THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
UTUMIE HELA,WE UNA HELA AU UNA HELENI??Mimi natumia pesa zangu situmii pesa za walipakodi, situmii pesa za wavuja jasho kusafirisha machawa kama nyie wala wasanii, wala silipi machawa kama nyie muwende kimanzichana, wala situmii pesa za walipakodi kulipa vyombo vya habari viende vikave habari kimanzichana.
Tanganyika inaumizwa kwa kutawaliwa na Mzanzibari,ebu nitajie mamlaka au madaraka aliyonayo huyo tunayemuita Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania upande wa Zanzibar zaidi ya Tanganyika.mbona kama muungano sisi ndio tunajifanya tunaumia sana na Muungano lakini viongozi WA nchi wenyewe kiuhalisia wanajua Zanzibar ndio unaumizwa.
Kwi Kwi Kwii/ Fostering growth,
ii/ Supporting small businesses,
and enhancing residents' overall well-being.
Obvious ukitazama kiupana Faida zinazidi hasara👍
Watanganyika wote hivi sasa ni koloni la Wazanzibar na ndiyo maana zinatumika rasilimali za Tanganyika kwenda kufanyia sherehe za kifamilia zilizopachikwa jina la tamasha.Una mawazo ya kikoloni sana boss
Tanganyika ilizikwa kwa heshima kubwa kwa hoja kuntu zenye maslahi mapana na si maslahi koko....Njia pekee ya tanganyika kuwa salama ni kutengana na zanzibar
Subiri Kula kwa dada hapo,UTUMIE HELA,WE UNA HELA AU UNA HELENI??
SASA,UNATAKA UJIFANANISHE WEWE KALUBANDIKA NA RAIS WA NCHI HII??
WE PIGA PIGA KELELE ZAKO HAPA JF UONDOKE ZAKO.
KAMA UNAVYOSUBIRI WEWE UTUMWE NA SHEMEJI YAKO HAPO NYUMBANI ANAEMKAZA DADA YAKO SIYO WOTE TUKO HIVYO,WE KULA UKAOSHE VYOMBO,SI MNAPENDA VYA BURE BURE WATOTO WA SIKU HIZI.Subiri Kula kwa dada hapo,
Ndiyo sababu sisi wanyonge tunakamukiwa Kodi kila siku!Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Noma sana!Ndiyo sababu sisi wanyonge tunakamukiwa Kodi kila siku!
Kumbe Kodi zetu, ndivyo zinafanyiwa matumizi ya anasa ya kiwango hicho??😭
Fikra duni mno...Watanganyika wote hivi sasa ni koloni la Wazanzibar na ndiyo maana zinatumika rasilimali za Tanganyika kwenda kufanyia sherehe za kifamilia zilizopachikwa jina la tamasha.
Mimi najiweza, ninaweza kuwafungia ndan wewe na dada yako pamoja na huyo mume WENU, kazi YENU iwe Kula na kujamba tuu bila kufanya kazi yoyote ndani ya mwaka mmojaKAMA UNAVYOSUBIRI WEWE UTUMWE NA SHEMEJI YAKO HAPO NYUMBANI ANAEMKAZA DADA YAKO SIYO WOTE TUKO HIVYO,WE KULA UKAOSHE VYOMBO,SI MNAPENDA VYA BURE BURE WATOTO WA SIKU HIZI.
Kodi zetu zinatumika kindezi sanaEnzi zile ilikuwa chato now no kizimkazi...
Vipi napo hukk bapajawaha kitovu cha utalii z'bar nzima kama chato?
Wale vijana waliotoka sehemu mbalimbali Tanzania ili kwenda Mbeya kwa ajili ya Tamasha la BAVICHA walifadhiliwa na nani? Kumbuka wengine ni majirani zetu na tunawajua!!Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?