G - The Apostle
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 599
- 1,125
Nilisikia kuwa Jeshi(Cdf) liliwaambia wahini Dodoma mkamthibitishe mama chap mpaka kesho muda fulani. Msivyofanya hivyo tunalinda katiba sisi . Kwa aliyeosema cdf naamini hizo story sasaShida hapo ni namba 2 kuwa mwanamke. Yaani waliwaza sana itakuwaje mwanamke kuwa Rais; na hata jinsi ya kumtaarifu iliwawia vigumu. Na sidhani kama hawakujua Katiba inasemaje, na pengine walitaka kuvunja Katiba kama walivyozoea kwa mambo mengine! Hongera kwa CDF msataafu.
Tupo pamoja sana mkuu Maghayo 👊👊👊👊👊👊👊Mkuu shukrani zangu za dhati kwa kutambua nondo na madini yetu tunayoshusha.
Unayo yaona yepi ? kwan na wewe ulikuwepo pale mzena kumuuguza marehemu magufuli? Maana usije ukawa unatupigia kelele hapa wakati na wewe unastory za vijiweni, maana aliye kuwa makamu wa rais ambaye ndiye rais wa sasa wala haja lalamika, mnao lalamika nyie huku wafia keyboard.
Mpaka hapa unasema juu kauli chini unajipingaMie ningekua Mobeyo, ningekaa kimya tu. Cheap minds ndo zinamsifia ila hana tofauti sana na wale wengine, hata na yy alikua ameinhiwa na kishawishi cha kupindisha mambo ila akakishinda, na najua anajilaumu
You are very composed bro, kitu nimejifunza kwako wewe ni zero emotional . Mtu anakera lakini bado lugha yako ni ya utulivu. Seems ni mtu mwenye ustaarabu wake wewe. Najifunza kwako!Wewe hujui hata kufuatilia habari kimantiki na hivyo siwezi kujibizana nawe kimantiki.
Kichwa chako kina logic iliyopinda kwa hiyo nikikupa logic sahihi ndogo tu wewe utaona imepinda, na wewe ukinipa logic unayoona sahihi mimi naona imepinda.
Awali kabisa, tunakwenda na habari za Mabeyo hapa.
Kuna sehemu Mabeyo kasema Makamu wa Rais alipewa habari za mgonjwa kabla hajafa?
Kama Makamu wa Rais ndiye mrithi halali wa Rais kikatiba, kwa nini habari za hali mbaya ya afya ya rais apewe Waziri Mkuu na si Makamu wa Rais?
Aminia mkuu🤜🏿👊🏿Tupo pamoja sana mkuu Maghayo 👊👊👊👊👊👊👊
Hapana..!!Baada ya Rais ni Makamu wa Rais kwenye jambo gani?
Jambo linalohusu usalama wa nchi limekabidhiwa kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, CDF ndie anayetakiwa kuwa wa kwanza kupewa taarifa.
Ndio maana baada ya cheo cha Rais akiitwa Amiri Jeshi Mkuu, cheo kinachofuatia hapo ni CDF, Makamu wa Rais haingii hapo.
Au utuambie, ni kipi cheo cha Makamu wa Rais kijeshi ilituone kama kweli alirukwa makusudi kutopewa taarifa?
Unapokuja na lawama zako kwanza ujue jambo unalolizungumzia ni lipi, lipo chini ya category ipi, ujue mpangilio wa vyeo kwenye category husika, kisha ndio uje na lawama kama zipo, usikurupuke tu na ujuaji wako.
Licha ya kujiita rational thinker mara nyingi unatumia speculation ku draw congratulation.Unatetea ujinga kwa sababu tumezoea kufanya ujinga siku zote mkuu?
Kwa hivyo tuendelee kufanya ujinga tu, kwa sababu tumekuwa tukifanya ujinga siku zote?
Makamu wa Rais ni msaidizi mkuu wa Rais, hawa watu, Rais na Makamu wake, wanatakiwa wafanye kazi kwa ushirikiano mkubwa sana, si kwa visirani na kununiana.
Sasa wewe unatetea ujinga wa Makamu wa Rais kutengwa kwa sababu huko nyuma ndiyo tumekuwa tukifanya hivyo?
