Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mnajua hvo kwa nn mlikuwa hamfanyi wakati mzee magu yupo?She is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.
Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria zetu.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo well defined na sheria zetu.
Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.
Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria zetu?
Ametukanwa wapi?Wewe ukiwa kichaa kisha ukatokea mahali watu wakasema yule kichaa anakuja,hao watu watakuwa wanakutukana?KWAHIYO ANASITAHILI KUTUKANWAA??
Hatufanyi kitu gani?Kama mnajua hvo kwa nn mlikuwa hamfanyi wakati mzee magu yupo?
Cdm bana
Hauwezi kunielewa sababu uwezo wa kupembua mambo hauna.Wewe unaongea kama nani?
NdioAnza na neno Mungu akipenda.
Kwa maneno yako inamaana unampangia Mungu.
Wewe ndio wale mbwa unamlisha alafu anakung'ataHamna la maana.
Kina Kheri James wana kauli za hovyo kabisa ila hawasemi bali wanaona wapinzani ndio wakorofi ili hali wanavumilia mengi. Unafiki mtupu. CCM ndio wavunja sheria wakubwa na ndio wanalindwa kwa uovu wote wanaoufanya
Halafu waache kutafuta sababu ya kuondoa aibu ya kumfutia Mbowe kesi ya kuchonga kupitia kinachoitwa Raisi kaombwa amsamehe. Unamsamehe kwa kosa gani?Inakera sana.
Mkuu tubeti.Naona Mbowe krismass atailia moshi siku mbili kabla ya 25DEC.
Unamtuka etii fool?? Acha ujinga bwanaa. Heshim utu wa mtu. Jenga hoja siokumtukana kiongozi mkubwa kama huyuuAmetukanwa wapi?Wewe ukiwa kichaa kisha ukatokea mahali watu wakasema yule kichaa anakuja,hao watu watakuwa wanakutukana?
Tunamwita ni mbumbumbu kutokana na matendo yake pamoja na maneno yake.Unataka tumwite kuwa ni mwerevu wakati anafanya mambo ya umbumbumbu
Hatufanyi kitu gani?
Ukiangalia neno fool kwenye kamusi ni mjinga.Mjinga ni mtu ambae hajui kitu fulani na akielimishwa ujinga wake unaisha.Unamtuka etii fool?? Acha ujinga bwanaa. Heshim utu wa mtu. Jenga hoja siokumtukana kiongozi mkubwa kama huyuu
Unaweza ukabeti mkuu leo tena Arsenal tunawachania watu mikeka yao[emoji1787][emoji1787]Mkuu tubeti.
KAZIIENDELEE===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
Umerukwa na akili ?Kuongea kwa mihemko humu jamii JF hakuongezi wala kupunguza kitu kutoka kwenye iyo barua ukubal ukatae mtafata barua ilivyo agiza
Kla sku viongozi wenu wanawaomba mtoke barabaran mtafute haki zenu kwa nguvu nyie mnazani ni masihala siasa ni mapambano sio mikwala ya kijinga umu JF
Serikal ikisema akuna mikutano ni akuna mikutano ilo mmeliona kwenye uongozi wa JIWE
Siasa za kashifa na lugha ya kuuzi alizizoea mzee wetu Kikwete mtamtukana atawaita ikulu mtakunywa juice na sambusa zen mnapiga pic ila hawa wengne siasa izo hawaziwezi Chadema jifunzeni ilo na mtafute njia ingne nzuri ya kufanya siasa na viongozi hawa wa sasa.
Mbowe akifungwa itakua ni faida sana kwa chadema. Mbowe ni kachelo wa serikali na mbowe ndo anaeiuwa chadema ilo harina ubisha . Chadema ilizalishq vijana weng wazuri sana kisiasa ila mwisho wa sku wote hawaonekan walikopotelea na wengne wamejiunga na CCM tutasema walinunuliwa ila tujiulize vijana wote wa chadema huwa wananunuliwa au kukengeuka Ukianza na Zitto to Mdee.
Chadema imebaki ya kina Lissu,mbowe , msigwa,sugu,heche,lema na mnyika wengne wote ukihoji utaambiwa wamenunuliwa au wamekengeuka majb ya kijinga kbsa
Funga gaidi mbowe kwa maslai mapana ya Chadema
Sawa YerickoWewe mduanzi ukisoma hii habari ndio utajua maana ya ugaidi sio huu ...u.s.h.u.u.z.i ...unaoandika hapa:
![]()
Mossad said to have foiled Iran terror attacks against Israeli targets in Africa
Report says Tehran's Quds Force has unsuccessfully plotted to target businessmen in Senegal and Ghana, safari tours in Tanzaniawww.timesofisrael.com
Miaka 60 sasa mtu amezaliwa, kasoma primary, chuo, kaajiriwa na amestaafu bado umaskini upo palepale halafu unasema ccm imara?Asante sana Mkuu, CCM ikiendelea kuwa Imara tutaendelea kuwa na Taifa Imara
Kaziiendelee Tanzania na Samia ni safe Sana===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866