Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Wengi wetu tunafikiri Mama anahujumiwa lakini bila Mama kujua watekaji wameshatekeleza hujuma zao sasa Mama kwa wengi anaonekana naye ni muunga mkono wa watekaji badala ya metetezi na mlezi wa wananchi wote. Sasa watatokea wapinzani wake ndani ya CCM ambao watajifanya wapo na wananchi na hao kumbe ndiyo wanakula na watekaji fulani ndani ya usalama na jeshi la Polisi.

1726856597403.png
 
CCM hatuna watu aina yako ma Bon Yai.
Na kadi ya chama ninayo kabisa, Mimi ni mtu huru sipendi haya mambo kwanini watu wanadhurumiwa haki zao za kuishi ? Kwanini Polisi wana associate na Siasa ? Kwanini wenye Mamlaka katika nchi hii wanaminya haki za binadamu wasio na Mamlaka ?
 
Hata Gaddafi aliita watu mende, ila mwisho wa siku yeye ndio aligeuka mende.
Mwisho wake uliamuliwa akiwa amejificha kwenye Calvert ya kupitisha maji machafu chini ya barabara. Aliokotwa kama paka anayookota panya toka shimoni. The most powerful and feared Canal Mohammad Gaddafi ended his life cowardly while fleeing from the advancing citizens army he had lead with an iron arm for over 30 years. It should have been a lesson to other similar Dictators in Africa
 
..Mama Abduli uwezo wake wa kufikiri ni mdogo.

..Ccm wamejikuta na Mwenyekiti na Raisi asiye na uwezo na hawana uhakika na nini cha kufanya.

..mtu anayefikiri sawasawa hawezi kutoa kauli za kifedhuli wakati watu wako kwenye msiba.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.

Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo Hayo

View attachment 3101186

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
The Killers!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.

Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo Hayo

View attachment 3101186

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
source ya habari yako?
 
Back
Top Bottom