SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Jamaa kila kukicha, 'amelaaniwa' wacha ajitapikie tu konyo kabisa laana laana tu zimemjaa. MfyuuuuuuuuNaelewa kwamba una uwezo wa kujitetea na siezi kuvuka mipaka yangu kwa kukupa ushauri. Hatahivyo, naelewa huyo Infropreneur amelaaniwa. Dont pay him any attention, best kumpotezea mazima, ni mtu anayejitia laana kila siku na posti zake za kulaanika yeye na ukoo wake. Si ajabu huwa anajitapikia mdomoni kila anapokutana na mtu mweusi. Nimesoma pahali kuhusu Uncle Tom. Dah.