Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?

Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?

tatizo kubwa ni moja tu,
wanaojiona wajuaji na kuiona katiba hii ni batili, kwanza ni wachache sana na hawana hoja zenye mashiko kuwashawishi wananchi wengi kuona na kuamini katika ubatili huo,

na wananchi walio wengi wanaona mambo mengi ndani ya katiba yako sawa sawia, na vipaumbele vyao muhimu ni mahitaji yao ya kila siku yaliyo nnje ya katiba.

hata hivyo,
wapiga mdomo na makelele ya mabadiliko ya sheria za uchaguzi na katiba ya nchi, wanalenga zaidi mabadiliko ya vyeo na madaraka kwa tamaa binafsi, chuki binafsi na wivu ambao hauna maana wala manufaa yoyote kwa wananchi ambao mahitaji yao muhimu ni kwenye kilimo, maji, afya, elimu n.k.

ndio maana hoja hii inafaa kupuuzwa tu. Na kwakweli hoja ya mabadiliko ya katiba itaishia JF na kwenye mitandao ya kijamii tu, Lakini field kwa wananchi hakuna habari na wala hawana haja na makelele ya katiba 🐒
Unajua umuhimu wa Mgombea binafsi katika Demokrasia ya Ukweli?
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Unapambana sana mkuu. Bob Marley aliwahi kusema "You Will never find Justice in the world where criminals make the rules"
 
"Eti wabongo wanataka maji sio katiba,haya hayo maji yako wapi akati wakazi wa ubungo na kwingineko huwa wanalalamika humu jamiiforums kuna shida ya maji!!! Mmebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene"- Roma Mkatoliki.

Tlaatlaa umebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene. Ma-ccm huwa hata hamuelewi maana ya hili fumbo "Mmebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene."
"Eti wabongo wanataka maji sio katiba,haya hayo maji yako wapi akati wakazi wa ubungo na kwingineko huwa wanalalamika humu jamiiforums kuna shida ya maji!!! Mmebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene"- Roma Mkatoliki.

Tlaatlaa umebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene. Ma-ccm huwa hata hamuelewi maana ya hili fumbo "Mmebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene."
asiependa kuoga wala kufua pekee kama wewe ndie anaweza kusingizia kwamba Tanzania tuna shida ya maji ili abaki kua mchafu hivyo hivyo,

alalalamika hakuna maji huku ana mchupa mkubwa wa maji ya kudawnload, alaaa!

katiba si muhimu na kwakwli si kipaumbele cha waTanzania kabsa 🐒
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Hakika akisoma hili bandiko lako atapata mwanga mzuri wa nini cha kufanya kabla ya oktoba, kama anajali lakini
 
Acha nidhamu ya woga, Mkapa alikwishatuasa tuseme kwa ukweli na uwazi! Unataka tusimtaje kwa kuwa unamuheshimu sana au unamuogopa sana! Acha unafiki mtu mzima wewe!

Ukweli ni kuwa kwa sababu za uroho wake wa madaraka na kutokujiamini kwake Rais Samia anakanyaga Katiba!
Umeongea vyema kabisa
 
Kama hujui umuhimu wa Mgombea Binafsi, kwa hapo siwezi kukusaidia maana hujitambui
Gentleman,
wananchi wa Tanzania hawana haja na huo ushirikina na hayupo wa kubabaika nao

ni muhimu kufahamu kwamba Uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania ni Oct mwaka huu 2025🐒
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Kaka paskali leo umeonyesha uwezo mkubwa na siku zoteee huyu ndie paskali tunae mjua ambae alimuuliza mwendazake swali tata/ gumu ambalo mwendazake alikwepa kulijibu.

Mambo kama haya ntapenda nisome maoni ya Hawa rafiki zangu wawili then ntapata muda wa kuchangia Nini kifanyike.
Tlaatlaah
Lucas Mwashambwa
 
Acha nidhamu ya woga, Mkapa alikwishatuasa tuseme kwa ukweli na uwazi! Unataka tusimtaje kwa kuwa unamuheshimu sana au unamuogopa sana! Acha unafiki mtu mzima wewe!

Ukweli ni kuwa kwa sababu za uroho wake wa madaraka na kutokujiamini kwake Rais Samia anakanyaga Katibamku
Mkuu,
Mayala aliposema usitaje jina wakati wakati wa kuchangia hoja yako ,siyo kwamba anamuhofia huyo uliyemsema kwa nini asimtaje.
Lengo lake lilikuwa WEWE ujikite katika kuchangia hoja nzito ambayo itatufanya sisi wadau wa nchi tuchukue hatua stahiki ili kulazimisha mabadiliko ya katiba kuhusu chaguzi zetu kama alivyoyaainisha.
Mfano halisi ni hicho ukichokiandika kumjibu mleta mada.....,umemshambulia as a person kiasi kwamba mashambulizi yako yakafanya usahau kuchangia hoja iliyoyoko mezani..kwamba tufanyeje ili marekebish yafanyike?
Chadema kama chama cha siasa wamekuja na slogan kuhusu hilo....,No Reform,No Election....,Pasipokuwa na mabadilko, Kusifanyike uchaguzi.
Lakini hapa mleta mada akataka michango wako na wangu na wa watu wengine pia kuhusu hilo.

Binafsi rai yangu kuhusu nini kifanyike,nashauri tuunge mkono mapendekezo ya Chadema kuhusu kauli mbiu yao hiyo ya kulazimisha mabadiliko kwanza ndipo uchaguzi ufuate. Kuunga mkono kauli mbiu hii haina maana ni lazima uwe mwanachama wa Chadema. Umuhimu wa kuunga mkono unatokana na ukweli kwamba chaguzi zinazofanyika katika uwanja ulioinama katika nchi mbalimbali,ndizo zimekuwa chanzo cha vuruguna machafuko. Kwa hasira ya Watanzania inayotokana na kuchezewa rafu katika chaguzi,hasira ambayo inachemka chinichini kama volcano, ipo siku itakuja kulipuka.
Sasa tusisubiri tufike huko ndipo tuamini. Tuchukue hatua sasa.
Wewe unashauri nini?
 
Back
Top Bottom