Ili mtu mweusi aweze kuendelea anabidi kujifunza kutoka kwa mzungu na watu wa dunia ya kwanza

Ili mtu mweusi aweze kuendelea anabidi kujifunza kutoka kwa mzungu na watu wa dunia ya kwanza

Ushoga nao ni wakujifunza?
Siumeona jinsi ulivyo
Ana point usim-crush!

Mzungu au mwarabu in short mtu yeyote mweupe angesema ushoga ni uwendawazimu/ukichaa/uchizi leo hakuna Mwafrika angekuwa m$£nge,lakini kwa sababu hao weupe wanaufurahia na kuupigia debe mijitu myeusi kama mazombie imeng'ang'ana nao.
 
Nimeshawauliza , na hakuna hata mmoja aliyetoa sababu za kwenda huko kwasababu ya Wazungu wameendelea au mtu mweusi anahitaji kuwaiga ili aendlee!


Kwani hakuna wazungu wanaofia barani Afrika kila mwaka?

Kwanini wazungu wanakuja Afrika?
Siyo mpaka uende kwao ndiyo utaweza kujifunza. Hata hapo ulipo unaweza kujifunza mazuri yao kupitia vitabu vyao.

Kuhusu Wazungu wanaokuja Afrika, sababu zinaweza zikawa kama ifuatavyo:
1. Kutalii baada ya kazi nzuri ya kujenga nchi zao
2. Kuchunguza sababu inayowafanya Waafrika wengi kutokuendelea pamoja na kuwa na rasilimali nyingi
3. Kuzitumia fursa za kiuwekezaji ambazo Waafrika hawajazitambua
4. Kutoa misaada kwa Waafrika wenye uhitaji ambao Serikali yao imeshindwa kuwasaidia
 
Tukubali tu wenzetu wazungu wamepiga hatua kubwa Sana na wako mbele yetu sana.

Tujifunze kupitia wao na sio kuwachukia maana kuwachukia haisadii chochote zaidi ya kuendelea kukaa pale pale.

Ukitaka kuijenga Akili yako ili iwe bora, soma vitabu vya wazungu huko ndo utapata maarifa sahihi na bora.

Sikiliza country music

Ukitaka kujua mambo ya uchumi soma vitabu vyao Kama The psychology of money

Ukitaka kuwa Kiongozi bora soma vitabu vya John Maxwell

Kiufupi tujifunze kwao ili na sisi tupige hatua tuwe na fikra huru ikiwezekana serikali iruhusu vitabu Kama Rich dad poor dady vifundishwe mashuleni.
Huwezi kuendelea Kamwe kwa kuiga iga watu, Nchi ambazo sio za Magharibi zilizopiga hatua kiuchumi hazijakua kwa kuiga, Nchi za Gulf, Nchi za Asia Kusini mashariki, Nchi za Asia ya mbali zote zimetoboa kwa kujijua wapo wapi na wanaelekea wapi.

Kuiga siku zote utaendelea kuwa mtumwa.
 
Absolutely.
Ni lazima tujifunze na kuiga mazuri yao yote, Yale ambayo tunaona kuwa ni mabaya basi tuwaachie wao wenyewe.
Ukiiga mazuri yao utaamka kitu wasichotaka kitokee na ukipata kiongozi mzuri anayekufungulia codes zao wanampiga vita refer Dr Magufuli.

Ukiiga mazuri yao eg demokrasia wanakuchomekea iga na ushoga wao kwamba hivyo viwili vinarandana haviachani,ni kusema leo ukitaka uongozwe na kiongozi unaemtaka wewe unatakiwa na siku mwanao wa kiume akisema hataki kuoa anataka aolewe yeye uandae sherehe ya send off kumuaga anaenda kuchezea miti na usinune,ukinuna umevunja demokrasia.
 
Mimi naamini weusi kwa asili yetu tungekuwa hatujakutana na watu weupe dunia yetu ingekuwa bora sana,iliyojaa maadili heshima mtu kwa mtu etc.
 
Tatizo letu ni IQ hafifu kama kuna watu walioishi karibu na watu weupe ni Waafrika Waamerika wamesoma Vyuo Vikuu huko USA lakini hawana tofauti sana na Waafrika wa Kongo ni kuimbaimba tu hata wale waliotengenezewa Taifa lao la Liberia hawana tofauti na Wasiera lione.
 
