Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Wewe sio CHADEMA na hujawahi kuwa CHADEMA.Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana Rais Samia na nitamchagua yeye 2025,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sio CHADEMA na hujawahi kuwa CHADEMA.Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana Rais Samia na nitamchagua yeye 2025,
Onyesha kadi yako hapa, tena ya kidijitali...Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana Rais Samia na nitamchagua yeye 2025,
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
Wenzio wako hoi kwa kushindwa kuthibitisha mashitaka ya kubumba. Labda kawasaidie kwanza.Ila nae Chair aache ugaidi
Mimi namjua Mbowe kuliko unavyofikiriaWenzio wako hoi kwa kushindwa kuthibitisha mashitaka ya kubumba. Labda kawasaidie kwanza.
Msajili tena, na siyo katiba [emoji848]===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
Makufananisha na Polepole,Ila nae Chair aache ugaidi
Uko sahihi mkuu, hata kama Rais kakosea vp huwezi kumuita hivyo maana yeye anawakilisha Watanzania wote. Ukimtukana maana yake umetukana watanzania wote. Japo kwa sasa Samia simkubali kabisaKwa kauli ile kakosea ila kumuita Rais fool unakosea sana mtaalamu. Jaribu kutumia lugha ya busara pale unapowasilisha hoja zako…
Naungana na wewe 100%
Afute sentensi ya kwanza tu.Wewe unastahili kupotea kabisa jombaa, futa hii
Naomba nikujibie mkuu, uko kundi kinyongaHadi nimepost hicho nilichopost hapo wewe unaonaje? Nipo kundi gani labda[emoji848]
Umenikumbisha yule aliyesema "Rudi na mavi yako nyumbani"Angalia aina za watu kama huyu ndo waje wapewe nchi si matatizo hana hata haiba na diction of words....pitiful
Hujitambui kwakuwa unaabudu CCM badala ya Muumba mbingu na duniaWewe unastahili kupotea kabisa jombaa, futa hii
Acha kusapoti Uovuacheni kutisha watu wanapotoa maoni,kwani uongo?
Kanuni na miongozo si vipo Sasa hapo wanataka Nini Tena au ndio umungumtu kama ilivyo ada ya watawala wa Afrika kuishi Kwa matamko na kuvunja katiba?
Shame!
hahahhahaah kweli nyani haoni kundule yaani Leo mnatuona waovu wakati Chama chenu kimejaa majambazi,mafisadi papa na mauaji na hakuna hatua zilizochikuliwa Kwa kulindana utanambia Nini nikuelewe?Acha kusapoti Uovu
Usicheke,Ustawi wa Tanzania unamuhitaji kila mmoja,hahahhahaah kweli nyani haoni kundule yaani Leo mnatuona waovu wakati Chama chenu kimejaa majambazi,mafisadi papa na mauaji na hakuna hatua zilizochikuliwa Kwa kulindana utanambia Nini nikuelewe?
😁😁😁
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,
Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,
View attachment 2045863
View attachment 2045865
View attachment 2045866
Acha hizo, mimi nilikuwa nakujibia tu mkuuMkuu Allency Unamaanisha kundi hili hapa?
Chadema 2005 - 2014
View attachment 2048144
View attachment 2048149
Maana hawa ndio vinyonga waliofuzu kabla hata ya muda wa kufuzu
Acha hizo, mimi nilikuwa nakujibia tu mkuu