Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Mimi sileti labda labda bali nahoji ila mnaoleta labda labda ni nyie mnaojifanya mnajua hadi walichokuwa wanakiwaza hao wahusika, mimi tu naona ule haukuwa muda sahihi kufanya shambulizi na tena inashangaza shambulizi lenyewe risasi mchana kweupe katika eneo kama lile, kulikuwa na ulazima gani hao wahusika kulazimika kufanya vile kwa mtu ambaye walikuwa wakimfuatilia kwa muda?

Inashangaza.

..hoja zako zina maana kwa watu wasio na mamlaka.

..kwa wenye mamlaka au dola wanaweza kufanya tukio lolote wakati wowote mahala popote.

..eneo la tukio liliandaliwa kwa maana ya walinzi kuondolewa na Cctv nazo zimefichwa.
 
Wangepitia wspi, yaani waprnye inteligensi ya Kenya kumfikia Lisu! Unafikili Chadema walikosea kumkimbiza nje. Tena walipojaribu kupenys ndipo akakimbizwa Germany huko Tiss wakanywea. Kuna macho yanatazama... Kwani hata baadhi ya ccm hawakupenda ile kitu.
Kweli
 
..hoja zako zina maana kwa watu wasio na mamlaka.

..kwa wenye mamlaka au dola wanaweza kufanya tukio lolote wakati wowote mahala popote.

..eneo la tukio liliandaliwa kwa maana ya walinzi kuondolewa na Cctv nazo zimefichwa.
Sasa jiulize kwa mambo kama hayo ya kuficha camera na kuondoa walinzi si ni rahisi kuwahisi kuwa ni serikali kama ulivyofanya? Sasa ndio tuseme wahusika hawakujali kwamba watajulikana kuwa wao ndio wanahusika?
 
We mtu wa ajabu usiyefahamu kuwa ni nchi hii hii Raisi ya Zanzibar aliuawa kwa risasi nani unadhani hawezi fikika, ubalozi wa Ufaransa na USA zilishambuliwa kigaidi bongo hapa hapa, kuna watu dizaini ya kina Hamza na visasi vikali naomba uelewe kuanzia leo tambua kuwa yeyote duniani anaweza fikiwa wenyewe wakiamua, inakuwa beyond Government reach, watu ni corrupt mbele ya kitu wanauza hata nchi upenyo unasetiwa.

Lisu anaogopa mpaka watu wake anashindwa sema tu hadharani, mbona wenzake wapo salama huku mpaka Sugu kumualika Numero-uno ku-launch kitabu, imagine Mwenyekiti ndani, waandamizi pande zote CCM na Chadema…tusiwe na haraka arudi yaweza kuwa yeye mwenyewe ndiye mwenye majibu police wanajaribu crack.

..wenye mamlaka na walinzi wa area D mahali aliposhambuliwa Tundu Lissu ni serikali.

..Lissu na dereva wasingepona dunia isingejua kuwa walishambuliwa baada ya walinzi kuondolewa.

..serikali imkamate aliyeondoa walinzi huyo atasaidia kuwaongoza kwa wengine walioshiriki ktk jaribio la kumuua Lissu.
 
Sasa jiulize kwa mambo kama hayo ya kuficha camera na kuondoa walinzi si ni rahisi kuwahisi kuwa ni serikali kama ulivyofanya? Sasa ndio tuseme wahusika hawakujali kwamba watajulikana kuwa wao ndio wanahusika?

..tatizo ni kwamba Lissu na dereva hawakufa.

..vinginevyo huo mpango ulikuwa perfectly fine.

..target ilishindiliwa risasi za kutosha, uwezekano wa kupona ulikuwa less than 1%.
 
Hate ain’t gonna save your ego, utakufa tu kama mnyama.
😅😂 bwana ako magu yupo anapelekewa moto na funza, ubabe ulawiti mabavu vikowap... Wewe ndio una hate kwasabab unakufa njaa ulizoea kuwa chawa... Kafie mbele huko choko wew
 
Sasa jiulize kwa mambo kama hayo ya kuficha camera na kuondoa walinzi si ni rahisi kuwahisi kuwa ni serikali kama ulivyofanya? Sasa ndio tuseme wahusika hawakujali kwamba watajulikana kuwa wao ndio wanahusika?
Kumbuka tukio halikupangwa lifanyikie nyumbani kwake. Ndjo maana hawakujiandaa kuondoa kamera mapema.
 