That is a logical fallacy.
It is called "argument from tradition".
CDF amesema wazi kabisa hata walipo muamuru waziri mkuu aje hawa ku-disclose information.Hapana..!!
Bila shaka, wewe ndiye hujui lakini hujui kuwa hujui!
Kikatiba, wakati wowote Rais anapokuwa hayupo au anaumwa au amekufa au kwa sababu zinazotajwa na katiba, basi Vice President automatic ndiye huchukua nafasi ya Rais. Na kwa hiyo anabeba nguvu na mamlaka (power & authority) ya position ya Rais...
CDF, IGP na DGIS ni washauri wa Rais ktk mambo ya ulinzi na usalama wa ndani ya nchi na mipaka yake. Hapo walikusanyana watatu wote kumshauri mgonjwa mahututi na baadaye maiti, au?
Je, hawakupaswa kutenda wajibu wao huo kwa VP ambaye ndiye anayetambuliwa na katiba kwa kuwa Rais alikuwa mahututi na baadaye kuwa amefariki dunia?
Ndiyo maana kwa sababu ya kifo, katiba inataka haraka sana VP apishwe na kuwa Rais ili kuvaa mamlaka ya u - Rais kwa ukamilifu wake..
Na kingine unachopaswa kukumbuka ni kuwa, nchi hii tangu mwaka 1961 imekuwa chini ya uongozi wa kiraia kwa mujibu wa katiba.
Hakuna mahali popote ndani ya katiba Jeshi limepewa mandate ya kuingilia na kuchukua mamlaka halali ya uongozi wa kiraia wa nchi uliowekwa kihalali kwa mujibu wa katiba.
In very rare cases mapinduzi ya kijeshi (Jeshi kupindua uongozi wa kiraia) ktk nchi yanaweza kutokea. Lakini , by then there was no thing like that..
Majukumu na mamlaka ya CDF yako very clearly stated kikatiba. Lord denning yuko sahihi. Kuna kitu kinafichwa hapa. Kwanini VP alitolewa kwenye chain of command ya mamlaka ya uongozi wa kiraia wa nchi?
Kwanini CDF, IGP na DGIS ndiyo walikuwa wamemzunguka Rais tangu kuumwa hadi kufa kwake huku wakitambua kuwa nchi hii iko chini ya mfumo na utaratibu wa uongozi wa kiraia na sio wa kijeshi?
Walikuwa wanapanga nini? Kwanini finally, dakika za mwisho ndo wanaona ingalau tuwashirikishe Karibu Mkuu kiongozi na Waziri Mkuu huku wakimwacha VP ambaye kikatiba ndiye aliyepaswa kujua jambo hili kila hatua?
Mimi naweza kusema, kwamba, kwa jambo hili, obviously kuna possibilities tatu;
Aidha
1. CDF alikuwa na maelekezo maalumu toka kwa hayati Rais Magufuli mwenyewe kuwa alipoona kuwa uwezekano wa kupona haupo. Ni wazi kuwa CDF aliambiwa maneno haya "....hawa watu wameshaniua. Sitapona. Tafadhali, bwana CDF nikifa hii nchi jeshi ndilo liongoze.."
Au;
2. CDF, IGP na DGIS wao wenyewe kwa mapatano wali - conspire kutaka kupindua uongozi wa kiraia wa nchi hii na kutumia kifo cha Rais Magufuli kusimika uongozi wa kijeshi na wao wenyewe walikuwa pale wakipanga nani atakuwa nani..
Na au;
3. Kulikuwa na kundi la viongozi wengine wa kiraia kwa kulishawishi Jeshi, walitaka kuleta mapinduzi kuzuia taratibu zilizowekwa na katiba kufuatwa ikiwemo VP kuapishwa na kuwa Rais..
