Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Wachawi akina Mbowe na genge lake la mabeberu walitumia huu mwanya kutaka kuichonganisha serikali na wananchi. Hakika Lissu ataendelea kuwa msaliti
Mchawi ndio wewe unaibuka na lugha tofauti na andiko! Ujinga.
 
Kwani angetaka kumuua si angemmaliza tu au unadhani kipi kilishindikana kummalizia Lissu baada ya kutoka hai kwenye lile shambulizi?
Waliotumwa ni mamluki na wakienda kutembelea Hilo Kwa uoga na ndio maana Mungu alifanya yake kumwokoa katika Hilo janga.! Unadhani yeye aliyewatuma na kutamka hadharani Baada ya shambulio kubuma aliishi Kwa amani kweli. Pamoja na kujinasibu kwenye Nyumba za ibada ila moyoni alikuwa anaumia kivyake na Allah akaona hapa kuweka jambo sawa Kwa manufaa ya wengi.!!
 
Kama Magufuli aliweza kumshambulia Lissu katika kipindi hicho bila kuhofia kujulikana kwamba atajulikana kuwa ni yeye sasa ni sababu ipi iliyofanya asimmalizie baada ya kujulikana Lissu hakufa? Ni kwamba aliogopa nini ambacho hakukiogopa mwanzo?

..walikuwa na uhakika Lissu hata-survive, atafia hospitali.

..kwa hiyo hawakuwa na haja ya kupoteza risasi zao zaidi.
 
Kwani angetaka kumuua si angemmaliza tu au unadhani kipi kilishindikana kummalizia Lissu baada ya kutoka hai kwenye lile shambulizi?
Intelligensi ya Chadema yote ilikuwa ikimlinda, ni vigumu baada ya kushindwa. Kilichokuwa kinaendelea ni kuficha ushahidi. angeenda Muhimbili hapo wangemmaliza. Matukio kama haya ni Unafanya mara moja ukikosea imekula kwako. Sasa zile risasi walijua wamemaliza kabisa.
 
Nenda popote duniani dawa ya msaliti ni risasi, sumu au kunyongwa
Unazungumzia dunia ya mexico drug cartels ,italian mafia, japannese yakuza .and the likes , msaliti ni mtu anayetoa siri za ndani
Dunia ya democracy , kila kitu kipo wazi hakuna siri, na hakuna mtu anaitwa msaliti
 
Hoja yangu ni kwamba shambulizi la kutaka kumuuwa Lissu lilikuwa ni moja tu hivyo nachosema kama Magufuli angetaka kivyovyote vile Lissu afe basi angemmalizia huko huko hospitali ili kukamilisha kusudio lake.
Unazungumzia mauaji ya binadamu kwa namna simple sana kama vile unachinja kuku.
Suicide fatal attemts hata kwa viongozi hazifanywi au kupangwa kirahisi na wanajitahid kutoacha alama , kuna mdau humu kasema gari lililotumika kwe ye mauaji lilikuja kuchomwa moto morogoro,
Hopsitali isingewezekana kwa sababu si kila dokta angekuwa upande wa mission hiyo ovu , pia kungekuwa na kundi kubwa lenye taarifa na nia hiyo, angejaribu kufanya hivo ingelipuka kwa namna tofauti
 
Dawa yako ni tozo tu, mpaka pumbu zipauke, CCM sio ya kwako, wewe kwao ni pawn tu, umeona nafasi za ubunge wa EA, zimeenda wapi!? Watoto wa vigogo!! Ambao walipomaliza vyuo tu, wakiwa kwenye 24yrs tu, wakapewa nafasi ubalozini, wewe unatembeza bahasha ya kaki
[emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Alikufa katika umri ambao wataalam tunaita 'late age" so hatukupoteza kitu.

Jiwe liliishi umri mzuri na lilionesha tofauti ya uswahili na u-mkoani[emoji1787][emoji1787]

Nafasi aliyoishika kuna watu kizazi chake na kizazi kamwe hawatoishika wataishia tu kuwa na vijikadi vya chama na kutumika kama karatasi.

