IKULU: Rais awataka Msajili na Vyama vya Siasa kutafuta njia bora ya kufanya mikutano ya hadhara nchini

IKULU: Rais awataka Msajili na Vyama vya Siasa kutafuta njia bora ya kufanya mikutano ya hadhara nchini

We una chuki Sana Na Samia, Cha kukusaidia ni upigwe sindano ya sumu ufe taratibu
Anaepaswa kupigwa sindano ya sumu ni huyu Rais ambae ametokana na Mapolisi.Ni Rais wa aibu kwa sababu hana kibali cha wananchi.
 
Chadema hakuna papasi kama wewe

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Chadema
download.jpg
 
Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana Rais Samia na nitamchagua yeye 2025,
Mimi ni CCM ila simkubali kabisa kwa sasa,Ila nilimpokea kwa shangwe kubwana sana,akibadilika nitabadilika naye, mwaka 2025 tunataka rais Mtanganyika
 
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,

Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,


View attachment 2045863

View attachment 2045865

View attachment 2045866
Atumie mbinu za JK ,kung'ata na kupuliza,hao ni njaa tuu wakaipata ruzuku wanatulia,akija Rais mwingine anawaminya hivyo hivyo inakua ni kuwachezea kama watoto.
 
She is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.

Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria zetu.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo well defined na sheria zetu.

Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.

Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria zetu?
Tanzania hatuna katiba,katiba ni rais
 
Natamani Sana kusikia kuwa rais apeleka mswada wa kuifuta sheria iliyoanzisha vyama vingi vya siasa bungeni January mwakani! Akifanya hivyo ataeleweka Sana na atakuwa amesaidia kuleta utulivu wa kisiasa nchini! Fanya hivyo mh Madame president nitakuunga mkono Kwa asilimia zote zilizopo Duniani!
 
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,

Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,


View attachment 2045863

View attachment 2045865

View attachment 2045866

Kila sekunde Polisi wa Tanzania wanavunja sheria za nchi na hawaheshimiwi. Tuanzie hapo kwanza. Huyu mama she must be living in a bubble. Haya mambo ya kuheshimu sheria wakati ni wazi CCM wameinga madarakani kwa kura feki, nani awaheshimu MaCCM? CCM wanafuata Sheria na Katiba? Hii lecture labda angewapa wajukuu zake wa Nursery School. Hizi kauli ni za kijinga kabisa.
 
Huku sasa siyo sawa na bwana Kangi na mikorosho yake?

Hii ni taarifa ya umma ama muhtasari wa hotuba ya mgeni rasmi kwenye mkutano wa kina Zitto na wenzake jana?

Hakuna jipya hapa.
Hata mimi nimeshindwa kuelewa , kwann iitwe taarifa kwa umma
 
She is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.

Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria zetu.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo well defined na sheria zetu.

Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.

Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria zetu?
KWA MATUSI HAYA KWA RAISI WETU, MIMI NAONA AENDELEE KUWAZUIA MIKUTANO YENU YA HADHARA. KWELI MAMA WAWATU ANAHANGAIKA NAMNA HII KULETA MWAFAKA WA SIASA MUMEANZA MATUSI MAPEMA HII??
 
Huyu anaiingizia nchi dollar, pound na Euro nyingi Kila uchao na hafanani na wewe unayemtegemea shemeji Yako Kwa Kila kitu! Yaani anakuzidi parefu Sana kwenye kuchangia uchumi wa nchi!
Nakuona hapo Kati[emoji23][emoji1787]
download.jpg
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu
Kuongea kwa mihemko humu jamii JF hakuongezi wala kupunguza kitu kutoka kwenye iyo barua ukubal ukatae mtafata barua ilivyo agiza

Kla sku viongozi wenu wanawaomba mtoke barabaran mtafute haki zenu kwa nguvu nyie mnazani ni masihala siasa ni mapambano sio mikwala ya kijinga umu JF

Serikal ikisema akuna mikutano ni akuna mikutano ilo mmeliona kwenye uongozi wa JIWE

Siasa za kashifa na lugha ya kuuzi alizizoea mzee wetu Kikwete mtamtukana atawaita ikulu mtakunywa juice na sambusa zen mnapiga pic ila hawa wengne siasa izo hawaziwezi Chadema jifunzeni ilo na mtafute njia ingne nzuri ya kufanya siasa na viongozi hawa wa sasa.

Mbowe akifungwa itakua ni faida sana kwa chadema. Mbowe ni kachelo wa serikali na mbowe ndo anaeiuwa chadema ilo harina ubisha . Chadema ilizalishq vijana weng wazuri sana kisiasa ila mwisho wa sku wote hawaonekan walikopotelea na wengne wamejiunga na CCM tutasema walinunuliwa ila tujiulize vijana wote wa chadema huwa wananunuliwa au kukengeuka Ukianza na Zitto to Mdee.

Chadema imebaki ya kina Lissu,mbowe , msigwa,sugu,heche,lema na mnyika wengne wote ukihoji utaambiwa wamenunuliwa au wamekengeuka majb ya kijinga kbsa

Funga gaidi mbowe kwa maslai mapana ya Chadema
 
Back
Top Bottom