Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba ya nchi ndio inayoruhusu mikutano ya vyama vya siasa na sii fadhila za raisi.===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
Kwa nini nitumie lugha ya busara kwa mtu ambae hana busara?
Kaongea vitu vingi vya hovyo vinavyothibitisha kuwa hana busara na kwa hiyo hastahili busara.
1.Anadai kuwa anataka amsamehe Mbowe wakati Mbowe hatumikii adhabu yoyote ile.
2.Anadai kuwa vyama vya siasa vikipewa ruksa ya kufanya mikutano ya kisiasa vinasababisha vurugu na kuharibu mali za umma kitu ambacho siyo kweli.
3.Anataka Polisi,vyama vya siasa pamoja na msajili wa vyama vya siasa wakutane wajadili namna bora ya kufanya mikutano ya siasa wakati namna bora ya kufanya mikutano ya siasa ipo defined tayari kwenye sheria zetu.
4.Ni Rais alietokana na mapolisi.Hana kibali cha wananchi.Ni Rais wa mchongo.View attachment 2045934View attachment 2045936View attachment 2045939
Rais kama huyu hapaswi kujibiwa kwa busara kwa sababu yeye mwenyewe hana busara lakini pia hana kibali cha wananchi,ni Rais wa Mapolisi.
She is hopeless fool.
Mama anaogopa Sana critics,kwenye majukwaa ya kisiasa hajiamini kabisaSheria ya vyama vya siasa inaeleza namna ya kufanya mikutano inabidi iheshimiwe,
Huyu mama vipi? Watafute njia gani nyingine wakati zipo tena kisheria
Ulichoongea kinyume chake ndiyo sahihi,yaani fool ni wewe.Kwani hujui kuwa Rais huwa anakesha kwenye mitandao ya kijamii?Hukumsikia alipokuwa akidai kuwa ngoma inapigwa mitandaoni halafu wabunge wanademka?Watu walipoanza kudai katiba mpya kwenye mitandao hukumsikia akidai kuwa wameanza chokochoko?Wewe ndo fool. Sasa hapa JF unamjibu Rais? Kweli upumbavu Ni bei Rahisi. Mtu mwenye busara atabaki na busara haijalishi yupo mbele ya nani. Hapa unauza sura tu so Acha kujifanya as if umekutana na kiongozi live. Katika mantiki Zote weee Ni mtu mwenye ovyo sana. Hata maishani mwako unaonekana Ni mtu wa ovyo.
Chief Hangaya ndiye mapolisi wanampa faraja ya kuficha uovu wake wa kupora chaguzi.Hana kibali cha wananchi na pia hakubaliki duniani wala mbinguni.Keyboard inakupa faraja kuficha uovyo wako.