Rest in peace , John Pombe Magufuli
Wewe ndo unaona hakupoteza kitu...
Ila wapo ambao Bado walikuwa wanamhitaji
 
Ugumu upo wapi maana wasingetumia silaha kama wameweza kumshambulia kwa risasi mchana kweupe bila woga ndio waogope kummaliza tu kiulaini hospitali tena akiwa hali mbaya?
Wangepitia wapi, yaani wapenye inteligensi ya Kenya kumfikia Lisu! Unafikili Chadema walikosea kumkimbiza nje. Tena walipojaribu kupenya ndipo akakimbizwa Germany huko Tiss wakanywea. Kuna macho yanatazama... Kwani hata baadhi ya ccm hawakupenda ile kitu.
 
Kwahiyo ilikosekana nafasi ya kummaliza pale alipokuwa hospitali hapa Tz?
We unajua medani za kivita zilivyo au unalopoka tu. Kama hujui kazi ile ingesimamiwa na jeshi ndio lazima tungeona shambulizi lingine. Ile kazi ilikuwa maalum chini ya kikosi kazi maalum kilichoundwa kwa maagizo maalum. Kazi yake haitakiwi kuingiliwa na kambi ingine mana hujitosheleza yenyewe. Mipango yao ikipangwa lazima ilete matukio yaliokusudiwa 100%
Ingekuwa ni jeshi kikosi hiki kikishindwa kinaendelea kingine, sasa kikosi kazi kikifanya mashambulizi kinaludi nyuma kujilinda ili kisijulikane. Pale walijua wamemaliza na kama hajakata roho basi ni masaa machache angefanya hivyo, kwa hiyo kulikuwa hakuna haja ya kuenda na sindano ya sumu mana ndio wange julikana/kamatika kwa sababu, kuna spy wa kujitegemea waliosogea pale kwa macho ya kimedani ni ngumu kupenya kwa kikosi kaz kile labda mgonjwa angeenda muhimbili kule lazima kuna mtu aliekuwa anasubiri kuzima mashine ya kupumulia! Waliomwambia Mbowe amkimbize mgonjwa Kenya sio wajinga.
Hivyi baada ya shambulio, kilichofuata ni kurudi nyuma na kujihami. Kupoteza ushahidi ndio nguvu kubwa ilipolalia.
Kikosi kazi hiki bila shaka kilipanga tukio lionekane kama la ujambazi wa kutumia siraha. Sasa wali under estimate intelligence ya Lisu na dereva wake, kitendo cha Lisu kuchelewa kushuka kwenye gari walijua nia yao imejulikana mana walitegemea Lisu ashuke aingie ndanu ya nyumba wakammalize kitu ambacho hakikutokea na wakahisi ameomba msaada na kuna ulinzi unakuja pale, hivyo yakapitishwa maamuzi ya haraka. Pia kiongozi wa task force ile alikulupuka akaamlisha hicho kilichotokea(yaani piga hapa hapa tuondoke haraka bila mmoja wetu kujeruhiwa) kwa kuogopa ile kauli ya amiri jeshi ili asimpoteze ugali, mana yule jamaa ukizembea au kuchelewesha kazi yake akawii kukutumbua.
 
Hoja yangu ni kwamba shambulizi la kutaka kumuuwa Lissu lilikuwa ni moja tu hivyo nachosema kama Magufuli angetaka kivyovyote vile Lissu afe basi angemmalizia huko huko hospitali ili kukamilisha kusudio lake.
Kazi ile sio rahisi kihivyo. Unajua kuficha ushahidi ndio kazi kubwa kuliko hata kazi yenyewe. Baada ya tukio Nguvu kubwa sana ipo hapo, tena hapa wanaweza kufa watu zaidi ya 5 ili kuficha ushahidi haiwezekani tena kurudia labda mlengwa apite kwenye mitego yao. Kitu ambacho kuna watu wanalipwa ili kukwepa hiyo mitego.
Unafikili kuunguza ile gari iliotumika yenye thamani ya zaidi ya milioni 200 na hakuna kapolisi kanakofuatilia ni kitu rahisi. Kama unaona rahisi nenda Sasa pale lilipoungua gari kajifanye kuuliza yale machuma chakavu yake yapo wapi kama na wewe hatujakusahau na wala tusiuone mwili wako!!
 
Back
Top Bottom