Samia mara ngapi amemuagiza mwinyi kwenda kumuwakirisha kimataifa badala ya mpango, mpango hatujasikia akilalamika kutengwaNini cha ajabu alichofanya Magufuli, mpaka ionekani hiyo ofisi imetengwa leo hii,
Mbona tawala zote zilizopita ilikuwa ni hivyo hivyo tu, mpaka na jina la utani tukawapa kwamba kazi yao ni kutembea na mkasi mfukoni.,
Hivi huyu Makamu wa leo ambaye tunaye , kama angekuwa ni mtu anayependa makuu, na mwenye makundi na machawa kama hao akina Makamba, si tungesikia mengi tu kutoka kwake kwamba anatengwa.
Mbona yeye yupo kimya tu.
Matikeo yake tunaanza kuwasiliza watu wenye nongwa.
Hivi hujui hata kama kuna baadhi ya mambo raisi hawezi kuya kasimu kwa mtu mwingine hata makamu!?Hapana..!!
Bila shaka, wewe ndiye hujui lakini hujui kuwa hujui!
Kikatiba, wakati wowote Rais anapokuwa hayupo au anaumwa au amekufa au kwa sababu zinazotajwa na katiba, basi Vice President automatic ndiye huchukua nafasi ya Rais. Na kwa hiyo anabeba nguvu na mamlaka (power & authority) ya position ya Rais...
CDF, IGP na DGIS ni washauri wa Rais ktk mambo ya ulinzi na usalama wa ndani ya nchi na mipaka yake. Hapo walikusanyana watatu wote kumshauri mgonjwa mahututi na baadaye maiti, au?
Je, hawakupaswa kutenda wajibu wao huo kwa VP ambaye ndiye anayetambuliwa na katiba kwa kuwa Rais alikuwa mahututi na baadaye kuwa amefariki dunia?
Ndiyo maana kwa sababu ya kifo, katiba inataka haraka sana VP apishwe na kuwa Rais ili kuvaa mamlaka ya u - Rais kwa ukamilifu wake..
Na kingine unachopaswa kukumbuka ni kuwa, nchi hii tangu mwaka 1961 imekuwa chini ya uongozi wa kiraia kwa mujibu wa katiba.
Hakuna mahali popote ndani ya katiba Jeshi limepewa mandate ya kuingilia na kuchukua mamlaka halali ya uongozi wa kiraia wa nchi uliowekwa kihalali kwa mujibu wa katiba.
In very rare cases mapinduzi ya kijeshi (Jeshi kupindua uongozi wa kiraia) ktk nchi yanaweza kutokea. Lakini , by then there was no thing like that..
Majukumu na mamlaka ya CDF yako very clearly stated kikatiba. Lord denning yuko sahihi. Kuna kitu kinafichwa hapa. Kwanini VP alitolewa kwenye chain of command ya mamlaka ya uongozi wa kiraia wa nchi?
Kwanini CDF, IGP na DGIS ndiyo walikuwa wamemzunguka Rais tangu kuumwa hadi kufa kwake huku wakitambua kuwa nchi hii iko chini ya mfumo na utaratibu wa uongozi wa kiraia na sio wa kijeshi?
Walikuwa wanapanga nini? Kwanini finally, dakika za mwisho ndo wanaona ingalau tuwashirikishe Karibu Mkuu kiongozi na Waziri Mkuu huku wakimwacha VP ambaye kikatiba ndiye aliyepaswa kujua jambo hili kila hatua?
Mimi naweza kusema, kwamba, kwa jambo hili, obviously kuna possibilities tatu;
Aidha
1. CDF alikuwa na maelekezo maalumu toka kwa hayati Rais Magufuli mwenyewe kuwa alipoona kuwa uwezekano wa kupona haupo. Ni wazi kuwa CDF aliambiwa maneno haya "....hawa watu wameshaniua. Sitapona. Tafadhali, bwana CDF nikifa hii nchi jeshi ndilo liongoze.."
Au;
2. CDF, IGP na DGIS wao wenyewe kwa mapatano wali - conspire kutaka kupindua uongozi wa kiraia wa nchi hii na kutumia kifo cha Rais Magufuli kusimika uongozi wa kijeshi na wao wenyewe walikuwa pale wakipanga nani atakuwa nani..
