Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Tuendelee kutafakari matendo makuu ya Mungu
 
Mwenzako kaweka hoja ya kufikirika wewe unamwita mpumbavu?. Mpumbavu Hana muda wa kufikiri Jambo la kufikirisha Kama hili. Hoja hujibiwa kwa hoja na sio matusi.
We km unaona alichoongea huyo kina make sense sina haja kukujibu Mungu ashughulike na petty issue za wachumia matumbo .
 
Umejiuliza kwanini hali imekuwa hivyo? is it by chance? Mwenzako amewaza kwa kutumia akili.

Anayewaza kwa kutumia akili hawezi KUJA na andiko kama hilo au hata KUKUBALIANA tu na andiko kama hilo. Vinginevyo, kuwaza kwa kutumia akili kungekuwa completely meaningless!

Katika Isa 55:8-9 SUV imeandikwa: Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA. Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
 
Wewe unauliza "wajuvi wa mambo" wa wapi? Humu JF?

Nakushauri upeleke maswali haya polisi ambao ndiyo wenye dhamana ya kuchunguza na kutoa ripoti ya jinai kama hii...

Ni ajabu sana kuwa, polisi hadi leo hawataki kufanya kazi yao huku nao wakigeuka kuwa wambea na wazushi...

Si ajabu na wewe ni miongoni mwao...!!
 

Utakuwa hujui ukichoandika!
 
Nje ya mada hii
 
Adam na Eva walipokula tunda la kati Mungu alikasirika na kuwafukuza, kwanini alikasirika wakati alikuwa anajua hilo?
 
Hivi mwanadamu anapojipa kazi ya uungu hujikuta nae ni Mungu?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja, yaani ni kweli kabisa.
 

bible msiisome kama kitini cha marejesho ya vikoba.

kizazi cha nuhu,ruttu,Mungu amefanya mambi yale na baada ya hapo kuahidi kutorudia tena kuteketeza viumbe wake kwa sababu ya dhambi aina yoyote tu,isipokuwa siku ya ufufuo.

maneno yenye ukali yanasaidia kumrudisha mtu kwenye misingi ya kawaida ya kufikiri na kutenda,kuibiwa uchaguzi ccm haijaanza 2020 labda kama umezaliwa mwaka huo.
 

kwahiyo wewe usiye nwovu unatarajia kuishi miaka mingapi ndugu yetu roho mtakatifu[emoji23][emoji23]

mnapenda kuiparamia bible kama mti wa mpera na mmevaa madela huku hamjavaa chupi.
 
Angesifia the gvrnt of green party tungesema kweli ana njaa lakin Lissu is neither in the ruling party nor in the government nani wa kumlipa?
 
Basi assume alijipiga mwenyewe hizo risasi
 
Unataka kusema kupigwa risasi Lissu Nitendo la kidini na kiimani kwenu?
Utakuwa unasali nyumba za mashetani wewe na damu za watu kwako/kwenu ni kiburudisho!!
All I can say is GTH (Go To H...)
 
Kuuwa mtu kisa kakukosoa ni kiwango cha chini sana cha kufikiri.
Killing haiwezi kuwa suluhisho la mda mrefu.
Unawaua watu kisha nawe unakufa mnaenda kutana huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…