Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Na jino zima unalitambuaje?
Huu mchezo mtakaoumia ni ninyi wanaharakati wa Mitandaoni.mbowe hawezi kukubali kurudi kwenye matatizo
Mbowe siyo mchumia tumbo kama wewe, na usidhani tunapokuja hapa mtandaoni tunakuja kwa sabau ya njaa kama inayokuhangaisha wewe kila siku hapa mtandaoni, ukiandika upuuzi.
 
Unaona sasa tatizo la kuwa kichwa panziii
dalili za kuwa kichwa panzi moja wapo ni kukutupuka kama hivi.
Mbowe amefanya la maana sana kukutana na SSH lakini kwa wewe mshabiki maandazi
sio kitu cha kushangilia.
Yule aliyemfunga mbowe ndiyo yeye anamwita ikulu unashangilia nini kama sio zuzu na lofa alivyo
waita Mkapa.
Sawa. Kwa upumbavu na Uzwazwa wako unajuaje kwamba Samia alimfunga Mbowe??.
 
Si tayari kalainika?

Hujamuona akimsujudia hangaya?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ni wapi kaomba msamaha? Au ni hisia za ujinga wako, mbona mlimlazimisha awaombe msamaha na aliwakatalia hata mkaamua kujificha kupitia kwa Zitto na baadae dini, hii ilikuwa ni kuficha aibu ya "nitoke vipi"

Mmeomba "poo" wenyewe na mwamba hana roho mbaya ya kishetani kama yenu anataka amani na ustawi wa taifa letu.
 
Ulitaka Samia aifute kesi prematurely wakati akina Siro, Kingai na Biswalo walishaandaa mashitaka mapema kabisa? Mama Samia anabeba Gunia la Misumari ya irresponsible Elite Figures wanao tumia Madaraka vibaya..
Kesi ya mchongo utaifutaje prematurely?

Yaani wewe hata logic ndogo tu inakushinda!

Kesi feki ambayo haistahili hata kusomwa, achilia mbali kusikilizwa, haiwezi ikawa dropped ‘prematurely’ because there’s no there there to begin with!

It should never had seen the light of day.

Kwa uwezo wako wa logic uliouonyesha hapo, sitarajii uelewe nilichokiandika hapo 🤣.

Too much of a dunce!
 
Kesi ya mchongo utaifutaje prematurely?

Yaani wewe hata logic ndogo tu inakushinda!

Kesi feki ambayo haistahili hata kusomwa, achilia mbali kusikilizwa, haiwezi ikawa dropped ‘prematurely’ because there’s no there there to begin with!

It should never had seen the light of day.

Kwa uwezo wako wa logic uliouonyesha hapo, sitarajii uelewe nilichokiandika hapo [emoji1787].

Too much of a dunce!
Ofcourse siwezi kuelewa kwa sababu umeandika Upumbavu
 
Ni wapi kaomba msamaha? Au ni hisia za ujinga wako, mbona mlimlazimisha awaombe msamaha na aliwakatalia hata mkaamua kujificha kupitia kwa Zitto na baadae dini, hii ilikuwa ni kuficha aibu ya "nitoke vipi"

Mmeomba "poo" wenyewe na mwamba hana roho mbaya ya kishetani kama yenu anataka amani na ustawi wa taifa letu.
Hayo mueleze mumeo baada ya tendo if at all amekufikisha
 
Jitekenye tu na kucheka mwenyewe...

1646430471306.png

Kwa weledi wa aina yake Mheshimiwa Rais Samia amemaliza hoja zote za wapinzani sasa ni wakati wa kuchapa kazi.
 
Back
Top Bottom