Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Ila nae Chair aache ugaidiNaona Mbowe krismass atailia moshi siku mbili kabla ya 25DEC.
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
She is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa sheria.
Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo defined na sheria.
Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.
Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria?
Wewe unastahili kupotea kabisa jombaa, futa hiiShe is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa sheria.
Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo defined na sheria.
Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.
Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria?
Utapotea wewe utamwacha huyo jamaaWewe unastahili kupotea kabisa jombaa, futa hii
Wacha tuoneUtapotea wewe utamwacha huyo jamaa
She is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa sheria.
Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo defined na sheria.
Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.
Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria?
Kwa nini nitumie lugha ya busara kwa mtu ambae hana busara?Kwa kauli ile kakosea ila kumuita Rais fool unakosea sana mtaalamu. Jaribu kutumia lugha ya busara pale unapowasilisha hoja zako…
Wewe upo kundi gani kati ya kumwelewa na kutokumwelewa ?Rais Samia Suluhu Hassan ana style yake ya uongozi wanaomuelewa sasa wanamuelewa; wasiomuelewa wataelewa baadae
Mungu ibariki Tanzania
Naungana na wewe 100%Katika marais ambao wanafanya vzr samia yuko vizuri Sana, Mungu amulinde rais wetu
acheni kutisha watu wanapotoa maoni,kwani uongo?Wewe unastahili kupotea kabisa jombaa, futa hii