IKULU: Rais awataka Msajili na Vyama vya Siasa kutafuta njia bora ya kufanya mikutano ya hadhara nchini

IKULU: Rais awataka Msajili na Vyama vya Siasa kutafuta njia bora ya kufanya mikutano ya hadhara nchini

Kwa nini nitumie lugha ya busara kwa mtu ambae hana busara?

Kaongea vitu vingi vya hovyo vinavyothibitisha kuwa hana busara na kwa hiyo hastahili busara.

1.Anadai kuwa anataka amsamehe Mbowe wakati Mbowe hatumikii adhabu yoyote ile.

2.Anadai kuwa vyama vya siasa vikipewa ruksa ya kufanya mikutano ya kisiasa vinasababisha vurugu na kuharibu mali za umma kitu ambacho siyo kweli.

3.Anataka Polisi,vyama vya siasa pamoja na msajili wa vyama vya siasa wakutane wajadili namna bora ya kufanya mikutano ya siasa wakati namna bora ya kufanya mikutano ya siasa ipo defined tayari kwenye sheria zetu.

4.Ni Rais alietokana na mapolisi.Hana kibali cha wananchi.View attachment 2045934View attachment 2045936View attachment 2045939
Rais kama huyu hapaswi kujibiwa kwa busara kwa sababu yeye mwenyewe hana busara lakini pia hana kibali cha wananchi,ni Rais wa Mapolisi.

She is hopeless fool.
hahhhahaa Behaviourist umeua mkuu nakuaminia kiboko ya MATAGA humu jamvini hahhahaa nikiona post zako na za mwamba #Brazaj hua naenjoy Sana!
Vipi Leo hakuna kibonzo Cha kisindikizia Kwa Hawa wapuuzi wanaodhani nchi inaendeshwa Kwa matamko?
😁😁😁😁
 
hahhhahaa Behaviourist umeua mkuu nakuaminia kiboko ya MATAGA humu jamvini hahhahaa nikiona post zako na za mwamba #Brazaj hua naenjoy Sana!
Vipi Leo hakuna kibonzo Cha kisindikizia Kwa Hawa wapuuzi wanaodhani nchi inaendeshwa Kwa matamko?
😁😁😁😁
Wewe mtie moyo tu
 
Mleta mada acha ujinga!mama kaona mavi yamegonga chupi ndio akatoa tangazo!!!usifikiri mamayo analala usingizi usiku kwa Blunder la Mbowe linavowatesa!!!
Angalia aina za watu kama huyu ndo waje wapewe nchi si matatizo hana hata haiba na diction of words....pitiful
 
Wewe unastahili kupotea kabisa jombaa, futa hii
Ambae anapaswa kupotea kabisa ni huyu Rais alietokana na mapolisi badala ya kutokana na wananchi.Ni Rais wa aibu kwa sababu hana kibali cha wananchi.
 
Back
Top Bottom