Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.

Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu

View attachment 2353218
Wakati mwingine ukute aliongea tu na wala hakumanisha. Si unajua watu wengine tuna bagati mbaya. Unamshika mtoto wa mtu kichwani jioni anapata homa unaanza kuitwa mchawi
 
Nimecheka kwa nguvu, kila awamu ikiingia madarakani inasema yenyewe ndiyo imeweka rekodi. Kipindi cha Magufuli alisema amejenga vituo vya afya 357 nchi nzima, wapambe wa awamu ile kama ww wa awamu hii, wakawa wanaongea kwa sauti kuwa ni vingi kuliko vyote vilivyojengwa kabla ya uhuru. Sasa ww umesahau propaganda za juzi tu, unasema hivi 234 ndio vimeweka rekodi kuliko awamu yoyote!
Ni kweli kila awamu inafanya zaidi kuliko iliyotangulia sasa wewe hapo unashangaa nini?

Kwa mfano Mwendazake alianzisha Tarura na bajeti ya bil.272 miaka 5 iliyopita,akaja Mama kwa mwaka mmja tuu Bajeti inasoma Bil.802.,

Kwenye afya Mwendazake alijenga hospital 67 na vituo vya afya 400 hivi ila mama kwa Mwaka mmja anajenga hospital 28 za Wilaya,2 za Mikoa na 1 ya Kanda ya Magharibi na vituo vya afya 252 kwa mpigo plus kumalizia majengo ambayo hayakukamilika hapo awali..

Mathalani as we speak Mwendazake alipotoa amri ya Halmashauri zinazosimamia maeneo ya Vijijini zihamie Vijijini huko hakuna hata majengo yalikuwepo,as we speak majengo yamejengwa mengine yamekamikika na mengine yanamaliziwa..

So ukifanya ulinganisho ni kwamba Samia amefanya makubwa kuliko wote waliotangulia across sectors,kuanzia Kilimo Hadi ajira na weww unajua ila unaleta ubishi wa chadomo tuu nothing else..
 
Ni kweli kila awamu inafanya zaidi kuliko iliyotangulia sasa wewe hapo unashangaa nini?

Kwa mfano Mwendazake alianzisha Tarura na bajeti ya bil.272 miaka 5 iliyopita,akaja Mama kwa mwaka mmja tuu Bajeti inasoma Bil.802.,

Kwenye afya Mwendazake alijenga hospital 67 na vituo vya afya 400 hivi ila mama kwa Mwaka mmja anajenga hospital 28 za Wilaya,2 za Mikoa na 1 ya Kanda ya Magharibi na vituo vya afya 252 kwa mpigo plus kumalizia majengo ambayo hayakukamilika hapo awali..

Mathalani as we speak Mwendazake alipotoa amri ya Halmashauri zinazosimamia maeneo ya Vijijini zihamie Vijijini huko hakuna hata majengo yalikuwepo,as we speak majengo yamejengwa mengine yamekamikika na mengine yanamaliziwa..

So ukifanya ulinganisho ni kwamba Samia amefanya makubwa kuliko wote waliotangulia across sectors,kuanzia Kilimo Hadi ajira na weww unajua ila unaleta ubishi wa chadomo tuu nothing else..

Kwa mabingwa wa kupika data, sintoshangaa kila awamu kusema imefanya maajabu. Uzuri kinachosemwa tunakisikia, ila ukweli tunaujua.
 
Kwa mabingwa wa kupika data, sintoshangaa kila awamu kusema imefanya maajabu. Uzuri kinachosemwa tunakisikia, ila ukweli tunaujua.
Unapikaje data na bajeti mnaziona wazi wazi?

Kwamba hujui bajeti ya kilimo imetoka bil.204 hadi bil.954 au?

Kwamba hapa ni Takwimu zinapikwa au? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220910-081047.png
    Screenshot_20220910-081047.png
    195.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220907-191454.png
    Screenshot_20220907-191454.png
    156.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220905-112226.png
    Screenshot_20220905-112226.png
    164.8 KB · Views: 2
Unapikaje data na bajeti mnaziona wazi wazi?

Kwamba hujui bajeti ya kilimo imetoka bil.204 hadi bil.954 au?

Kwamba hapa ni Takwimu zinapikwa au? 👇

Bajeti ni mipango, uhalisia upo kwenye utekelezaji. Usishangae bajeti imetoka 204b - 954b, lakini fedha zitakazofika kwenye wizara hazifiki hata hiyo 204b ya awali. Sio mara moja tunaona utekelezaji wa bajeti wa wizara nyingi kutokuvuka hata 50% ya matarajio. Ama hili hulijui?
 
Wewe kwa akili yako timamu unadhan papai linaweza kuwa na corona? au parachichi kuwa na malaria?
Akili fupi kweli mna matatizo sana, JPM kufanya vile alikuwa anaangalia accuracy ya vipimo, kama vipimo viko sawa kwa nini vibaini virus kwenye oil chafu?
 
Akili fupi kweli mna matatizo sana, JPM kufanya vile alikuwa anaangalia accuracy ya vipimo, kama vipimo viko sawa kwa nini vibaini virus kwenye oil chafu?
Hapa sasa ndo unaonekana kiazi, testing kit inapaswa kupima a specific sample, tofauti na hapo itakupa incorrect result.

Hii inaonyesha una zero exposure ya mambo.

Haya mambo ukiongea mbele za watu utaonekana mshamba sana mkuu. Kwenye hili maarifa Huna. Simple
 
Lissu ndiye mtetezi wa kweli wa raslimali za madini tangu miaka ya 2000 wakati wa Mkapa akiwatetea wachimbaji wa Tarime na wakati akiwa Mbunge kipindi chote cha Kikwette akiwa msemaji wa Kambi ya upinzani kwenye sekta ya madini
Well
 
Bajeti ni mipango, uhalisia upo kwenye utekelezaji. Usishangae bajeti imetoka 204b - 954b, lakini fedha zitakazofika kwenye wizara hazifiki hata hiyo 204b ya awali. Sio mara moja tunaona utekelezaji wa bajeti wa wizara nyingi kutokuvuka hata 50% ya matarajio. Ama hili hulijui?
Utekelezaji unaendelea.
 
Back
Top Bottom