cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Inategemeana na usahihi wa kipimo kutoa majibuWewe kwa akili yako timamu unadhan papai linaweza kuwa na corona? au parachichi kuwa na malaria?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemeana na usahihi wa kipimo kutoa majibuWewe kwa akili yako timamu unadhan papai linaweza kuwa na corona? au parachichi kuwa na malaria?
Usibishane na mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije kuwa sawa na yeye... (Mithali 26:4). Achaneni na Tz mbongo ni mpumbavuUtaje huo ugumu ili nami nijifunze, hivi mashambulizi yale kwa Lissu mchana kweupe kwa tena huku inajulikana wazi kuwa Lissu na Magufuli haziivi wewe unaona hakukuwa na ugumu kama huo ndio waje kuogopa kummalizia huko hospitali?
Magufuli yuko jehanum hata Mimi nafurahi kwa kweliWE BWABWA UNA FANTASIES ZA AJABU SANA.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JEHANUM NDIO WAPI SASA?
KWAHIYO UNAJISKIA RAHA MWENYEWE MAGU AKIWA JEHANUM? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
RubbishAs a leader he was wrong maybe as a ruthless dictator, of which he was!! But the right verdict was delivered by God on March 17, 2921. Magufuli now is nothing but stinking manure
This guy (the one you are replying to) is also maguful sympathizer 😆 😆The guy is stinking in the Chato soil after decompoSing like manure
Ni kweli haijulikani mhusika lakini je hakujaribiwa kuuwawa? Zile risasi 30+ ilikuwa ni maigizo?Angetakiwa kuuwawa kipi kingeshindikana?
Acheni story
Leo umejaribu kuwaza vizuri. HongeraNi hicho kitu cha ajabu, Dkt Magufuli asingeweza kumuua Lisu ila ni wahuni tu kama wale waliomteka Mo
Zile myth ukipambana na mafisadi ccm unaonekana unapamba na taifa🤣🤣Hapana huo ulikuwa ni ujumbe kwa wasaliti wengine pia. Wakati anaongea haya tayari mawasiliano ya tundulissu yalidukuliwa na TISS akiomba nyaraka kutoka Barrick ili awasaidie namna ya kupambana na serikali.
Kwa lugha nyingine tundulissu aliamini anapambana n Magufuli badala ya kupambania taifa. Hiyo mentality ya kuamini anapambana na mtu ndio iliyomletea ulemavu wa kudumu. Vinginevyo hadi sasa angeendelea kusimama kwenye vizimba vya mahakama akiwapambania watanzania.
Kwani mpaka leo makinikia yako wapi?Kwani shida ni nini juu ya hii kauli. Alimaanisha alichokisema wala haihitaji forensic. Yeye ni mtawala na wewe unatumwa kudanganya wananchi tukikamata makinikia wawekezaji watakimbia, mara tutashitakiwa MIGA au taifa litafilisiwa. Dawa ya waropokaji alikuwa nayo huyo Mwamba.
Never underestimate the power of foolish people in large groups.Wazee wa nyamongo wanampenda sasa Lissu. Lissu aliwapambania wakazi wa nyamongo kuhusu haki katika umiliki wa rasilimali chupuchupu auawe.
Wasiojua historia ya Lissu hawawezi kumwelewa fika nia yake, ila kiufupu lissu sidhan kama ni mwanasiasa bali mtetezi wa wanyonge, na ni kazi aliyoifanya kabla ya siasa.
Kikwete alikuwa anaukubali Sana uwezo wa lissu, na hata Samia ukimwangalia kabisa unaona anajua fika Lissu ni mtu wa aina gani , na alimthamini na anathamini mchango wake.
*Magufuli was very evil, na alipendwa kutukuzwa zaidi ya Mungu.
*Hakuna kiongozi mwenye akili timamu anayeweza kwenda kutukana/kukejeli kanisani/msikitini kama Magufuli.
*Alikuwa ana dharau, unafki, na ujuaji wa KIJIMA. Ni Rais pekee aliyekuta CORONA kwenye mapapai na fun base yake ikawa inaona ana akili sana kumbe ni upumbavu mtupu.
Wewe si mjane?Mungu atakuwa ametusaidia kwa wewe kufa?
Wewe kwa akili yako unahisi Magufuli alikufa a natural death😁😁😁? Few bastards made to believe that pathetic lie...Halafu kuna wale watetezi wa DIKTETA wanakuambia eti Magufuli anachafuliwa? Unamchafuaje mwehu kama huyu anayetangaza kwenye mkutano wa hadhara kuwa "msaliti" huuawa na few hours jaribio la kumuua Lissu linafanyika.
Isitoshe kusema ukimpangia kumdhuru mtu mwema kama Lissu, Shetani anakuingia anakuacha uropoke kama alivyoropoka Magufuli ili tupate ushahidi. Mungu hakupenda adhma mbaya ambayo Magufuli alikuwa nayo dhidi ya Lissu kwa vile Lissu ndiye mtetezi wa kweli wa raslimali za madini tangu miaka ya 2000 wakati wa Mkapa akiwatetea wachimbaji wa Tarime na wakati akiwa Mbunge kipindi chote cha Kikwette akiwa msemaji wa Kambi ya upinzani kwenye sekta ya madini.
Wakati huo Magufuli alikuwa kimya kwenye Kambi ya CCM ambapo Lissu na upinzania walikuwa wanapambana na Serikali bungeni hadi kutoka nje ya Bunge kukataa kuwa rubber stamp ya Sheria mbaya za madini.
Mungu asingeruhusu dhuluma kama hii itokee kwa Lissu hivyo, Magufuli akashindwa kumuua na hatimaye akafa yeye Machi 17, 2021.
Hata kama huamini Mungu, kwenye hili tukio la Lissu na Magufuli Mungu alisima katikati kama alivyosimama dhidi ya Nebukadineza alipotaka kuwadhuru akina Nabii Daniel na hawa akina Meshack, Abdenengo na Shadrack (Danieli 1-3). Muacheni Mungu aitwe Mungu
Mada ni kuhusu msaliti wa taifa kuuawa! Na hilo lilipata angalizo linalostahili - kama ilivyo popote duniani.Magufuli is disgrace for this nation. Hamna mtu mwenye utimamu wa akili anayeweza kuona alikuwa mtu wa maana.
Alikuwa mtu wa kupandikiza chuki na utengani baina ya jamii. Mwenye upendeleo wa wazi kwenye cake ya taifa na aliyependa kuabudiwa kama mungu. Rest in hell Magufuli.
Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu.
View attachment 2353218
Ukiita watu wajinga unakosea, binafsi nilikuwa naelewa falsafa za huyo mwamba. Pamoja na mapungufu yake lakini alikuwa determined na mission zake ilikuwa ni kutoboa tu.Never underestimate the power of foolish people in large groups.
Wajinga walio weñgi Tanzania wameamua mjinga mwenzao Magufuli awe shujaa wao