Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kaka ukiona sehem wananunua wenye pesa kwa hela nyingi unaweza dharau, kinachofanya mtu atoe hiyo pesa ni malengo yake na uhitaji wake kulingana na eneo lilipo.Mpumbavu ndio atanunua
Alie na pesa hard cash hawez kuzipepeurusha humu mjue anazo
Mhh sawaJamani kama utasikia kuna mtu anauza nyumba au kiwanja maeneo ya Goba, Tegeta, Boko au Bunju kwa bei kati ya milioni 20 hadi 30, ukubwa wowote haina shida, wewe muache tu aiuze mimi sina hela kwa sasa.
Nunua nyumba kijana mbona iko fresh SI unacheki ina gutter, bati ya alaf Simba dumu.
Ipo kiliman Kama nyumba za Hollywood.
Lugha za Matapeli zile.😂Umeongea kama mwenye page ya Sossy Magari Instagram, huwa nacheka sana nikipita ile page.
Amesema anauza nyumba sio kiwanja kwa hio hapo anakuuzia nyumba ila kiwanja kinabakia kua mali yake in case pakitokea lolote kiwanja kikitakiwa na Serikali ikivunja nyumba mgao wake wa kiwanja upo pale pale wewe atakupa % za nyumba aliyokuuzia tuNilichogundua watu wengi hawajui kuwa kinachouzwa hapo ni eneo na wala sio nyumba.
Ingeweza kuwa ni nyumba ya tope lakini kinachoangaliwa ni location na potential ya eneo.
Nyumba yenyewe hata msingi haina maana imeishaliwa iko juu inaning'inia! Nyumba za aina hii wamiliki wao wengi washirikina na wachawiIla wabongo, aya bwana.
View attachment 3217434
Labda iko Kariakoo GerezaniIla wabongo, aya bwana.
View attachment 3217434
Madalali wa TZ kwa 98% ni matapeli.Ila wabongo, aya bwana.
View attachment 3217434
labda plot ingekuwa ni "low density"(1201-1500 sq.m)Eti kwa kuwa iko Kinyerezi.
Hata mahali pa kupark gari hapaonekani
Sema kifuru sio kinyerezi aisee dalali ache utapeli huko kuna mabonde ya kutosha kama bonyokwa.kwa kuangalia mazingira yalivyo hatokosa 25m-30m, angalia video kwenye link naiweka hapa chini, imebidi nikasearch
View: https://www.instagram.com/reel/DFX9sHysmWo/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
View attachment 3217454
Lengo la mleta mada sijui ni kuchafua madalali, picha aliyoambatanisha haina maelezo yote muhimu ya eneo linalouzwa na ameyaacha sijui ni bahati mbaya au kakusudia kuyaficha ili lengo lake lifanikiwe.
Kuwa na mabonde haizuii bei kuchangamka, na baada ya miaka bei itakuwa mara mbili ya hiyo.Sema kifuru sio kinyerezi aisee dalali ache utapeli huko kuna mabonde ya kutosha kama bonyokwa.
Labda ununue ubomo hicho kichuguuKuwa na mabonde haizuii bei kuchangamka, na baada ya miaka bei itakuwa mara mbili ya hiyo.
Amshawishi jirani yake hapo namuona yupo vizuri apanunue aongeze eneokwa kuangalia mazingira yalivyo hatokosa 25m-30m, angalia video kwenye link naiweka hapa chini, imebidi nikasearch
View: https://www.instagram.com/reel/DFX9sHysmWo/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
View attachment 3217454
Lengo la mleta mada sijui ni kuchafua madalali, picha aliyoambatanisha haina maelezo yote muhimu ya eneo linalouzwa na ameyaacha sijui ni bahati mbaya au kakusudia kuyaficha ili lengo lake lifanikiwe.
Si utatengeneza mwenyeweEti kwa kuwa iko Kinyerezi.
Hata mahali pa kupark gari hapaonekani
Ni wazo zuri kama jirani anao huo uwezo aongeze eneo.Amshawishi jirani yake hapo namuona yupo vizuri apanunue aongeze eneo
Mwenye pesa hapo akinunua kunabaki hewa na ardhi tu vingine vyote vinavunjwa.Labda ununue ubomo hicho kichuguu
Kubali au ukatae ila mwenye nyumba hapo hauzi zaidi ya 15M ila dalali kapiga dabo.Mwenye pesa hapo akinunua kunabaki hewa na ardhi tu vingine vyote vinavunjwa.