Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Ukitaka kujua kuwa ni maagizo ya dhalimu, jiulize ni nani alitoa amri ya askari wanaolinda gate wasiwepo hapo getini siku hiyo. Na kama polisi kweli hawakupokea amri kutoka juu kwa dhalimu kuhusu hilo shambulio, mbona hawajaanza na askari waliopaswa kuwepo getini na hawakuwepo. Hapo mchezo mzima umeisha.
Ni hivi, ni rahisi kabisa kumtuhumu Magufuli au serikali hata mtoto mdogo anaona hilo wala haliitaji akili kubwa ila nachojiuliza ni kwamba hivi walifanya uzembe hawakujua kwamba wamefanya mambo ambayo yatafanya wahisiwe wao moja kwa moja?

Unamfuatilia mtu muda wote ila unakuja kumshambulia mchana kweupe kwenye eneo lenye ulinzi, unaenda kutoa camera,unatoa walinzi. Nashindwa kuelewa kuelewa kabisa jambo hili.
 
Kwani Lissu ni nani?wamekula chuma wanaharakati mashuhuri Duniani akina Martin Luther baadaye Rais Kennedy baada ya kwenda kinyume na serikali.
Acheni ushamba ukipambana na dola matokeo ni mawili aidha ufe au uishi,sasa unataka kuwa mwanaharakati kuishambulia serikali alafu unataka uwe salama,kweli?
Muulizeni Hichilema aliyopitia,katika battle yoyote yupo atakayeshinda na atakayeshindwa na ndiyo maana wakati mwingine mwanaharakati anashinda na Serikali inaanguka au viceversa.Siyo kila siku kutupigia kelele juu ya Lissu, ndiyo maisha aliyochagua,yakimpata ni yake.
Ata Magufuli na yeye vita yake iliishia njiani baada ya maadui zake kumzidi Maarifa na leo hatunaye.
 
Hilo shambulizi halikupangwa na TISS kama watu wanavyofikiri. Bali lilipangwa na Empty Head Daudi Bashite na Richard Musalika Makungu aliyekuwa incharge wa Operations za TISS.

Modest Kapilimba alitaarifiwa tu lakini hakubariki huu upuuzi ufanyike. Sasa wanaoshangaa kwa nini lilifeli wajiulize je Bashite aliyefeli O-level na kufoji cheti cha Makonda kweli anaweza akawa ndiye mtu tegemewa kuratibu operation kama hiyo?
Naona kila mmoja ana maoni yake.
 
Magufuli ni hero wa wapumbavu kama wewe. Magu alizima uhuru wa maoni, alitishia kuvufingia vyombo huru vya habari. Akalitawala Bunge kutokea Ikulu kwa remote, na kuitisha Mahakama. Still unasema alikuwa ana nia nzuri? Hiyo ndiyo dhana ya MADIKTETA wote Kama akina Hitler, Mussolini nk. Huwekeza mtaji kwenye foolish population na huonekana watetezi wa wanyonge.
Wewe tunakujua ni sababu alikubutua akakuachia kilema!

Sasa uhuru wa habari uliopo sasa hivi ni upi?

Sifia sifia ndio uhuru wa habari?

Hujasikia kama kuna chombo kimetozwa faini ya milooni w kisa kimeandika maoni ya afande sele kuhusu tozo?

Umejaza mavi kichwani kwako.
 
Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli ataonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Ali deal na wasaliti ama hakutaka kusikiliza maoni mbadala yaliyokuwa yanatolewa kwa njia halali bila kificho? Anyway, JPM is now history.
 
Ni hivi, ni rahisi kabisa kumtuhumu Magufuli au serikali hata mtoto mdogo anaona hilo wala haliitaji akili kubwa ila nachojiuliza ni kwamba hivi walifanya uzembe hawakujua kwamba wamefanya mambo ambayo yatafanya wahisiwe wao moja kwa moja?

Unamfuatilia mtu muda wote ila unakuja kumshambulia mchana kweupe kwenye eneo lenye ulinzi, unaenda kutoa camera,unatoa walinzi. Nashindwa kuelewa kuelewa kabisa jambo hili.

Hiyo ndio iliyokuwa akili ya Magu. Ukiona tunasisitiza kuwa hakustahili kufikia cheo cha urais, usidhani tunasema hivyo kwa bahati mbaya.
 
