Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #81
Basi kama unajiamini nakuomba sana Jumatatu wewe na familia yako na mkeo na wanao muingie barabarani ili mkakione cha mtema kuni.Komenti ya kijinga kabisa hii..!!!! Uanaume haupimwi hivi.
Una hali mbaya sana katika afya ya akili yako dogo. Mama anaendelea kusalia madarakani mpaka 2030 utake usitake.Nipanic wakati na enjoy maisha. Wewe jifanye ni mmoja wao tu lakini elewa kuwa huyo unayemshobokea hata akitoka madarakani anapewa ulinzi hadi mwisho wa uhai wake,kazi kwako na umeshaji expose kwa kutaka sifa. Kuwa na kiasi kwani hata hao beneficiaries wa mfumo hawashoboki kama wewe. Shauri yako kuwa na kiasi dunia duara hii.
Labda wewe ndio huna imani kwasababu ya uhalifu wako. Lakini watanzania wanatambua kazi kubwa ya jeshi la polisi katika kuimarisha usalama wa Raia na mali zao.ndio maana watu wanafanya kazi usiku na mchana bila wasiwasi wala hofu ,huku magari yakitembea usiku kucha kusafirisha abiria na mizigo.Raia sahv hawana imani na jeshi la polisi kwa kila kitu kwa ujumlaa
Ova
Aweke wazi ripoti za tume zote za kuchunguza polisi na masuala ya mifumo ya haki.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.
Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Wakitukana wanakamatwa kama kawaidaKwani nyinyi ndio mtaishi milele? Jiwe na kiburi chake leo yuko wapi?
Kama mnafikiri vipigo vya polisi ndio vitarudisha watu nyuma, mjifunze kwa Mdude na SATIVA na wengineo wanaoendelea kupambana licha ya kupigwa sana na Polisi.
Kama vipigo vya Polisi ndio dawa, leo hii msome SATIVA katika mtandao wa X , msome Boniface, msome Godbless Lema, msome Mbowe, msome Mdude, Msome Martin Maranjav Masese, na wengineo wengi.
Mnaangamia kwa kukosa maarifa.
Watekaji wamefanya kikao kizito cha kuendelea kuteka wapinzani.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar.
Hii ni baada ya kupita siku chache kupita alipotoa hotuba nzito sana iliyoitikisa Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
UBALOZI WA USA WASHAMJIBU MAMA UNA HABARI? MMEHARISHA NA KUNYA KWENYE 4R ZAKE NAYEYE KAWASIFIA KWA KUNYA KWENU KWENYE 4R ZAKE MMEMHARIBIA SANA NAYEYE BILA KUJUA UNAFIKI WA WATANGANYIKA KAINGIA KWENYE 18 ZENU.Wewe ndio huna mvuto na kubakia unatapatapa tu.
We unaandika kwa kujikombakombaLabda wewe ndio huna imani kwasababu ya uhalifu wako. Lakini watanzania wanatambua kazi kubwa ya jeshi la polisi katika kuimarisha usalama wa Raia na mali zao.ndio maana watu wanafanya kazi usiku na mchana bila wasiwasi wala hofu ,huku magari yakitembea usiku kucha kusafirisha abiria na mizigo.
Kuandamana nako ni kwa mjibu wa sheria ndani ya katiba,mengine yanayotokea yanatokana na wenye uchu na madaraka wavunja katiba wanaofikri kuandamana ni kutia mchanga kitumbua chao.Nenda uandamane ndio utajuwa kuwa Nchi hii inaendeshwa kwa misingi ya sheria na katiba.
Raia wana imani na Polisi na wanaendelea kuliamini jeshi la Polisi katika ulinzi wao na mali zao.We unaandika kwa kujikombakomba
Ila chukua hiyoooo.....weka kwenye bongo yako sahv sahivi raia hawana imani na polisi kwenye uwajibikaji wao wote
ova
We mwehu tangu lini umekua mwandishi wa ikuluNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.
Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo HayoView attachment 3101186.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Maandamano yamepigwa marufuku.kwa hiyo ukijifanya kichwa maji utakutana na mkono wa dola.Kuandamana nako ni kwa mjibu wa sheria ndani ya katiba,mengine yanayotokea yanatokana na wenye uchu na madaraka wavunja katiba wanaofikri kuandamana ni kutia mchanga kitumbua chao.
We demu una shida sanaKama Mwanaume basi toa pua yako uipeleke barabarani ukione cha mtema kuni.
Mbona umekuja mbiombio utafikiri umechanganyikiwaWe mwehu tangu lini umekua mwandishi wa ikulu
Uwe na adabu dogo.We demu una shida sana
Naona una ropoka Hovyo hovyo tu.UBALOZI WA USA WASHAMJIBU MAMA UNA HABARI? MMEHARISHA NA KUNYA KWENYE 4R ZAKE NAYEYE KAWASIFIA KWA KUNYA KWENU KWENYE 4R ZAKE MMEMHARIBIA SANA NAYEYE BILA KUJUA UNAFIKI WA WATANGANYIKA KAINGIA KWENYE 18 ZENU.