Ili mtu mweusi aweze kuendelea anabidi kujifunza kutoka kwa mzungu na watu wa dunia ya kwanza

Jamaa kila kukicha, 'amelaaniwa' wacha ajitapikie tu konyo kabisa laana laana tu zimemjaa. Mfyuuuuuuuu
 
Ujinga mtupu....kitabu pekee chenye maarifa yote yote yampasayo mwanadamu ni Quran ya waarabu
 
Hakuna cha kujifunza, siku hizi watu wanafanya shortcut, wanjichubuwa na kula madawa wawe weupe wawe na akili. Na kuvaa nywele za maiti wa kizungu ndiyo kuwa na akili.

Au wanatembea uchi na kuiga wanavyoongea wazungu ndiyo akili hiyo.
 
Africa walikuwa wanawafanyia wanawake ukeketaji kabla wazungu hawajafika bara hili.

Kulikuwa na wachawi na waganga wa kienyeji.

Kulikuwa na vita vya makabila,

Kulikuwa na utumwa

Kulikuwa na ushoga.

Kulikuwa na wizi, mauaji, na mambo mengine yote ambayo binadamu wengine hufanya.
Ushoga umekuwepo Africa hata kabla ya ujio wa wazungu.
Sawa ulikuwepo lakini hao mashoga wa kabla ya ukoloni walikuwa wanatoka hadharani na mabango kudai haki zao kama wafanyavyo leo?

Mimi nimekulia kidogo mazingira ya dsm early 2000s Kariakoo kulikuwa na watu wakidaiwa kuwa mashoga lakini huwezi kuwajua mpaka watembee au wazungumze na walikuwa na heshima siyo kila mtaa ungekuta wanapita wanapita mitaa yao wanayoijua tena usiku tu but leo tunaona wanaenda mpaka radio stations kujitangaza kisa mtu mweupe kaanzisha chama cha kuwawakilisha.
 
Naelewa kwamba una uwezo wa kujitetea na siezi kuvuka mipaka yangu kwa kukupa ushauri. Hatahivyo,

naelewa huyo Infropreneur amelaaniwa. Dont pay him any attention, best kumpotezea mazima,
Find someone of your league to parallel your mediocrity.

Damn Fool.
ni mtu anayejitia laana kila siku na posti zake za kulaanika yeye na ukoo wake. Si ajabu huwa anajitapikia mdomoni kila anapokutana na mtu mweusi. Nimesoma pahali kuhusu Uncle Tom. Dah.
Feelings zako pelekea mamako.
 
Hakuna cha kujifunza, siku hizi watu wanafanya shortcut, wanjichubuwa na kula madawa wawe weupe wawe na akili. Na kuvaa nywele za maiti wa kizungu ndiyo kuwa na akili.

Au wanatembea uchi na kuiga wanavyoongea wazungu ndiyo akili hiyo.
Kwa nini ulienda kusomea Canada badala ya Zanzibar State University huko Vuga?
 
Tangu Mashoga waanze kujitokeza hadharani wamekuwa na madhara gani kwako au jamii inayokuzunguka?

Nipe mifano ya hasara au madhara yaliyotokana na mashoga kujitokeza hadharani

Wakienda kwenye radio stations si unaachana na hizo radio, au unalazimishwa kuzisikiliza??

Nipe uthbitisho pia kwamba hawa mashoga wa Tanzania wametokana na kuiga wazungu na sio Waarabu halafu uniambie pia kwa nini hizi kelele ziko zaidi mikoa ya pwani na Zanzibar.
 
Kuna kitu kinaitwa DEVIL πŸ‘ΏπŸ‘ΏπŸ˜ˆ INCARLINATION TRAP...

Yaan maji hufuata mkondo yaan kitoto Cha kiafrica kisicho jua chochote utashangaa kinafanya vitu vya kikubwa mpaka una staajabu kimejifunzia wapi 🀣🀣 vice versa kitoto Cha kizungu kinakua very very civilized tangu tumboni mwa mama Ake na ndio maana wanabalikiwa sanaa...

Mtoto wa kizungu anapewa laptop πŸ’» au simu janja au tablets tangu wadogo na wanatumia in constructive matters mpe mtoto wa kiafrika kama sio kujaza miziki na kujaza picha za uchi na pornography
 
Ili kuongeza IQ haswa kwa Makabila yetu ya Kibantu nilishawahi kupendekeza kuzaana na Makabila ya Asia haswa Bara Hindi maana ukisema tuoane Waafrika kwa Waafrika ni yale yale ni watu wale wale hata ukivuka mipaka.


 
Asilimia kubwa ya jamii za kiafrika ni wapumbavu,mifumo ya kipumbavu imejengeka kwenye jamii zetu tumeikuta toka tulipozaliwa.Viongozi wapumbavu,walimu wapumbavu,askari(JWTZ,Polisi na wengineo) wapumbavu,wazazi wapumbavu,watoto wapumbavu hasa hawa wa hali ya chini wa Saint Kayumba,maofisini kumejaa wapumbavu hasa public sector kila.mahala wapumbavu wamejazana
 
Tumetoka mbali lakini bado tuna kazi nzito mbele yetu.

Kuna wengine wanasema baadhi ya tabia hizi zilikuwa na lengo la kizuia Waarabu wafanyabiashara ya Utumwa wasiwachukie Mabibi na Mababu zetu na kuwapeleka sokoni Zanzibar.

Na kuna wengine wanasema Plate ya puani ilikuwa ni ya kuwekea Ugoro na ya mdomoni ni ya Ugali who knows?!
 
Unataka mkazi bonyokwa asikilize Country music aache singeli za dula makabila
 
Tuzaane na hawa Watamil kutoka kusini mwa Bara Hindi na Ceylon huu ni ushauri wangu binafsi tu simlazimishi mtu.

 
Tufanye kama Farao alivyowabadilisha Wanubi.
 
Mkuu, nafikiri kuna utofauti kati ya kuiga na kujifunza. Anayeiga hucopy na kupaste. Lakini anayejifunza, hutafuta kujua kwa lengo la kuweza kufanya maamuzi bila kumtegemea aliyemfundisha.
Ndiyo maana, pamoja na kuwa mgunduzi wa ndeke alikuwa Mmarekani, lakini teknolojia hiyo imeenea kwenye mataifa mbalimbali duniani, ikiwemo China. Kilichomsaidia Mchina ni unyemyekevu wake, kwamba alikubali kujifunza kwa Mzungu na Sasa anaweza kuunda ndege bila msaada wa Mzungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…