Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Attachments

  • IMG-20240926-WA0035.jpg
    IMG-20240926-WA0035.jpg
    79.6 KB · Views: 3
Wachawi akina Mbowe na genge lake la mabeberu walitumia huu mwanya kutaka kuichonganisha serikali na wananchi.
Hakika Lissu ataendelea kuwa msaliti.

Siku zote "serikali" hupingwa na wananchi...

Tofautisha dhana ya "serikali" na "nchi/taifa". Serikali huja na kuondoka. Taifa/nchi ipo maisha yake yote hapo...

Zipo serikali mbaya, katili, kichaa na zipo serikali nzuri na safi kabisa lakini hii utaipata mbinguni. Hapa duniani huwezi kuipata serikali nzuri, takatifu....

Ya chini ya Magufuli ilikuwa mbaya, ya hovyo kabisa, ya kikatili na ndivyo ilivyo ya Samia maana alirithi uhovyo na ukatili huohuo. Itaondoka kwa njia ileile. Hii ni natural principle....

Serikali zote zilizopo duniani zina kasoro na ndiyo maana wananchi huzipinga na kuzizomea na kuziondoa na kuweka nyingine...

Tuambie, ni lini serikali yoyote ya taifa/nchi yoyote huwa ni "rafiki" wa wananchi..?

Serikali huja na kuondoka, nchi/taifa lipo hapo siku zote. Ndiyo maana serikali chini ya Magufuli ilikufa mara yeye alipokufa lakini nchi/taifa la Tanganyika lipo palepale...

Imekuja serikali chini ya Samia. Nayo itapingwa na kuzomewa bila haya wala aibu na mwisho itakufa yenyewe na yeye Samia atakufa na itakuja serikali nyingine. Mzunguko unakuwa hivyo....
 
R I P Legend the true son of Africa.
Wasaliti ni lazma washughulikiwe tunapgana vita halafu ugeuke .
 
Hii kauli aliyoitoa Magufuli kumwambia Spika awatimue wasaliti bungeni ili wakiwa nje washughulikiwe nae, inaonesha hapa ndipo polisi wetu walipotakiwa kuanzia uchunguzi wao dhidi ya shambulio la Lissu, ajabu polisi bado wanamsubiri Lissu arudi ili wamfanyie mahojiano.

Maneno mengi aliyozungumza Magufuli kwenye hiyo video yana viashiria vingi vya mtu aliyetaka kulipa kisasi, mfano anapomwambia Spika; "watoe huku nje tuwashughulikie, kwa sababu wakiwa kule bungeni wana immunity, wanaweza kuzungumza chochote".

Anaendelea kusema; "hatuwezi kuwa vitani, halafu tukiwa mstari wa mbele, anajitokeza mmoja wetu na kuanza kuwashambulia askari wetu, huyu tuta deal nae; bora unyamaze kimya, au ukalale".

Mpaka hapo, inashangaza bado polisi wetu hawakuona mahala pa kuanzia uchunguzi wao kuhusu shambulio dhidi ya Lissu, maneno yao yamekuwa ya kisiasa sana.
kwa hiyo lisu ndo msaliti a taifa alietajwa katika hiyo clip?
 
Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli ataonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
wasaliti Mungu alikwisha wapumzisha. Wengine ndio wanaojaribu jaribu, tunawakabidhi madaraka wakiingia ofisini wanatusaliti. Sijui kama tutaendelea kumtegea Mungu awapumzishe au tufuaye mfano wake. Msaliti namba one ni yule aliekua ofisini acha hawa wanaopiga kelele huko nje. Mabichwa kome hamuoni
 
Hili halina ubishi mkuu. Magufuli ndiye aliyeamuru Lissu auliwe na kikosi cha Makonda. Ila Mungu akaweka mkono wake dhidi ya ile hila
Aidha, hata Rais Samia tuhuma anazotupiwa za kuhusika na tukio la jaribio la mauaji ya Tundu Lissu kule Dodoma yeye pia tuhuma hizo zinamhusu Moja kwa Moja. Rais Magufuli siyo Mtuhumiwa pekee wa shambulizi lililofanywa dhidi ya Tundu Lissu, hata yeye pia anahusika kwa sababu Serikali ya 'MaguSami' (i.e. Magufuli+Samia) ndio iliyokuwa madarakani wakati ule tukio hilo lilipotokea.
 
Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli ataonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Anayeunga mkono mauaji ni muuaji na muuaji yeyote anatekeleza kazi za shetani naye ni shetani!!
Kijana Ben saanane aliuliza tuu ELIMU ya kiongozi Leo wazazi wake hawajapewa hata mwili wausitiri...
Kama unadhani ushetani huu utakuacha salama wewe na mauaji menzio.... SORRY!!
Ba'mkwe wenu kaenda,ma'mkwe atafata na ninyi vitoto pia mtakufa Kwa aibu mtaomba msaada hata msisaidike😔😔😔
 
Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli ataonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Mwamba alikua sahihi sana
 
Aidha, hata Rais Samia tuhuma anazotupiwa za kuhusika na tukio la jaribio la mauaji ya Tundu Lissu kule Dodoma yeye pia tuhuma hizo zinamhusu Moja kwa Moja. Rais Magufuli siyo Mtuhumiwa pekee wa shambulizi lililofanywa dhidi ya Tundu Lissu, hata yeye pia anahusika kwa sababu Serikali ya 'MaguSami' (i.e. Magufuli+Samia) ndio iliyokuwa madarakani wakati ule tukio hilo lilipotokea.
Samia hahusiki na kushambuliwa kwa Lissu. Ninabisha na hata ukinichuna ngozi nitabisha.
 
Back
Top Bottom