Ilikuwaje mara ya kwanza ulipokutana na mtu mliyechati mtandaoni kwa nia ya kuwa wapenzi?

Ilikuwaje mara ya kwanza ulipokutana na mtu mliyechati mtandaoni kwa nia ya kuwa wapenzi?

Umenikumbusha nyimbo ya Rupert Holmes inaitwa Escape,(Pina Colada)

Rupert alikua kachoshwa na mke wake,akaamua atafute mwanamke MWINGINE amuoe,time hiyo hakukua na Simu Wala fb,so akanunua Gazeti kaficha utambulisho wake,akaweka tangazo kua anatafuta mwanamke,sifa asiwe smart sana awe na half brain,asiwe mlevi,hata kama anapenda yoga sio mbaya,Cha mwisho awe anapenda Pina colada (aina ya chakula)..

Akatokea mwanamke ambae ana sifa kama zile,nae kachoshwa na gume gume lake,wakapanga date kukutana,siku ya kukutana kaenda kukutana na mke wake.. wakachukuana wakarudi home..
Pina colada ni cocktail drink(rum+pineapple juice+coconut juice)
 
Umenikumbusha nyimbo ya Rupert Holmes inaitwa Escape,(Pina Colada)

Rupert alikua kachoshwa na mke wake,akaamua atafute mwanamke MWINGINE amuoe,time hiyo hakukua na Simu Wala fb,so akanunua Gazeti kaficha utambulisho wake,akaweka tangazo kua anatafuta mwanamke,sifa asiwe smart sana awe na half brain,asiwe mlevi,hata kama anapenda yoga sio mbaya,Cha mwisho awe anapenda Pina colada (aina ya chakula)..

Akatokea mwanamke ambae ana sifa kama zile,nae kachoshwa na gume gume lake,wakapanga date kukutana,siku ya kukutana kaenda kukutana na mke wake.. wakachukuana wakarudi home..
Hiki kisa chako nimekirudia kusoma mara mbili 😅😅🙌

Kweli Kuna watu wamevurugwa na mapenzi 😜
 
Mkiona hii ID ya mtaalam Jesse Lingard jueni kuna mtu anakaribia kuangushiwa jumba --

Majuzi tu, 2021, yule Mdada wa JF aisee hapana -- Dada ana mwili mkubwa amejazia juu hatari -- Halafu mwenyewe anaji brag ni corporate material -- Nilimvumilia masaa machache, ukawa mwisho. Mbusi yule maneno mengi -

2023 nikaja kukutana na the real corporate pale 1245, usiku wa akili za usiku -- Japo tuliendeleza mawasiliano kwa siku kadhaa mbele, nikiri viwango vyake vilikuwa vya juu sana, mimi ndo nilijiengua.
 
Nilimuona Facebook kipindi icho Facebook moto kweli,tukapanga tuonane tukaonana kweli!!
Alikua Yuko real vilevile kama picha alizokua akinitumia!
Nikaona tunaendana akanizalia binti now Yuko form 1 mdogo wake Yuko darasa la 5
Angels still exist
 
Niliopoa manzi mtandaoni akanipa no zake tukaanza wasiliana kitu kizuri hakua anakaa mbali sana na ninakoishi mm Yani mwendo wa dk 30 Kwa daladala Tukapanga cku ya kukutana mhuni nkatuma nauli na demu akaja ila sasa daaah nilijua ni kabinti fln ila kumbe ni lidada sawa na shangazi Yani limenizidi miaka 12 Aiseee haya mambo acha tuu
Nacheka kama mazuri
 
Kupigika kifedha = kuwa na sura mbaya. Demu akishaona umechoka anakuona kama sokwe mbele yake. Hata mimi siku nakutana na huyo manzi nilikuwa nimevaa suruali ya kitambaa na shati kama la mwanakwaya wa kijijini kwa kina Lucas Mwashambwa. Hata kukutania pale Njiro Complex ilikuwa ni kufosi mambo.
Uko sahihi kabisa, kuna jarida moja nchini Nigeria lilitoa picha za wasanii mbalimbali picha kipindi wamepigika hawajawa maarufu na hawajawa na pesa, picha ya pili ni kipindi cha sasa kwa kweli ni vitu viwili tofauti,
 
🤣🤣🤣

Kuna dem mmoja Enzi hizo SIM sio smart alikuwa nesi mbulu huko, SASA anasauti tamu Kama Diva anamzidi kidogo ephen_

Akaja town SASA kumchek mshikaji tukaenda kumpokea ubungo terminal miaka hiyo haha mweusi chunusi zakutosha kibonge flan hivi hasomeki.

Jamaa alizima simu tukapotea
Ila sumbai una vituko😂
Una mtoto mwenye age 35 above? Ili niingie kwenye ukoo wako upunguze kuniwaza
 
Back
Top Bottom