Hawa mashahidi wote wamemnawa!!!

Siasa ni mbaya kuliko ubaya wenyewe
 
Magufuli alianza ujenzi na Samia akiwa makamu wake. Samia kamalizia ujenzi.
Nadhani ndio sababu kuu za Magufuli kumchangua Samia alimwona kama mtu anayefanana nae kimaono.
Hizi siasa za maji taka zinataka kuwaseparate.
 
Saiz wananchi hawadanganyiki, wanajua Kweli.

Utaona hata KARIAKOO, wafanyabiashara wamekwepa wanasiasa wakijua lao moja.

Makundi yote yanaelekea kuungana kupinga udhalimu.

Na hapo ndipo Katiba mpya itapatikana.
Saa 100 naona anaendelea kushupaza shingo kuna siku atatolewa ikulu na maandamano ya watu kukosa haiki na kuwakumbatia mafisadi
 
Nyerere aanapotajwa kila siku na kwenye uzinduZi huu anatajwa sana,anakuongeza kipato kiasi gani,
Why not alietimiza wazo?

Laana itawaandama sana kwa hii tabia yenu ya kijinga sana
 
Watu wa pwani hasa zanzibar ni wavivu kupindukia hilo halina ubishi
 
Siku ikijua kuwa rais tuliye naye alizaliwa "makunduuchi ndiyo utajua nini kinaendelea nchini
 
Magufuli alianza ujenzi na Samia akiwa makamu wake. Samia kamalizia ujenzi.
Nadhani ndio sababu kuu za Magufuli kumchangua Samia alimwona kama mtu anayefanana nae kimaono.
Hizi siasa za maji taka zinataka kuwaseparate.
Hamna,alimchagua kwakua aliona ni mwanamke hana ushawishi wala nguvu kama wanawake wanavyodharaulika usukumani🙏na ndio maana hakumshirikisha mambo mengi alipokuwa rais Hadi maza alitaka kujiuzulu🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…