Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Wanaompenda Magufuli ni makundi makubwa ya wajinga ambao ndiyo wengi Tanzania. Unaongelea vyeti feki wakati yeye mwenyewe Magufuli alikuwa na PhD feki. Unaongelea ufisadi wakati yeye Magufuli amekufa bika kujibu tuhima za matumizi mabaya ya Tsh 2.4 Trillion zilizohojiwa na CAG Prof Assad.
Kuna waTZ (hasa wanaccm) ambao huwa wanaweza kumpenda mtu utadhani wamelishwa limbwata.
 
ulichoandika hapa ni definition halisi ya mtu mbumbumbu

phd fake kwa mujibu wa nani? unaweza kuweka ushahidi wa hilo?
Prospectus ya UDSM ya mwaka 2006 kifungu 2.7.7 kilisema mwanafunzi wa full time wa PhD minimum muda wa kumaliza ni miaka 3 na mwanafunzi wa kutoka kazini ni miaka 5. Magufuli Ali enroll mwaka 2006 na akapewa PhD mwaka 2009 yaani kafanya miala 3 kinyume na prospectus ya UDSM.

Lile chapisho lake alikopi kutoka kwa Dr J Y Philip ambaye alikuwa anafanya sandwich program limaitwa "The potential of anarcadic acid self assembled monopolymers from cashewnut shell liquid as corrosion protection coating"

Supervisor wake alikuwa Prof Bucheschwaija ambaye alimsimamia Dr J Y Phillip as well.

Mwaka 2016 alipopata uRais wa Tanzania akampa Prof Bucheschwaija uwenyekiti wa Bodi ya TIB kama kumpoza kwa kwa kazi aliyomlinda kwenye fake PhD.
 
Pamoja na ubabe,ukatili na kukosa utu kwa kisingizio cha uzalendo na yeye kaondoka,kila siku tunaambiwa dunia ni mapito tu.
 
Pamoja na ubabe,ukatili na kukosa utu kwa kisingizio cha uzalendo na yeye kaondoka,kila tunaambiwa dunia ni mapito tu.
Nilikuwa napiga mahesabu Leo nimebakiwa na miaka 26 kufika 60...kweli duniani tunapita aisee
 
Kwani angetaka kumuua si angemmaliza tu au unadhani kipi kilishindikana kummalizia Lissu baada ya kutoka hai kwenye lile shambulizi?
Ilishindikana Ndo maana ikawezekana kwake,Mungu aliyehai anafanya kaz
 
IMG_20190708_112420_395.JPG
 
Halafu kuna mtu anaona Lissu ndio mshindi kwa kutofariki kwenye lile shambulizi ila hajiulizi mateso aliyopitia Lissu na hali aliyonayo sasa Lissu.

..Lissu ni mshindi kwasababu malengo ya waliomshambulia hayakufanikiwa.
 
Cheti feki kinatolewa UDSM?
Kwani UDSM ni nani wasitoe cheti feki wakati London School of Economics walimpa mtoto wa Gaddafi PhD feki? Wewe unaiheshimu UDSM kwa vile umesoma pale lakini waliofundisha pale wanapaita JALALANI? Kama alivyosema Prof Kabudi
 
Kama hujui kuwa PhD ya Magufuli ilikuwa feki basi ni wewe tu. Thesis ya Magufuli kuhusu maganda ya korosho ilikwishandikwa na Dr Y Philip. Supervisor wa Magufuli ndiye aliyekuwa Supervisor wa Philip. Hatimaye alimzawadia Prof Buchashaija uteuzi baada ya kupata Urais wa Tz
unazijua process za mtu kupata phd?

unayajua mashariti yake?
 
..Lissu ni mshindi kwasababu malengo ya waliomshambulia hayakufanikiwa.
Huwezi kuwa mshindi bila kushindana, Lissu yeye kashambuliwa tu na wala hakuwa akipambana na hao wasiojulikana na mwisho wa siku ni yeye ndio muhanga na hakuwahi kujibu mashambulizi.
 
Huwezi kuwa mshindi bila kushindana, Lissu yeye kashambuliwa tu na wala hakuwa akipambana na hao wasiojulikana na mwisho wa siku ni yeye ndio muhanga na hakuwahi kujibu mashambulizi.

..waliomdungua marisasi yote yale walitaka afie pale area D, lakini Lissu bado yuko unadunda. Katika mazingira hayo tunasema Lissu ni mshindi.
 
..waliomdungua marisasi yote yale walitaka afie pale area D, lakini Lissu bado yuko unadunda. Katika mazingira hayo tunasema Lissu ni mshindi.
Anandunda wakati mwenzako katiwa ulemavu, hakuna Lissu alichoshindana zaidi ya kujikuta anashambuliwa na kupata bahati ya kutoka hai sasa huo ushindi sijui hata wa aina gani na wakati wewe unamuona mshindi yeye bado hayupo hata kisaikolojia toka atokewe na lile tukio.
 
Back
Top Bottom