IKULU: Rais awataka Msajili na Vyama vya Siasa kutafuta njia bora ya kufanya mikutano ya hadhara nchini

IKULU: Rais awataka Msajili na Vyama vya Siasa kutafuta njia bora ya kufanya mikutano ya hadhara nchini

Nini kilichopelekea vyama kukatazwa kufanya mikutano, je waliwahi kuvunja sheria wapi na lini, mbona hawasemi.?

Magufuli hakutaka mikutano ya vyama kwa sababu alijua watamlipua kwenye majukwaa kwa sababu ya maovu yake, huo ndio ukweli fikra ambayo anaiendeleza huyu rais wa sasa.

Wanaogopa madhaifu mengi ya serikali yatakuja kuanikwa hadharani na wapinzani, hakuna sababu yoyote inayowafanya wakataze mikutano ya vyama wakati katiba inaruhusu. Waache unafiki.
 
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,

Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,


View attachment 2045863

View attachment 2045865

View attachment 2045866
Mikutano kuwa huru ni takwa la kikatiba na wala Rais haitaji kutolea tamko maana katiba iko juu ya Rais.

Hawa jamaa wakati fulani nahisi labda hawana kabisa akili.
 
Kuongea kwa mihemko humu jamii JF hakuongezi wala kupunguza kitu kutoka kwenye iyo barua ukubal ukatae mtafata barua ilivyo agiza

Kla sku viongozi wenu wanawaomba mtoke barabaran mtafute haki zenu kwa nguvu nyie mnazani ni masihala siasa ni mapambano sio mikwala ya kijinga umu JF

Serikal ikisema akuna mikutano ni akuna mikutano ilo mmeliona kwenye uongozi wa JIWE

Siasa za kashifa na lugha ya kuuzi alizizoea mzee wetu Kikwete mtamtukana atawaita ikulu mtakunywa juice na sambusa zen mnapiga pic ila hawa wengne siasa izo hawaziwezi Chadema jifunzeni ilo na mtafute njia ingne nzuri ya kufanya siasa na viongozi hawa wa sasa.

Mbowe akifungwa itakua ni faida sana kwa chadema. Mbowe ni kachelo wa serikali na mbowe ndo anaeiuwa chadema ilo harina ubisha . Chadema ilizalishq vijana weng wazuri sana kisiasa ila mwisho wa sku wote hawaonekan walikopotelea na wengne wamejiunga na CCM tutasema walinunuliwa ila tujiulize vijana wote wa chadema huwa wananunuliwa au kukengeuka Ukianza na Zitto to Mdee.

Chadema imebaki ya kina Lissu,mbowe , msigwa,sugu,heche,lema na mnyika wengne wote ukihoji utaambiwa wamenunuliwa au wamekengeuka majb ya kijinga kbsa

Funga gaidi mbowe kwa maslai mapana ya Chadema
 
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,

Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,


View attachment 2045863

View attachment 2045865

View attachment 2045866
ID yako ilitakiwa iwe jabali la CCM na siyo la Siasa,una akili za kipumbavu sana, Chadema imeleta fujo gani?
Fujo mnazo nyie ma CCM,kisa Dola inawatii.
Msikosolewe nyie nani pumbavu nyie?
 
... the best way ni kuzingatia Katiba inavyosema; Msajili anaweza na always yuko biased! Msajili na Katiba nani superior? Mbona Katiba ya nchi inapuuzwa namna hii?
Kweli mkuu. Rais aache kuzungusha mambo. Katiba iko wazi.
 
She is hopeless fool.Kanuni na miongozo ya kufanya mikutano ya siasa ipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.

Hata adhabu za ukiukwaji wa kanuni za kuendesha mikutano hiyo zipo kwa mujibu wa sheria zetu.Njia bora za kuendesha mikutano hiyo tayari zipo well defined na sheria zetu.

Msajili wa vyama vya siasa pamoja na Polisi kazi yao ni kusimamia sheria na kanuni hizo na kuhakikisha kuwa zinazingatiwa.

Tukisema kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu tunaonekana wabaya. Sasa Rais anataka hawa watu wakutane wajadili nini tena wakati kila kitu kipo well defined na sheria zetu?
We una chuki Sana Na Samia, Cha kukusaidia ni upigwe sindano ya sumu ufe taratibu
 
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,

Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,


View attachment 2045863

View attachment 2045865

View attachment 2045866
Rubbish
 
===
Hakika mpaka hapa Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha mbele ya Watanzania na dunia jinsi alivyo muumini wa demokrasia na Utawala wa bora,

Kama kuna watu wanataka kuvuruga amani na Utulivu wa nchi hii kwa gharama yeyote watakuwa ni CHADEMA ila Sio CCM hii ya Mama Samia Suluhu Hassan na hili kila mwenye akili ameona dhamira njema ya Rais wetu wanaoendeleza migogoro pia Watanzania wamewaona vema,


View attachment 2045863

View attachment 2045865

View attachment 2045866
Mikutano ya kisiasa sio hisani ya Rais/ watawala ni takwa la Katiba.
 
Kwa nini mtu asishtakiwe kwa alichofanya badala ya haya tunayo yaona!.mfano kumbe kuna mashehe huko jela miaka 8 mwee.
 
Back
Top Bottom