Mmatumbi wa Ubaruku na kipilipili kichwani unasikiliza country music! Kwamba rnb mbaya. Hip hop mbaya. Bongo fleva mbaya. Afro beats mbaya. Y'all ni66as are sell outs.
Mi ni mshabiki wa hip hop ila kiukweli hip hop ni mbaya na haifai kwa jamii zetu. Kule ni drugs, guns and violence hasa na kitu kinaitwa african american culture kukimbia watoto kuwaachia single mothers na thug life eti one wife ,mistress and girlfriend(prostitution).

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mimi naamini weusi kwa asili yetu tungekuwa hatujakutana na watu weupe dunia yetu ingekuwa bora sana,iliyojaa maadili heshima mtu kwa mtu etc.
Africa walikuwa wanawafanyia wanawake ukeketaji kabla wazungu hawajafika bara hili.

Kulikuwa na wachawi na waganga wa kienyeji.

Kulikuwa na vita vya makabila,

Kulikuwa na utumwa

Kulikuwa na ushoga.

Kulikuwa na wizi, mauaji, na mambo mengine yote ambayo binadamu wengine hufanya.
 
Ukiiga mazuri yao utaamka kitu wasichotaka kitokee na ukipata kiongozi mzuri anayekufungulia codes zao wanampiga vita refer Dr Magufuli.

Ukiiga mazuri yao eg demokrasia wanakuchomekea iga na ushoga wao kwamba hivyo viwili vinarandana haviachani,ni kusema leo ukitaka uongozwe na kiongozi unaemtaka wewe unatakiwa na siku mwanao wa kiume akisema hataki kuoa anataka aolewe yeye uandae sherehe ya send off kumuaga anaenda kuchezea miti na usinune,ukinuna umevunja demokrasia.
Ushoga umekuwepo Africa hata kabla ya ujio wa wazungu.
 
Mmatumbi wa Ubaruku na kipilipili kichwani unasikiliza country music! Kwamba rnb mbaya. Hip hop mbaya. Bongo fleva mbaya. Afro beats mbaya. Y'all ni66as are sell outs.
Yes mkuu country music Ina ujumbe Sana na inaongeza utulivu wa akili na hisia katika kuyaelekea mambo
 
Mimi naamini weusi kwa asili yetu tungekuwa hatujakutana na watu weupe dunia yetu ingekuwa bora sana,iliyojaa maadili heshima mtu kwa mtu etc.

Ni vizuri ukajenga hoja bila kutumia hisia na mihemko tatizo la MTU mweusi lipo ndani yake hapendi kujifunza ni mtu ambaye hawazi kesho ya watoto wake itakuaje .


MTU yeyote ambaye kafanikiwa ni MTU ambaye anajifunza kila siku na sio MTU anayelaumu ,kulalamika ,kukosoa bila kuangalia solutions.


Wazungu wana Hasi na Chanya Ila sisi tuna hasi na hasi
 
Kwamba wewe ni HN? Umejua kusoma na kuwaiga na kwahiyo umeendelea?

Unajidanganya na unajivutia laana kwenu.

hizo ni hulka za mwanadamu. Sasa Ukizingatia kwamba vitabu unavyotaka tuige, na mambo mengine ya wazungu, basi usisahahu kwamba hata vitabu vikuu vingi vya dini duniani vimezungumzia roho mbaya, chuki, wivu, na ujuaji ushamba n.k sasa wao walijifunza wapi?

utaona kuwa umepiga kalas hapo.
Did you mean a House Niga?
 
So what? Racism ipo dunia nzima? Bora ungeniambia kitu sijui hatahivyo hiyo siyo hoja yangu

Ngoja sindano ikuingie. HN oops, Uncle Tom! Nani ameweka emotions hapo?
Wewe ni gaidi tu, you're a racist bigoted mysoginistic twaat.
Umba dunia yako isiyo na Racism ukaishi.
 
So what? Racism ipo dunia nzima? Bora ungeniambia kitu sijui hatahivyo hiyo siyo hoja yangu

Ngoja sindano ikuingie. HN oops, Uncle Tom! Nani ameweka emotions hapo?
Wewe ni gaidi tu, you're a racist bigoted mysoginistic twaat.
Naelewa kwamba una uwezo wa kujitetea na siezi kuvuka mipaka yangu kwa kukupa ushauri. Hatahivyo, naelewa huyo Infropreneur amelaaniwa. Dont pay him any attention, best kumpotezea mazima, ni mtu anayejitia laana kila siku na posti zake za kulaanika yeye na ukoo wake. Si ajabu huwa anajitapikia mdomoni kila anapokutana na mtu mweusi. Nimesoma pahali kuhusu Uncle Tom. Dah.
 
Back
Top Bottom