prof Assad.
 
Hiyo ndio iliyokuwa akili ya Magu. Ukiona tunasisitiza kuwa hakustahili kufikia cheo cha urais, usidhani tunasema hivyo kwa bahati mbaya.
Basi tungeendelea kuona mashambulizi mengine mfano wa Lissu maana wengine wanasema alifanya vile ili kujenga uwoga kwa wakosoaji na wanaharakati kwenye utawala wake.
 
Wanaompenda Magufuli ni makundi makubwa ya wajinga ambao ndiyo wengi Tanzania. Unaongelea vyeti feki wakati yeye mwenyewe Magufuli alikuwa na PhD feki. Unaongelea ufisadi wakati yeye Magufuli amekufa bika kujibu tuhima za matumizi mabaya ya Tsh 2.4 Trillion zilizohojiwa na CAG Prof Assad.
Sio kila asiye na chuki na Magufuli basi anampenda Magufuli na kumpenda mtu haina maana ya kwamba huyo mtu ni mkamilifu hana makosa.
 
Wanaompenda Magufuli ni makundi makubwa ya wajinga ambao ndiyo wengi Tanzania. Unaongelea vyeti feki wakati yeye mwenyewe Magufuli alikuwa na PhD feki. Unaongelea ufisadi wakati yeye Magufuli amekufa bika kujibu tuhima za matumizi mabaya ya Tsh 2.4 Trillion zilizohojiwa na CAG Prof Assad.
ulichoandika hapa ni definition halisi ya mtu mbumbumbu

phd fake kwa mujibu wa nani? unaweza kuweka ushahidi wa hilo?
 
Mpumbavu ni wewe kmmmk... Uhuru wa habari is bullshit kwa nchi yenye mamluki kama Bongo.
Duh!! Kama Uhuru wa habari ni bullshit basi huna hadhi ya kuandika humu JF.
 
Wow! bad manners kutusi watu.
Have some manners,for me JPM ni hero no matter utasema matusi gani.
Wewe si ni mjinga tayari, hatuna ubishi na hero wako. Keep him
 
I wiri diri with them...alisikika chizi mmoja kabla ya kujiua kwa covid.
 
Wewe tunakujua ni sababu alikubutua akakuachia kilema!

Sasa uhuru wa habari uliopo sasa hivi ni upi?

Sifia sifia ndio uhuru wa habari?

Hujasikia kama kuna chombo kimetozwa faini ya milooni w kisa kimeandika maoni ya afande sele kuhusu tozo?

Umejaza mavi kichwani kwako.
Kama huoni tofauti wewe ni kipofu mpaka kwenye ubongo. Hicho chombo kimeandika taarifa ambayo Serikali inaiona iko kinyume cha Sheria. Wameipiga faini ya Tsh 2,000. Yule SHETANI tuliyemzika Chato alipoandikwa vibayabna Eric Kabendera akamtafutia kesi ya kutakatisha fedha Ili asitoke rumande.

Acheni kufananisha vitendo viovu vya DIKTETA na utawala wa Samia unaoheshimu Demokrasia, Uhuru wa Maoni na Rule of Law
 
ulichoandika hapa ni definition halisi ya mtu mbumbumbu

phd fake kwa mujibu wa nani? unaweza kuweka ushahidi wa hilo?
Kama hujui kuwa PhD ya Magufuli ilikuwa feki basi ni wewe tu. Thesis ya Magufuli kuhusu maganda ya korosho ilikwishandikwa na Dr Y Philip. Supervisor wa Magufuli ndiye aliyekuwa Supervisor wa Philip. Hatimaye alimzawadia Prof Buchashaija uteuzi baada ya kupata Urais wa Tz
 
Back
Top Bottom