..tatizo ni kwamba Lissu na dereva hawakufa.

..vinginevyo huo mpango ulikuwa perfectly fine.

..target ilishindiliwa risasi za kutosha, uwezekano wa kupona ulikuwa less than 1%.
Walikuwa wanapum Trigger under pressure. Kuua mtu asiye nahatia sio jambo dogo.

Nebkadieza aliwatupa Akina Daniel kwenye Tanuru la Moto. Wale chawa waliowasukumiza akina Daniel motoni ule moto ukashika nguo zao wenyewe wakafa. Lakini akina Daniel ule moto haukugusa hata unywele wao.
 
We mtu wa ajabu usiyefahamu kuwa ni nchi hii hii Raisi ya Zanzibar aliuawa kwa risasi nani unadhani hawezi fikika, ubalozi wa Ufaransa na USA zilishambuliwa kigaidi bongo hapa hapa, kuna watu dizaini ya kina Hamza na visasi vikali naomba uelewe kuanzia leo tambua kuwa yeyote duniani anaweza fikiwa wenyewe wakiamua, inakuwa beyond Government reach, watu ni corrupt mbele ya kitu wanauza hata nchi upenyo unasetiwa.

Lisu anaogopa mpaka watu wake anashindwa sema tu hadharani, mbona wenzake wapo salama huku mpaka Sugu kumualika Numero-uno ku-launch kitabu, imagine Mwenyekiti ndani, waandamizi pande zote CCM na Chadema…tusiwe na haraka arudi yaweza kuwa yeye mwenyewe ndiye mwenye majibu police wanajaribu crack.
Doubts zote hizo zitafutwa kwa uchunguzi huru ambao haitakaa ufanyike.
 
😂😅😂 Huu uzi team Chato wanakojolewa bao nyingi hadi wanapotezana... Hawaelewi wazibe mbele au nyuma
 
Peleka ujinga wako huko unaongea utafikiri dunia yakwako. Mfanye ujinga wenyewe mumsingizie Lissu. Yule mzee alishindwa kuongoza nchi ndo maana akaibuka na hizo kauli za tuko vitani huku akiwachukia wale werevu waliokua wanasema ukweli.

Ni vita gani hiyo ambayo haitajwi sasa hivi ambayo tulikuwa tukiaminishwa tunaipigana? Nyie ndo wale mlioshikiwa akili, kiko wapi sasa.
Vita vya Ukraine
 
Angetakiwa kuuwawa kipi kingeshindikana?
Acheni story

..Lissu mepona kwa bahati au miujiza.

..na hiyo haina maana kwamba mpango mzima ulikuwa mbaya.

..pia walenga shabaha wasilaumiwe, walimdungua mara 16.

..yuko bwana mmoja alisalimika ktk ajali ya ndege iliyouwa watu zaidi ya 100.
 
Wazee wa nyamongo wanampenda sasa Lissu. Lissu aliwapambania wakazi wa nyamongo kuhusu haki katika umiliki wa rasilimali chupuchupu auawe.

Wasiojua historia ya Lissu hawawezi kumwelewa fika nia yake, ila kiufupu lissu sidhan kama ni mwanasiasa bali mtetezi wa wanyonge, na ni kazi aliyoifanya kabla ya siasa.

Kikwete alikuwa anaukubali Sana uwezo wa lissu, na hata Samia ukimwangalia kabisa unaona anajua fika Lissu ni mtu wa aina gani , na alimthamini na anathamini mchango wake.

*Magufuli was very evil, na alipendwa kutukuzwa zaidi ya Mungu.

*Hakuna kiongozi mwenye akili timamu anayeweza kwenda kutukana/kukejeli kanisani/msikitini kama Magufuli.

*Alikuwa ana dharau, unafki, na ujuaji wa KIJIMA. Ni Rais pekee aliyekuta CORONA kwenye mapapai na fun base yake ikawa inaona ana akili sana kumbe ni upumbavu mtupu.
Corona iko wapi saivi, ile kupima mapapai ilikuwa ni moja ya njia ya kujua usahihi wa vipimo katika kuleta taarifa inayoendana na uhalisia
 
Back
Top Bottom