Usiangalie nani ana radio na mwingine hana. Kitu unachotakiwa kuangalia ni thamani ya matangazo ambayo nina uhakika ni media chache zinaweza kumfikia millard ndio maana huwa anapata kampani A list tu na sio wachovuSiwezi kujua pia ni ngumu kuwashindanisha maana mmoja hana redio, mwingine anayo.
Mmoja anategemea sana youtube, mwingine anategemea sana tv na redio
Uzuri wa AYO hana Machawa kabisa, very humble guy
Mwingine ni Bdozen... 🙌🏾Milard ayo anayo hela Sana sema haonyeshi , kuliko majizoo anapesa jua hilo
Bdozen katoa wapi pesaMwingine ni Bdozen... 🙌🏾
Hii inawezekana Milard kuwa na pesa (Liquidity) kuliko Majizo ila in long run kutokana na uwekezaji wa majizo lazima few years majizo atakuwa na pesa (liquidity) na pia assert kuliko MilardMilard ayo anayo hela Sana sema haonyeshi , kuliko majizoo anapesa jua hilo
Yes kapata ila hapa tunazungumzia Mond ujue Milard, Majizo hii league Bdozen unamtaja vipio
😀 kwenye redio
kwani ayo ana nini zaidi ya kurasa zake online?Yes kapata ila hapa tunazungumzia Mond ujue Milard, Majizo hii league Bdozen unamtaja vipi
Sidhani kama nitakuwa na majibu ya swali lako ndugu, ila nafahamiana na jamaa, na kwa kifupi namjua ana harakati nyingi hasa kwenye maswala ya tasnia yao na matangazo. Ni kijana anayejiweza kusema ukweli.Bdozen katoa wapi pesa
Kwani Google wananini zaidi ya kirasa kibao za maandishi uki search, je unajua Turnover ya Google kwa mwaka na je unajua 70% ya Revenue ya Google inapata kitokana na search engine yake ambayo ni kauwanja tu ka ku display maandishi.kwani ayo ana nini zaidi ya kurasa zake online?
Sasa mzee ukisema unafahamiana na Dozen personal then hakuna haja ya kuwa na huu mjadara hapa maana wote tuliopo hapa hatumjua Diamond personal lakini unaona watu wanaweka Financial details za kutosha makampuni Wasafi, ma level WCB, ma project Wasafi Festival, Endorsement Pepsi nk, Online Streaming, Pertineship Kama Wasafi bet hatumjui personal lakini tunataja Dozens of his Cash flow streams na hii ndio maana ya utajiri wa mtu maarufu hata MO, Bakhresa nk huitaji kuwajua personal Sasa wewe huyo Dozen mpaka umjue personal ndio ujie ana nini jua hii sio Leaguy zake mzeeSidhani kama nitakuwa na majibu ya swali lako ndugu, ila nafahamiana na jamaa, na kwa kifupi namjua ana harakati nyingi hasa kwenye maswala ya tasnia yao na matangazo. Ni kijana anayejiweza kusema ukweli.
Mengineyo siyajui na siwezi kumuuliza.
Ana mkataba na Sayona, Guiness na United Nations... hizo ni kampuni na taasisi chache anazozifanyia kazi.Sasa mzee ukisema unafahamiana na Dozen personal then hakuna haja ya kuwa na huu mjadara hapa maana wote tuliopo hapa hatumjua Diamond personal lakini unaona watu wanaweka Financial details za kutosha makampuni Wasafi, ma level WCB, ma project Wasafi Festival, Endorsement Pepsi nk, Online Streaming, Pertineship Kama Wasafi bet hatumjui personal lakini tunataja Dozens of his Cash flow streams na hii ndio maana ya utajiri wa mtu maarufu hata MO, Bakhresa nk huitaji kuwajua personal Sasa wewe huyo Dozen mpaka umjue personal ndio ujie ana nini jua hii sio Leaguy zake mzee
Ndoto za alinachaHongera zao kwa kumiliki hela ndefu. Sisi kwasasa tunaendelea kukopa na kuwekeza kwenye crypto tuko bullish wakati huu wa winter we are buying the dip. Kitu kikija kuchanganya mbona dollar million 400-500 tutakuwa nazo.
Hamna mkuu utakufa masikiniKuna siku namimi mtanizungumzia namna hii kwa watu wa humu JF
[emoji23]Unaandika na kucomment mwenyewe hii ni dalili ya ugonjwa wa akili.
Habari za tajiri muulize maskini.
hela zote za nini hizo jamani watanzania wenzangu tumsaidie huyu kiumbe mond kuzitafuna siku za weekend nawasilisha.Kumbuka diamond ana share wasafi bet na huko ndo kuna hela nyingi sana, wasafi media,WCB label..bado show zake na pesa za kwenye digital platforms, bado matangazo kupitia peps na airtel tanzania hatujui anaingiza bei gn.
Kuna kipindi alihojiwa akasema anaingiza zaidi ya milion 200+ kila mwezi kutokana na mikataba ya makampuni ya matangazo anayofanya nayo kazi .
usikariri mzee millard kwa mujibu wake mwenyewe anaingiza kama million 210 kwa mwezi kutoka kwenye real estate na biashara nyingine anazofanya na kina rostam aziz, na yeye hatumii pesa ovyo kama diamond, kwa mwezi millard ayo hata afanye matumizi gani hawezi maliza hata million 2 kijana ana nidhamu yule mwezake diamond atanunua mabwanga huko, atahonga kenya hadi south mwisho wa mwezi anabaki na laki tisa kutoka million 200Iwe mvua au jua Millard ayo hawezi kuingiza pesa kumzidi domo , japo na yeye anaingiza mkwanja mrefu sana , Ila Diamond ni extra mile , mfano makampuni yanayoenda kwa millard Ayob wakienda kwa Domo inabd wajiulize mara mbili mbili