Yeye mwenyewe anaujua mchezo wa siasa vizuri kiasi cha kukaa kimya kwenye hili, na kuwaachia expendables wake kina January Makamba wamsemee kwamba "Makamu wa Rais alitengwa sana".Yeye mwenyewe anasemaje
🤣😅Swali zuri sana hili. Ajabu utaambiwa Makamba alisema....
Mkuu focus zaidi on what mabeyo didn't want to say! Because he said what people wanted to hear!Mabeyo amefanya kitu kimoja nikaitwa KOSA LA KIUFUNDI....
Mbele ya utaratibu wa Kijeshi sidhani kama alipaswa kureveal hayo kwa sababu hii taharuki inayoanza kuenea inaibua maswali ya kimantiki na wakosoaji wanapata nafasi kujua udhaifu wa Sponsor na Amiri Mkuu.
Pia inamuanika hadharani Waziri Mkuu ambaye kumbe alikuwa anafuatilia kila kitu kuhusu afya ya Rais huku akisimama majukwaani kuongea uongo.
Hayo anayoongea huyo CDF ni matokeo ya Magufuli kutawla bila kufuata Sheria, na kwa bahati mbaya hata hao wateule wake walikuwa wanafuata chochote anachoagiza bila kujali Sheria inasema Nini. Huyo CDF alikuwa anacheka kwenye kamisheni ya Jeshi huko Arusha wakati Magufuli anapokea wanaccm kwenye hafla ya kijeshi, wakati kikatiba jeshi limetengwa kabisa na siasa. Sikushangaa akimuagiza CDF aagize apelekwe kwao akafie nyumbani.Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.
Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo.
Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu kwenye nafasi za juu kabisa za maamuzi hawajui kuwa kwenye chain of Command baada ya Rais ni Makamu wa Rais?
Hivi inakuwaje Rais anafariki wa kwanza kutarifiwa ni Mkuu wa Majeshi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje na Mkuu wa Majeshi anaingia Kuanza kusema nimfaarifu Waziri Mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje tuna viongozi kwenye nafasi za juu kabisa ambao hawajui hata Katiba ya Nchi inasemaje?
How comes wanaotuongoza hawaijui Katiba?
Kituko zaidi ni mtu aliyefika hadi kuwa Rais wa Nchi anaamuru Mkuu wa Majeshi aamuru atolewe hospitali na kupelekwa kijijini kwake?
Hivi alikuwaje Rais na hajui hata mipaka ya madaraka na uongozi?
Kusema kweli tuna tatizo kubwa kwenye hii nchi na hii ni kansa ambayo kusema kweli itatutafuna na kutumaliza kabisa.
Mimi najiuliza mpaka sasa je Mabeyo alikuwa na haja gani ya kuyasema haya ?Mabeyo amefanya kitu kimoja nikaitwa KOSA LA KIUFUNDI....
Mbele ya utaratibu wa Kijeshi sidhani kama alipaswa kureveal hayo kwa sababu hii taharuki inayoanza kuenea inaibua maswali ya kimantiki na wakosoaji wanapata nafasi kujua udhaifu wa Sponsor na Amiri Mkuu.
Pia inamuanika hadharani Waziri Mkuu ambaye kumbe alikuwa anafuatilia kila kitu kuhusu afya ya Rais huku akisimama majukwaani kuongea uongo.
Upo sahihi kwa kila ulichokiandika.Shida hapo ni namba 2 kuwa mwanamke. Yaani waliwaza sana itakuwaje mwanamke kuwa Rais; na hata jinsi ya kumtaarifu iliwawia vigumu. Na sidhani kama hawakujua Katiba inaseamaje, na pengine walitaka kuvujna Katiba kama walivyozoea kwa mambo mengine! Hongera kwa CDF msataafu.
Mabeyo hakuamua kuyasema yeye kama yeye hadharani.Mimi najiuliza mpaka sasa je mabeyo alikuwa na haja gani ya kuyasema haya ?
Je nj kitu gani kipo nyuma ya pazia kimemfanya aseme hivyo ?
Je kunyamaza haikuwa best option kwake ?
Hata hujui unaongelea kitu gani walahujuaji wa kipumbavu tunao watanzania
aliye kuwa na mgonjwa ni mabeyo
makamu yuko tanga
waziri yuko dodoma, ko ulitaka aliye na mgonjwa (aliye eneo la tukio ) asifahamu hali ya mgonjwa afahamu aliye tanga na dodoma
acheni ujuaji wa kipumbavu
Wewe ni mbumbumbu na hujui lolote kuhusu mamlaka ya CDF ki protocal ila kwa kukutoa ujinga jua tu mamlaka ya CDF ni makubwa kuliko makamu wa rais, usisahau rais ni amir jesh mkuu, na CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama na ndiye mwenyekiti wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama vilivyopo ndani ya nchi.Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.
Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo.
Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu kwenye nafasi za juu kabisa za maamuzi hawajui kuwa kwenye chain of Command baada ya Rais ni Makamu wa Rais?
Hivi inakuwaje Rais anafariki wa kwanza kutarifiwa ni Mkuu wa Majeshi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje na Mkuu wa Majeshi anaingia Kuanza kusema nimfaarifu Waziri Mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje tuna viongozi kwenye nafasi za juu kabisa ambao hawajui hata Katiba ya Nchi inasemaje?
How comes wanaotuongoza hawaijui Katiba?
