Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

ebana eeee yan madem walivyo wazuri kuna wadau wanafata mapunga ...ama kweli zama zimebadilika
Kipande kile mapung wengi wamefunguliwa maduka na wamepewa vicrown mzee

Ova
 
Labda ndio kafara, ametolewa kafara na binti yake biashara zinoge
Juzi kati nilikuwa naangalia TV niliona huyo mzee wa kitambaa cheupe King kikii anahojiwa na Chacha Maginga yupo kwenye wheelchair nyumban kwake he is serious ill kwa kweli. Na alikuwa anaomba msaada kwa watanzania wamsaidie.
 
Noma sana!
 
Sababu bongo tunaamini ukilewa au kunywa bia nyingi ndio starehe imeshika mahali pake. Hatuna vyanzo vingi vya kufurahia
Nimekuelewa sana. Wabongo wana huu ushamba [emoji23]

Huwezi kuta Mbongo above 35 anakuambia starehe yake ni Rally, walking in new places, Tourism, Playing golf, Tennis, Swimming etc

Kunywa bia/pombe nyingi ndio starehe kuu pekee ya Wabongo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usikute na ww idadi yako pia ikawa sehemu ya ongezeko hilo.
 
Kila mmoja anastarehe yake(leasure)as long as nafsi yako imekunjuka na kussuzika umemwagilia moyo taka zote zimetoka..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…