whether is water or wine,"It doesn't matter how thirsty you are, there are some people you should never ask water from, they will tell the whole world they gave you wine."
Sawa wacha wanunue na wamlipe pesa zake zote Bunge anazowadai itakaa vizuri. Lakini kwenye Uchaguzi Lissu atawageuka vibaya ili mradi achukue tahadhali. Awaombe na kura wampigie najua safari hii anapeperusha bendera patachimbika.ccm wasimpoze mapema hivi.Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.
Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?
Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?
Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
ni kweli kabisaa,CCM haijawahi kuwa na pesa zake, CCM huchota pesa za serikali kwa matumizi yake ujiwemo ukarabati wa viwanja ilivyotupora wananchi.
alishalipwa madai na marupurupu yake yote ya matibabu na ya bungeni...Sawa wacha wanunue na wamlipe pesa zake zote Bunge anazowadai itakaa vizuri. Lakini kwenye Uchaguzi Lissu atawageuka vibaya ili mradi achukue tahadhali.
Mnunulieni MSIGWA, acheni kiherehere nyie watu.kwahivyo wamefanya vibaya kupanga kumnunulia gari jipya huyo kiongozi muungwana gentleman π
na kura mpeni safari hiialishalipwa madai na marupurupu yake yote ya matibabu na ya bungeni...
CCM inampatika gari kama hisani bila masharti yoyote kutokana na hali yake kiafya lakin pia michango kidogo sana alichangiwa kwaajili ya kununulia gari, huenda ikatosha kununulia IST tu π
hayo ni maoni na mtazamo wako ambao ni uhuru na haki yako kikatiba,Ccm haijawahi kujali utu na mahitaji ya mwananchi yoyote nchini ambaye hayupo kwenye daraja la watawala.
Ipo michango yetu inatosha kununua gari 10,hiyo yenu tutamshauri tujengee ofiisi za chama.Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.
Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?
Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?
Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
Donate is a wrong word,whether is water or wine,
but CCM will donate a very new model car to hon.Tundu Antipas Lisu without any condition π
unless hufuatilii mambo,Pesa zake za matitabu hajalipwa and itβs open,Kama Agenda Lisu anazo nyingi juu ya Chama chenu ikiwemo uchunguzi wa yeye kushambuliwa na risasi
Mpaka leo mko kimyaa
Hata CD zinakuwa na thamani kabla ya matumizini afisa Tawala or DC in waiting π