Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #41
Dear mode,please do the needfull,watoto wa type hii wanatakiwa wawe wanacheza mchezo wa kujipikilisha!。Mama Samia huyo
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dear mode,please do the needfull,watoto wa type hii wanatakiwa wawe wanacheza mchezo wa kujipikilisha!。Mama Samia huyo
Unajua umuhimu wa Mgombea binafsi katika Demokrasia ya Ukweli?tatizo kubwa ni moja tu,
wanaojiona wajuaji na kuiona katiba hii ni batili, kwanza ni wachache sana na hawana hoja zenye mashiko kuwashawishi wananchi wengi kuona na kuamini katika ubatili huo,
na wananchi walio wengi wanaona mambo mengi ndani ya katiba yako sawa sawia, na vipaumbele vyao muhimu ni mahitaji yao ya kila siku yaliyo nnje ya katiba.
hata hivyo,
wapiga mdomo na makelele ya mabadiliko ya sheria za uchaguzi na katiba ya nchi, wanalenga zaidi mabadiliko ya vyeo na madaraka kwa tamaa binafsi, chuki binafsi na wivu ambao hauna maana wala manufaa yoyote kwa wananchi ambao mahitaji yao muhimu ni kwenye kilimo, maji, afya, elimu n.k.
ndio maana hoja hii inafaa kupuuzwa tu. Na kwakweli hoja ya mabadiliko ya katiba itaishia JF na kwenye mitandao ya kijamii tu, Lakini field kwa wananchi hakuna habari na wala hawana haja na makelele ya katiba 🐒
Unapambana sana mkuu. Bob Marley aliwahi kusema "You Will never find Justice in the world where criminals make the rules"Wanabodi,
Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。
Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。
Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。
Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。
Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。
Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。
Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。
Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。
Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。
Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。
Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!
Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。
A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi
Nashauri
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?
- Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
- Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
- Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
- Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
- Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Paskali
nadhani kipaumbele cha wanainchi ni nahitaji yao ya msingi ya kila siku,Unajua umuhimu wa Mgombea binafsi katika Demokrasia ya Ukweli?
No reform no election
Tatizo hujitambuinadhani kipaumbele cha wanainchi ni nahitaji yao ya msingi ya kila siku,
hayo ya kibinafsi ya vyeo na madaraka binafsi ya kifamilia yatafutiwe ufumbuzi binafsi, hakuna haja ya kusumbua wanainchi 🐒
"Eti wabongo wanataka maji sio katiba,haya hayo maji yako wapi akati wakazi wa ubungo na kwingineko huwa wanalalamika humu jamiiforums kuna shida ya maji!!! Mmebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene"- Roma Mkatoliki.
Tlaatlaa umebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene. Ma-ccm huwa hata hamuelewi maana ya hili fumbo "Mmebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene."
asiependa kuoga wala kufua pekee kama wewe ndie anaweza kusingizia kwamba Tanzania tuna shida ya maji ili abaki kua mchafu hivyo hivyo,"Eti wabongo wanataka maji sio katiba,haya hayo maji yako wapi akati wakazi wa ubungo na kwingineko huwa wanalalamika humu jamiiforums kuna shida ya maji!!! Mmebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene"- Roma Mkatoliki.
Tlaatlaa umebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene. Ma-ccm huwa hata hamuelewi maana ya hili fumbo "Mmebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene."
Gentleman,Tatizo hujitambui
Hakika akisoma hili bandiko lako atapata mwanga mzuri wa nini cha kufanya kabla ya oktoba, kama anajali lakiniWanabodi,
Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。
Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。
Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。
Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。
Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。
Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。
Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。
Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。
Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。
Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。
Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!
Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。
A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi
Nashauri
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?
- Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
- Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
- Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
- Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
- Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Paskali
sasa gentleman,Wewe hakika unazidi kuudhihirisha upumbavu wako na njaa uliyonayo. Hopeless kabisa.
Kama hujui umuhimu wa Mgombea Binafsi, kwa hapo siwezi kukusaidia maana hujitambuiGentleman,
kwahiyo kua na mihemko na makasiriko bila hoja ndio kujitambua, right?🐒
Umeongea vyema kabisaAcha nidhamu ya woga, Mkapa alikwishatuasa tuseme kwa ukweli na uwazi! Unataka tusimtaje kwa kuwa unamuheshimu sana au unamuogopa sana! Acha unafiki mtu mzima wewe!
Ukweli ni kuwa kwa sababu za uroho wake wa madaraka na kutokujiamini kwake Rais Samia anakanyaga Katiba!
Gentleman,Kama hujui umuhimu wa Mgombea Binafsi, kwa hapo siwezi kukusaidia maana hujitambui
Kaka paskali leo umeonyesha uwezo mkubwa na siku zoteee huyu ndie paskali tunae mjua ambae alimuuliza mwendazake swali tata/ gumu ambalo mwendazake alikwepa kulijibu.Wanabodi,
Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。
Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。
Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。
Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。
Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。
Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。
Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。
Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。
Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。
Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。
Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!
Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。
A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi
Nashauri
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?
- Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
- Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
- Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
- Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
- Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Paskali
Mkuu,Acha nidhamu ya woga, Mkapa alikwishatuasa tuseme kwa ukweli na uwazi! Unataka tusimtaje kwa kuwa unamuheshimu sana au unamuogopa sana! Acha unafiki mtu mzima wewe!
Ukweli ni kuwa kwa sababu za uroho wake wa madaraka na kutokujiamini kwake Rais Samia anakanyaga Katibamku