Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Yeye alisaliti nani mbona yuko mavumbini na lissu yuko majuu anakula bata
Hata Lissu amekuwa Chiba wa kidumu nyonga zote zilipasuliwa hawezi ishi kwa raha mpaka anaenda kaburini.Msariti lazima yapate Cha moto,hata shetani alipomsaliti muumba anasubili moto wa jahanamu,akuna uruma kwa msaliti
 
Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli ataonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Asante
 
..Ni jambo la furaha na kumshukuru MUNGU.

..waliomdungua risasi nia yao ilikuwa afe lakini Lissu bado yu hai, yuko active, ukiacha changamoto ya ulemavu.

..kwa mashabiki na marafiki wa Tundu Lissu huo ni USHINDI dhidi ya waliotaka afe kwa risasi za Sept 7, 2017.

NB:

..baadhi yetu tuliambiwa Lissu ametangulia mbele za haki pale Dodoma Hospital.

..baadae zikatoka taarifa kuwa yuko mahututi atapelekwa Nairobi.

..Sasa fast forward mpaka leo hii. Kwanini watu wasimshukuru na kumsifu MUNGU?
Ndio nakumbusha kwamba Lissu kawa mlemavu na sasa anaishi nje ya nchi yake kwa madai anahofia usalama wake ndani ya nchi yake hivyo analazimika kukimbia nchi yake, wakati mnashukuru Mungu ambapo ni jambo zuri ila msisahahu kuwa mambo hayapo kama zamani kabla ya Lissu kushambuliwa.
 
Ndio nakumbusha kwamba Lissu kawa mlemavu na sasa anaishi nje ya nchi yake kwa madai anahofia usalama wake ndani ya nchi yake hivyo analazimika kukimbia nchi yake, wakati mnashukuru Mungu ambapo ni jambo zuri ila msisahahu kuwa mambo hayapo kama zamani kabla ya Lissu kushambuliwa.

..hakuna anayesema mambo yako kama yalivyokuwa zamani kwa Tundu Lissu.

..pia hakuna anayesahau kwamba Magufuli na kundi la wasiojulikana walitaka Lissu afe.

..lakini ukilinganisha na hali ilivyokuwa masaa machache baada ya kushambuliwa, halafu wiki mbili tulizokuwa tunaambiwa hali yake ni " critical but stable, " Watanzania tuna kila sababu ya kufurahi na kumshukuru MUNGU tunapomuona Lissu akitembea, na tunapomsikiliza akichangia ktk majukwaa mbalimbali.
 
unataka kusema ukiweza kuandika hizo reference maana yake unaijua phd?

ni nani mwingine amewahi kupewa phd zawadi kama ilivyofanyika kwa magufuli?
Huyo mtaje wewe, Mimi ninekutajia Magufuli kuwa ndiyo holder wa PhD feki
 
Huyo mtaje wewe, Mimi ninekutajia Magufuli kuwa ndiyo holder wa PhD feki
na hiyo ni kwasababu aliyekutuma hajui kua hakunaga pragialism kwenye phd!

binafsi nilijua unawajua wengi ili kuniaminisha hicho kitu hua kipo.
 
Wewe unaona kwamba wasingeweza kummalizia Lissu ndio nauliza ni kwa sababu watu walidhibiti hilo kutokea ndio ikashindikana au kwamba wahusika hawakuwa na hilo wazo?

Kwani walivyommiminia risasi mchana kweupe mbona hawakujulikana? Lengo ni kuuwa hivyo sio lazima watumie risasi maana hata mwanzo wangeweza kumteka na kukuta maiti yake tu kwenye kiroba maana walikuwa wakimfuatilia kwa muda tu.
Kwahiyo hawakuwa na lengo la kumuua pamoja na kumminia risasi zaidi ya 20?! We jamaa ni mtu wa ajabu sana!! What are you trying to say?!

Oh, lemme guess! Sio kweli kwamba JPM alitaka kumuua Lissu!!

SHAME ON YOU!!

