IKULU: Rais awataka Msajili na Vyama vya Siasa kutafuta njia bora ya kufanya mikutano ya hadhara nchini

IKULU: Rais awataka Msajili na Vyama vya Siasa kutafuta njia bora ya kufanya mikutano ya hadhara nchini

"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
She is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.

Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria zetu.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo well defined na sheria zetu.

Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.

Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria zetu?
Kama mnajua hvo kwa nn mlikuwa hamfanyi wakati mzee magu yupo?
Cdm bana
 
KWAHIYO ANASITAHILI KUTUKANWAA??
Ametukanwa wapi?Wewe ukiwa kichaa kisha ukatokea mahali watu wakasema yule kichaa anakuja,hao watu watakuwa wanakutukana?

Tunamwita ni mbumbumbu kutokana na matendo yake pamoja na maneno yake.Unataka tumwite kuwa ni mwerevu wakati anafanya mambo ya umbumbumbu
Kama mnajua hvo kwa nn mlikuwa hamfanyi wakati mzee magu yupo?
Cdm bana
Hatufanyi kitu gani?
 
Hamna la maana.

Kina Kheri James wana kauli za hovyo kabisa ila hawasemi bali wanaona wapinzani ndio wakorofi ili hali wanavumilia mengi. Unafiki mtupu. CCM ndio wavunja sheria wakubwa na ndio wanalindwa kwa uovu wote wanaoufanya


Halafu waache kutafuta sababu ya kuondoa aibu ya kumfutia Mbowe kesi ya kuchonga kupitia kinachoitwa Raisi kaombwa amsamehe. Unamsamehe kwa kosa gani?Inakera sana.
Wewe ndio wale mbwa unamlisha alafu anakung'ata
 
Ametukanwa wapi?Wewe ukiwa kichaa kisha ukatokea mahali watu wakasema yule kichaa anakuja,hao watu watakuwa wanakutukana?

Tunamwita ni mbumbumbu kutokana na matendo yake pamoja na maneno yake.Unataka tumwite kuwa ni mwerevu wakati anafanya mambo ya umbumbumbu

Hatufanyi kitu gani?
Unamtuka etii fool?? Acha ujinga bwanaa. Heshim utu wa mtu. Jenga hoja siokumtukana kiongozi mkubwa kama huyuu
 
Unamtuka etii fool?? Acha ujinga bwanaa. Heshim utu wa mtu. Jenga hoja siokumtukana kiongozi mkubwa kama huyuu
Ukiangalia neno fool kwenye kamusi ni mjinga.Mjinga ni mtu ambae hajui kitu fulani na akielimishwa ujinga wake unaisha.

Huyu Rais anadai kuwa anataka amsamehe Mbowe wakati katiba yetu haimpi Rais mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake bado inaendelea mahakamani.

Huyu Rais ni mjinga kwa sababu hajui hilo.Huenda akielimishwa ujinga wake utaisha na atakuwa mtu mwerevu kama wewe.
 
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,

Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,


View attachment 2045863

View attachment 2045865

View attachment 2045866
KAZIIENDELEE
 
Kuna watu wanapandisha bei za bidhaa kiholela kumchafua Rais Samia,

Waziri Mkuu pambana na hawa watu nia yao si njema kabisa,
 
Kwa speed hii ya Rais Samia, Tanzania huenda ikaibua mabilionea wapya 100 miaka miwili ijayo,Tufanye kazi kwa bidii zaidi
 
Kuongea kwa mihemko humu jamii JF hakuongezi wala kupunguza kitu kutoka kwenye iyo barua ukubal ukatae mtafata barua ilivyo agiza

Kla sku viongozi wenu wanawaomba mtoke barabaran mtafute haki zenu kwa nguvu nyie mnazani ni masihala siasa ni mapambano sio mikwala ya kijinga umu JF

Serikal ikisema akuna mikutano ni akuna mikutano ilo mmeliona kwenye uongozi wa JIWE

Siasa za kashifa na lugha ya kuuzi alizizoea mzee wetu Kikwete mtamtukana atawaita ikulu mtakunywa juice na sambusa zen mnapiga pic ila hawa wengne siasa izo hawaziwezi Chadema jifunzeni ilo na mtafute njia ingne nzuri ya kufanya siasa na viongozi hawa wa sasa.

Mbowe akifungwa itakua ni faida sana kwa chadema. Mbowe ni kachelo wa serikali na mbowe ndo anaeiuwa chadema ilo harina ubisha . Chadema ilizalishq vijana weng wazuri sana kisiasa ila mwisho wa sku wote hawaonekan walikopotelea na wengne wamejiunga na CCM tutasema walinunuliwa ila tujiulize vijana wote wa chadema huwa wananunuliwa au kukengeuka Ukianza na Zitto to Mdee.

Chadema imebaki ya kina Lissu,mbowe , msigwa,sugu,heche,lema na mnyika wengne wote ukihoji utaambiwa wamenunuliwa au wamekengeuka majb ya kijinga kbsa

Funga gaidi mbowe kwa maslai mapana ya Chadema
Umerukwa na akili ?
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Hivi hii mikutano ni hisani au ni hitaji la kikatiba?
Kwanini sasa inaonekana ni hisani kutoka ikulu wakati katiba inasema hivyo?
Kuna watu sasa wanaona wao ndio Tz na Tz ni ya kwao, hapana tupinge hili kwa nguvu zote
 
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,

Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,


View attachment 2045863

View attachment 2045865

View attachment 2045866
Kaziiendelee Tanzania na Samia ni safe Sana
 
Back
Top Bottom