Kituko zaidi ni mtu aliyefika hadi kuwa Rais wa Nchi anaamuru Mkuu wa Majeshi aamuru atolewe hospitali na kupelekwa kijijini kwake?
Hivi alikuwaje Rais na hajui hata mipaka ya madaraka na uongozi?
Kusema kweli tuna tatizo kubwa kwenye hii nchi na hii ni kansa ambayo kusema kweli itatutafuna na kutumaliza kabisa.
Naona una mazoea ya kunyamazia uovu.Mimi najiuliza mpaka sasa je mabeyo alikuwa na haja gani ya kuyasema haya ?
Je nj kitu gani kipo nyuma ya pazia kimemfanya aseme hivyo ?
Je kunyamaza haikuwa best option kwake ?
Mkuu ni warning signal kwa PM, kuwa mienendo yake underground inajulikana!Mimi najiuliza mpaka sasa je mabeyo alikuwa na haja gani ya kuyasema haya ?
Je nj kitu gani kipo nyuma ya pazia kimemfanya aseme hivyo ?
Je kunyamaza haikuwa best option kwake ?
kwamba nikujibu kulingana na ujinga wako ama nikuacheHata hujui unaongelea kitu gani walah
Mbona JPM urais wake haukipiganiwa kwa gharama zozote!!??Usifananishe rais na takataka zingine,we hata ukitaka kufia porini sawa tu sio rahisi,uhai wake unapiganiwa kwa gharama zote na kuna watu wanakuwa responsible ikitokea uzembe wowote ule,rais hupangiwa mambo mengi maana ni taasisi
Hakuna anayekataa kuwa CDF ni zaidi ya makamu wa rais, je katibu mkuu kiongozi na waziri mkuu nao vyeo vyao ni zaidi ya makamu wa rais? Kwanini wapewe wao taarifa ya hali ya rais kwanza Hadi kuitwa, huku akiachwa makamu wa rais? Punguza jazba jibu hoja kwa utulivu.Wewe ni mbumbumbu na hujui lolote kuhusu mamlaka ya CDF ki protocal ila kwa kukutoa ujinga jua tu mamlaka ya CDF ni makubwa kuliko makamu wa rais, usisahau rais ni amir jesh mkuu, na CDF ni mkuu wa majeshi ya ulimnzi na usalama na ndiye mwenyekiti wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama vilivyopo ndani ya nchi.
Waliotaka kupindisha utaratibu wa kikatiba ni kina nani?Mkuu focus zaidi on what mabeyo didn't want to say! Because he said what people wanted to hear!
Wewe umecreate assumption zako sijui wewe ndo January aunmkwe WA Samia.Naona unamshambulia indirect CDF msitaafu bureKifo cha Magufuli na jinsi Samia alivyokuja kuwa rais, na hizi figisu, na mpaka upinzani dhidi ya Samia kwa sababu ni mwanamke vinatuonesha jambo moja.
Watanzania wengi hawako serious kwenye uongozi, wanakwenda kwa mazoea.
Yani, walimkubali Samia awe Makamu wa Rais wakijua huyu atakuwa Makamu wa Rais pambo tu, mambo yote atafanya Rais Magufuli.
Hawakujua kwamba Makamu wa Rais yupo "one heart beat away" from becoming president.
Yani hata kwa rais ambaye alikuwa ana matatizo ya moyo yaliyojulikana miaka mingi sana kama Magufuli, watu hawakufikiria kwamba Magufuli anaweza kufia madarakani hakafu Samia akawa Rais kwa mujibu wa katiba.
Watanzania wengi waliona Rais wa Tanzania hawezi kufia madarakani, it is against the laws of physics.
Ndiyo maana wengine mpaka leo wanamuona Samia kama si Rais kamili. Wengine wanadiriki hata kusema si Rais halali, kwa sababu hajawa Rais kwa uchaguzi.
Wengi hawaelewi concept ya "running mate" kuwa katika ticket moja na presidential candidate maana yake ni kuwa, unapopiga kura, unaipigia kura ticket nzima, si mtu mmoja, hivyo mandate ya kuongoza Magufuli ina extend mpaka kwa Samia, wale wawili walikuwa ni "a packaged deal".
Ndiyo maana inasikitisha sana kusikia kuna watu wanamnyanyapaa Samiankwa sababu mwanamke.
Kama wanawake hawafai uongozi Tanzania, mlikubalije Samia awe running mate wa Magufuli na hivyo kuwa na potential ya kuwa Rais siku yoyote Magufuli akifia madarakani?
Nadhani utaraibu ingekuwa kuhakikisha karibu na mgonjwa kunamwanafamilai anayeona Kila kitu kinachotokea na siyo kuambia Rais amefariki.Mkuu,
Chato si kwao, tatizo liko wapi?
Unataka wewe umpangie mtu pa kufia wakati yeye mwenyewe kashasema anataka kufia kwao?
Unamnyima tamanio lake la mwisho la kufa akiwa kazungukwa na ndugu zake kwao?
Kwa watu fulani, ni muhimu sana kufia kwao, na kama hilo ndiyo takwa lao la mwisho, wewe ni nani uwakatalie?
CDF ana pengi pa kushambuliwa na nikitaka kumshambulia naweza, na wewe huwezi kumtetea.Wewe umecreate assumption zako sijui wewe ndo January aunmkwe WA Samia.Naona unamshambulia indirect CDF msitaafu bure
Hatamimi nimeshangaa,Swali zuri sana hili. Ajabu utaambiwa Makamba alisema....