SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Jamaa kila kukicha, 'amelaaniwa' wacha ajitapikie tu konyo kabisa laana laana tu zimemjaa. MfyuuuuuuuuNaelewa kwamba una uwezo wa kujitetea na siezi kuvuka mipaka yangu kwa kukupa ushauri. Hatahivyo, naelewa huyo Infropreneur amelaaniwa. Dont pay him any attention, best kumpotezea mazima, ni mtu anayejitia laana kila siku na posti zake za kulaanika yeye na ukoo wake. Si ajabu huwa anajitapikia mdomoni kila anapokutana na mtu mweusi. Nimesoma pahali kuhusu Uncle Tom. Dah.
Hakuna cha kujifunza, siku hizi watu wanafanya shortcut, wanjichubuwa na kula madawa wawe weupe wawe na akili. Na kuvaa nywele za maiti wa kizungu ndiyo kuwa na akili.Tukubali tu wenzetu wazungu wamepiga hatua kubwa Sana na wako mbele yetu sana.
Tujifunze kupitia wao na sio kuwachukia maana kuwachukia haisadii chochote zaidi ya kuendelea kukaa pale pale.
Ukitaka kuijenga Akili yako ili iwe bora, soma vitabu vya wazungu huko ndo utapata maarifa sahihi na bora.
Sikiliza country music
Ukitaka kujua mambo ya uchumi soma vitabu vyao Kama The psychology of money
Ukitaka kuwa Kiongozi bora soma vitabu vya John Maxwell
Kiufupi tujifunze kwao ili na sisi tupige hatua tuwe na fikra huru ikiwezekana serikali iruhusu vitabu Kama Rich dad poor dady vifundishwe mashuleni.
Africa walikuwa wanawafanyia wanawake ukeketaji kabla wazungu hawajafika bara hili.
Kulikuwa na wachawi na waganga wa kienyeji.
Kulikuwa na vita vya makabila,
Kulikuwa na utumwa
Kulikuwa na ushoga.
Kulikuwa na wizi, mauaji, na mambo mengine yote ambayo binadamu wengine hufanya.
Sawa ulikuwepo lakini hao mashoga wa kabla ya ukoloni walikuwa wanatoka hadharani na mabango kudai haki zao kama wafanyavyo leo?Ushoga umekuwepo Africa hata kabla ya ujio wa wazungu.
KwendaWacha upumbavu kenge we. wapi nimesema hakuna Racism?
Usiniletee shobo.
Na Ww uende ukaishi na ma racist wenzako huko.
Naelewa kwamba una uwezo wa kujitetea na siezi kuvuka mipaka yangu kwa kukupa ushauri. Hatahivyo,
Find someone of your league to parallel your mediocrity.naelewa huyo Infropreneur amelaaniwa. Dont pay him any attention, best kumpotezea mazima,
Feelings zako pelekea mamako.ni mtu anayejitia laana kila siku na posti zake za kulaanika yeye na ukoo wake. Si ajabu huwa anajitapikia mdomoni kila anapokutana na mtu mweusi. Nimesoma pahali kuhusu Uncle Tom. Dah.
Kwa nini ulienda kusomea Canada badala ya Zanzibar State University huko Vuga?Hakuna cha kujifunza, siku hizi watu wanafanya shortcut, wanjichubuwa na kula madawa wawe weupe wawe na akili. Na kuvaa nywele za maiti wa kizungu ndiyo kuwa na akili.
Au wanatembea uchi na kuiga wanavyoongea wazungu ndiyo akili hiyo.
Tangu Mashoga waanze kujitokeza hadharani wamekuwa na madhara gani kwako au jamii inayokuzunguka?Sawa ulikuwepo lakini hao mashoga wa kabla ya ukoloni walikuwa wanatoka hadharani na mabango kudai haki zao kama wafanyavyo leo?
Mimi nimekulia kidogo mazingira ya dsm early 2000s Kariakoo kulikuwa na watu wakidaiwa kuwa mashoga lakini huwezi kuwajua mpaka watembee au wazungumze na walikuwa na heshima siyo kila mtaa ungekuta wanapita wanapita mitaa yao wanayoijua tena usiku tu but leo tunaona wanaenda mpaka radio stations kujitangaza kisa mtu mweupe kaanzisha chama cha kuwawakilisha.
Kuna kitu kinaitwa DEVIL πΏπΏπ INCARLINATION TRAP...Tukubali tu wenzetu wazungu wamepiga hatua kubwa Sana na wako mbele yetu sana.
Tujifunze kupitia wao na sio kuwachukia maana kuwachukia haisadii chochote zaidi ya kuendelea kukaa pale pale.
Ukitaka kuijenga Akili yako ili iwe bora, soma vitabu vya wazungu huko ndo utapata maarifa sahihi na bora.
Sikiliza country music
Ukitaka kujua mambo ya uchumi soma vitabu vyao Kama The psychology of money
Ukitaka kuwa Kiongozi bora soma vitabu vya John Maxwell
Kiufupi tujifunze kwao ili na sisi tupige hatua tuwe na fikra huru ikiwezekana serikali iruhusu vitabu Kama Rich dad poor dady vifundishwe mashuleni.
Unataka mkazi bonyokwa asikilize Country music aache singeli za dula makabilaTukubali tu wenzetu wazungu wamepiga hatua kubwa Sana na wako mbele yetu sana.
Tujifunze kupitia wao na sio kuwachukia maana kuwachukia haisadii chochote zaidi ya kuendelea kukaa pale pale.
Ukitaka kuijenga Akili yako ili iwe bora, soma vitabu vya wazungu huko ndo utapata maarifa sahihi na bora.
Sikiliza country music
Ukitaka kujua mambo ya uchumi soma vitabu vyao Kama The psychology of money
Ukitaka kuwa Kiongozi bora soma vitabu vya John Maxwell
Kiufupi tujifunze kwao ili na sisi tupige hatua tuwe na fikra huru ikiwezekana serikali iruhusu vitabu Kama Rich dad poor dady vifundishwe mashuleni.
Mkuu, nafikiri kuna utofauti kati ya kuiga na kujifunza. Anayeiga hucopy na kupaste. Lakini anayejifunza, hutafuta kujua kwa lengo la kuweza kufanya maamuzi bila kumtegemea aliyemfundisha.Huwezi kuendelea Kamwe kwa kuiga iga watu, Nchi ambazo sio za Magharibi zilizopiga hatua kiuchumi hazijakua kwa kuiga, Nchi za Gulf, Nchi za Asia Kusini mashariki, Nchi za Asia ya mbali zote zimetoboa kwa kujijua wapo wapi na wanaelekea wapi.
Kuiga siku zote utaendelea kuwa mtumwa.
Unamaanisha tukakirudishe chetu?Kama wao ustaarabu walichukua kwa kemet, unaonaje na ss tukachukua kwao.
Mkuu, usifike huko. Cool down plse,πWacha upumbavu kenge we. wapi nimesema hakuna Racism?
Usiniletee shobo.
Na Ww uende ukaishi na ma racist wenzako huko.