Btw, ni mara ngapi niseme kwamba issue sio kudhibiti bali tukio likishatokea kitakachofuata hapo ni mkusanyiko wa watu kwenye eneo la tukio na hivyo kuwa ngumu kufanya second attempt?!
 
..hakuna anayesema mambo yako kama yalivyokuwa zamani kwa Tundu Lissu.

..pia hakuna anayesahau kwamba Magufuli na kundi la wasiojulikana walitaka Lissu afe.

..lakini ukilinganisha na hali ilivyokuwa masaa machache baada ya kushambuliwa, halafu wiki mbili tulizokuwa tunaambiwa hali yake ni " critical but stable, " Watanzania tuna kila sababu ya kufurahi na kumshukuru MUNGU tunapomuona Lissu akitembea, na tunapomsikiliza akichangia ktk majukwaa mbalimbali.
Kwani Lissu angekufa nini kingetokea au ingekuaje?
 
Kwahiyo hawakuwa na lengo la kumuua pamoja na kumminia risasi zaidi ya 20?! We jamaa ni mtu wa ajabu sana!! What are you trying to say?!

Oh, lemme guess! Sio kweli kwamba JPM alitaka kumuua Lissu!!

SHAME ON YOU!!

Btw, ni mara ngapi niseme kwamba issue sio kudhibiti bali tukio likishatokea kitakachofuata hapo ni mkusanyiko wa watu kwenye eneo la tukio na hivyo kuwa ngumu kufanya second attempt?!
Sawa.
 
Dah bonge moja la speech kutoka kwa mkuu wa nchi.
Hamuwezi kwenda mbele kama kuna mtu anakuvuta kurudi nyuma, ni lazima umuangamize kwanza huyo anayekurudisha nyuma.
 
Hata Lissu amekuwa Chiba wa kidumu nyonga zote zilipasuliwa hawezi ishi kwa raha mpaka anaenda kaburini.Msariti lazima yapate Cha moto,hata shetani alipomsaliti muumba anasubili moto wa jahanamu,akuna uruma kwa msaliti
Utakuwa msukuma wewe hata kuandika kiswahili hujui. Hili lilikuwa ni jukwaa la wasomi bahati mbaya na vilaza kama Magufuli mmeliingilia
 
Dah bonge moja la speech kutoka kwa mkuu wa nchi.
Hamuwezi kwenda mbele kama kuna mtu anakuvuta kurudi nyuma, ni lazima umuangamize kwanza huyo anayekurudisha nyuma.
Halafu akaishia wapi huyo mkuu wa nchi? Kukosa akili na ushamba wa Kolomije. Huyo Kalambishwa mchanga huko Chato, ila Lissu bado anapumua. Shenzi type kichaa yule
 
Dah bonge moja la speech kutoka kwa mkuu wa nchi.
Hamuwezi kwenda mbele kama kuna mtu anakuvuta kurudi nyuma, ni lazima umuangamize kwanza huyo anayekurudisha nyuma.
Akaishia kufa mwenyewe coz alikuwa analirudisha nyuma taifa...

Simply saying, karma is a fucking monster!
 
na hiyo ni kwasababu aliyekutuma hajui kua hakunaga pragialism kwenye phd!

binafsi nilijua unawajua wengi ili kuniaminisha hicho kitu hua kipo.
Wewe mshamba mwingine kutoka Kolomije Kaa kimya. Hivi unajuwa Ben Saanane alikuwa anahoji nini mpaka Magufuli akamuua?

Upo Uzi wa Ben Saanane hapa nitakuletea. Mpaka anakufa mwaka jana alishindwa kujibu uhalali wa PhD yake ya maganda ya korosho. Usitupotezee muda hapa kwa ubishi wa kitoto. Wewe mwenyewe ni mbumbumbu tu
 
Akaishia kufa mwenyewe coz alikuwa analirudisha nyuma taifa...

Simply saying, karma is a fucking monster!
Lkn nyie wahuni mlinyooka vzr, hatimaye sasa mnalambishwa asali
 
Back
Top Bottom