Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Anza na neno Mungu akipenda.Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana Rais Samia na nitamchagua yeye 2025,
Kwa maneno yako inamaana unampangia Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza na neno Mungu akipenda.Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana Rais Samia na nitamchagua yeye 2025,
Wewe mduanzi ukisoma hii habari ndio utajua maana ya ugaidi sio huu ...u.s.h.u.u.z.i ...unaoandika hapa:Ila nae Chair aache ugaidi
Wewe unastahili kupotea kabisa jombaa, futa hii
Mungu anatuwazia mema tuAnza na neno Mungu akipenda.
Kwa maneno yako inamaana unampangia Mungu.
Hawezi kutukana Rais wa nchi kwani yeye ni nani?Amekuwa akitumia lugha za matusi sana kwa RAIS awe makini mno na kauli zake hizo…
Kama unachofanya ni chema kitabarikiwa lakini kama si chema hakitabarikiwa.Mungu anatuwazia mema tu
Wewe upo kundi gani kati ya kumwelewa na kutokumwelewa ?
Hawezi kutukana Rais wa nchi kwani yeye ni nani?
Amen, Kesho kunamkesha wa Vuka na Chako pale Kawe nitakuwepoKama unachofanya ni chema kitabarikiwa lakini kama si chema hakitabarikiwa.
hahhhahaa Behaviourist umeua mkuu nakuaminia kiboko ya MATAGA humu jamvini hahhahaa nikiona post zako na za mwamba #Brazaj hua naenjoy Sana!Kwa nini nitumie lugha ya busara kwa mtu ambae hana busara?
Kaongea vitu vingi vya hovyo vinavyothibitisha kuwa hana busara na kwa hiyo hastahili busara.
1.Anadai kuwa anataka amsamehe Mbowe wakati Mbowe hatumikii adhabu yoyote ile.
2.Anadai kuwa vyama vya siasa vikipewa ruksa ya kufanya mikutano ya kisiasa vinasababisha vurugu na kuharibu mali za umma kitu ambacho siyo kweli.
3.Anataka Polisi,vyama vya siasa pamoja na msajili wa vyama vya siasa wakutane wajadili namna bora ya kufanya mikutano ya siasa wakati namna bora ya kufanya mikutano ya siasa ipo defined tayari kwenye sheria zetu.
4.Ni Rais alietokana na mapolisi.Hana kibali cha wananchi.View attachment 2045934View attachment 2045936View attachment 2045939
Rais kama huyu hapaswi kujibiwa kwa busara kwa sababu yeye mwenyewe hana busara lakini pia hana kibali cha wananchi,ni Rais wa Mapolisi.
She is hopeless fool.
Wewe mtie moyo tuhahhhahaa Behaviourist umeua mkuu nakuaminia kiboko ya MATAGA humu jamvini hahhahaa nikiona post zako na za mwamba #Brazaj hua naenjoy Sana!
Vipi Leo hakuna kibonzo Cha kisindikizia Kwa Hawa wapuuzi wanaodhani nchi inaendeshwa Kwa matamko?
😁😁😁😁
Huyo Rais wa nchi yeye ni mtoa pumzi?Hawezi kutukana Rais wa nchi kwani yeye ni nani?
Rais amekuwa katiba ya nchiNaona Mbowe krismass atailia moshi siku mbili kabla ya 25DEC.
Endeleeni tu mtakipata mnachokitafuta
Tunakisubiri mnachokusudiaEndeleeni tu mtakipata mnachokitafuta
Angalia aina za watu kama huyu ndo waje wapewe nchi si matatizo hana hata haiba na diction of words....pitifulMleta mada acha ujinga!mama kaona mavi yamegonga chupi ndio akatoa tangazo!!!usifikiri mamayo analala usingizi usiku kwa Blunder la Mbowe linavowatesa!!!
Ambae anapaswa kupotea kabisa ni huyu Rais alietokana na mapolisi badala ya kutokana na wananchi.Ni Rais wa aibu kwa sababu hana kibali cha wananchi.Wewe unastahili kupotea kabisa jombaa, futa hii
sidhani aiseeNaona Mbowe krismass atailia moshi siku mbili kabla ya 25DEC.