Heavy Metal
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 881
- 2,077
Huo uwanja ni wa serikali na wasimamizi ni serikali wala sio Yanga,...Yanga ni mwenyeji kiitifaki tu lakini hana mamlaka yoyote na huo uwanja. Linapokuja swala Simba na Yanga watanzania wengi hua wanakosa akili na busara kabsa sijui kwanini?! Hivi kweli kwa hali tu ya kawaida Yanga wanaweza kuwazuia Simba ama timu yoyote kuingia hapo kwa Mkapa?! Kwa mamlaka gani waliyonayo sasa?! Wote Simba na Yanga wataingia hapo kwa ruksa ya serikali na serikali ndo imeweka wasimamizi wa huo uwanja muda wote in case of anything. Hata kama Serikali watakabidhi uwanja wa timu mwenyeji lakini sio kwa 100% lazima nao wawepo kuangalia matumizi sahihi ya mali yao ndo maana unaona gari ya polisi ambayo ndo serikali yenyewe ndo wameweka kizuizi mlangoni hapo kwamba hakuna kuingia mtu, si Yanga wala Simba. Tuache mihemko na ushabiki maandazi, miaka ijayo hizi Simba na Yanga zitasababisha Baba, Mama, mtoto na house girl wote kufanana akili😅😅😅😅