My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Mpumbavu sana wewe juha,let the truth prevail, njaa mnayo nyie CCM ndo maana kila upumbavu mnasifia ili mlipwe Buku 7Kijana hata kama una njaa, jaribu kutumia njia nyingine nzuri ya kujipatia riziki ya halali. Acha kumuhusisha Mungu na upuuzi wako. Ila kama wachawi na waganga wa kienyeji nao hujifanya kumtanguliza mungu ktk ushenzi wao, basi sishangai kwa mleta mada kumuhusisha ktk upuuzi wake. Najua katibu mkuu atakutumia bando na buku 5 ya kula, lkn huko ulipo utaendelea kuteseka, kwa kosa la kuuza utu wako sababu ya njaa yako.
Very soon you are going to meet the real rubbishRubbish
Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!
Huyo Mungu wa kukasirishwa na kuuwawa kwa "lisariti la nchi" sijui ni Mungu gani aisee..
truthRubbish
Hivi wewe unaamini katika nchi hii kiongozi wa upinzani anaweza kutekeleza mauaji ya mtu maarufu kama Wangwe akabaki salama? Kweli?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Na sabaya 🤣Makonda anasaga meno pia!
Hilo limeelezwa mara kibao ila kwakuwa wewe ni mbili kimo wa akili baki na ujinga wako.Swali gumu hapa ni kuwa gari la Lissu lililoshambuliwa lilikuwa left or right handed?
Kama ni magari yetu haya ambayo bos hukaa kushoto, iweke Lissu aliumia mguu wa kulia badala ya kushoto ili hali dereva wake hakuumia?
Wajuvi wa mambo hebu andikeni kwa vina nipate kuelewa.
Povu si busara wapendwa.
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake
Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais
Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake
Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao
Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la
Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi
Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena
Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri
Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?
Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!
Utamfuata Magufuli soon. Mungu hawezi kuvumilia. Ukatili rohoni mwako Mungu atakuangamizaRubbish
Swali gumu hapa ni kuwa gari la Lissu lililoshambuliwa lilikuwa left or right handed?
Kama ni magari yetu haya ambayo bos hukaa kushoto, iweke Lissu aliumia mguu wa kulia badala ya kushoto ili hali dereva wake hakuumia?
Wajuvi wa mambo hebu andikeni kwa vina nipate kuelewa.
Povu si busara wapendwa.
Hataki vya bureHaumjui Lissu vizuri. Ataukataa mchana kweupe. Na wao wanajua hilo na hawawezi kufanya hivyo.