Kwani Lissu ni nani?wamekula chuma wanaharakati mashuhuri Duniani akina Martin Luther baadaye Rais Kennedy baada ya kwenda kinyume na serikali.
Acheni ushamba ukipambana na dola matokeo ni mawili aidha ufe au uishi,sasa unataka kuwa mwanaharakati kuishambulia serikali alafu unataka uwe salama,kweli?
Muulizeni Hichilema aliyopitia,katika battle yoyote yupo atakayeshinda na atakayeshindwa na ndiyo maana wakati mwingine mwanaharakati anashinda na Serikali inaanguka au viceversa.Siyo kila siku kutupigia kelele juu ya Lissu, ndiyo maisha aliyochagua,yakimpata ni yake.
Ata Magufuli na yeye vita yake iliishia njiani baada ya maadui zake kumzidi Maarifa na leo hatunaye.

Unapigiwa kelele kuna mtu kakuita kwenye huu uzi? Hutaki kusikia usichopenda pitia mbali post za wanaume.
 
Walijuwa wewe mjinga tu kwa muonekano wa kichwa chako na macho yako (mongol). Wakakusifia UJINGA nawe ukafurahi.
Wow! bad manners kutusi watu.
Have some manners,for me JPM ni hero no matter utasema matusi gani.
 
Ni hivi, ni rahisi kabisa kumtuhumu Magufuli au serikali hata mtoto mdogo anaona hilo wala haliitaji akili kubwa ila nachojiuliza ni kwamba hivi walifanya uzembe hawakujua kwamba wamefanya mambo ambayo yatafanya wahisiwe wao moja kwa moja?

Unamfuatilia mtu muda wote ila unakuja kumshambulia mchana kweupe kwenye eneo lenye ulinzi, unaenda kutoa camera,unatoa walinzi. Nashindwa kuelewa kuelewa kabisa jambo hili.
Hilo swali unalojiuliz kila mtu anajiuliza na ndio msingi wa mleta Thread
 
Ukiona Mungu ameruhusu kiongozi mkubwa wa Taifa kuondoka katikati ya utawala wake, yakupasa kujiuliza sana aina ya uongozi wake!

MUNGU HAPENDI UONEVU, MUNGU HADHIHAKIWI
Kumbuka umri aliokufa nao Yesu!
 
Hivi ile vita vya kiuchumi alianzisha Magufuli nani alishinda. Zile raslimali zetu alizosema analinda, mbona hatuoni zikitumika ili zituokea na hizi tozo? Au alitumia kivuli cha raslimali ili kuhalalisha ukatili wake kwa watu aliokuwa hawapendi?
Hawa watu wanaoutetea ukatili na ujinga wa mwendazake badala ya kutoa kauli za kumuombea msamaha wanazidi kutia hasira kwa wote walioathirika naye.
Wasilojua ni kuwa wanaweza kuwafanya watu wawe na chuki mpaka kwa mjane wake Janet na watoto wake pia.
Wasituletee ujinga, yule jamaa alikuwa kiongozi wa hovyo sana kupata kutokea katika nchi hii
 
Kwa taarifa yako hakutegemea hatakufa maana yeye sio Mungu. Na ifahamike Lisu aliwahishwa Nairobi sehemu ambayo hakuwa na mamlaka nayo. Ingekuwa alipelekwa Muhimbili kama alivyotaka, leo hii Lisu na yeye wangekuwa na sifa ya marehemu.
Nasikia hata Nairobi Rais Kenyatta aliweka ulinzi mzuri tuu kwa Lissu asidhuriwe
 
Wewe kwa akili yako unahisi Magufuli alikufa a natural death😁😁😁? Few bastards made to believe that pathetic lie...

Well imekuwa ndio mfumo wa fisi for years eating another mans flesh while its still breathing.
Mgufuli ilikuwa ni walking carcass, covid ilikuja kummalizia tu, asikudanganye mtu kuwa kauawa. Nenda pale kwa Prof Janabi au Prof Mchembe ukaone rekodi zake.
Defilbrator aliyowekewa mwaka 1992 akiwa mwanafunzi wa UDSM ilikuwa imechakaa kabisa
 
Back
Top Bottom