Na au;
3. Kulikuwa na kundi la viongozi wengine wa kiraia kwa kulishawishi Jeshi, walitaka kuleta mapinduzi kuzuia taratibu zilizowekwa na katiba kufuatwa ikiwemo VP kuapishwa na kuwa Rais..
Kumbuka alikuwa mahututi.Kama unataka kufia kwako si umwambie daktari? Kwa nini umwambie CDF? Yeye na masuala ya matibabu wapi na wapi?
Mahojiano yamefantika na chombo cha serikali.Mabeyo hakuamua kuyasema yeye kama yeye hadharani.
Kama CDF, aliambiwa ayaseme hayo ili kuwatisha wengine wote ambao walikuwa ama watakuwa wanaamini kuwa wapo salama katika kuyapanga mambo yao dhidi ya "SSH".
Makamu wa Rais unakosaje vipenyo wa kukupenyezea taarifa nyeti na muhimu kama hii?!Mkuu,
Ungefuatilia mantiki ya mazungumzo haya, ungeona hapa kuwa swali lako limejengwa katika misingi iliyo misinformed na ni swali la "blaming the victim".
Kitu kikubwa kinachoonekana katika sakata la kifo cha Magufuli, na hata kabla ya kifo , kwenye ugonjwa, na hata kabla ya ugonjwa, kwenye serikali, ni kuwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Ofisi nzima ya Makamu wa Rais walitengwa kwenye mambo mengi sana.
January Makamba kwenye hotuba yake ya kumkaribisha Samia ughaibuni, nafikiri Italy, hivi majuzi amekuja kuthibitisha hizi habari kutoka kuwa tetesi na kuwa habari rasmi.
Na ukimsikiliza Mabeyo, jinsi taarifa zikivyokuwa zinatolewa, taarifa alikuwa anaopea Waziri Mkuu Majaliwa, si Makamu wa Rais Samia.
Na zaidi, Mabeyo anasema kulikuwa na mpango wa kupindisha katiba ili Samia asiwe Rais kama katiba inavyotaka. Kwa bahati waliweza kusimamia katiba Samia akaapishwa kuwa Rais.
Maana yake kulikuwa na mpango wa watu wakubwa sana serikalini (Mkuu wa Usalama ametajwa) na wa makusudi kabisa, kutaka kumuweka rais mtu kinyume na katiba, Samia arukwe.
Sasa, hapo utaona kuwa Samia alitengwa, hata habari za ugonjwa hakupewa, kapewa habari baadaye baada ya Magufuli kufariki.
Mtu kama huyo unamlaumu vipi kwamba kamuacha mgonjwa wakati pengine na yeye alikuwa anaambiwa rais yuko Ikulu anachapa kazi tu, hakujua mgonjwa? Pengine hata hiyo safari ya Tanga kapangiwa ili watu wakitaka kupindua katiba iwe rahisi.
Wewe unafikiri Samia angejua Magufuli anaumwa mahututi, na yeye Samia ndiye mrithi wa Magufuli, na kuna uwezekano wa mchezo mchafu kuchezwa kupindua katiba, angekubali kwenda Tanga na kuacha kuwa karibu na rais kujua hali inaendaje?
Samia kama hakujua Rais Magufuli anaumwa, ana hali mbaya, angemuacha vipi mgonjwa kama hakujua Magufuli ni mgonjwa hivyo?
Huoni kuwa kumlaumu mtu aliyenyimwa habari kwamba kuna mgonjwa kwa kosa la kumuacha mgonjwa ni kumuonea mtu ambaye na yeye ni muhanga tu wa power politics?
Mkuu wa majeshi aitaarifiwa au alikuwapo?Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.
Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo.
Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu kwenye nafasi za juu kabisa za maamuzi hawajui kuwa kwenye chain of Command baada ya Rais ni Makamu wa Rais?
Hivi inakuwaje Rais anafariki wa kwanza kutarifiwa ni Mkuu wa Majeshi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje na Mkuu wa Majeshi anaingia Kuanza kusema nimfaarifu Waziri Mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje tuna viongozi kwenye nafasi za juu kabisa ambao hawajui hata Katiba ya Nchi inasemaje?
How comes wanaotuongoza hawaijui Katiba?
Kituko zaidi ni mtu aliyefika hadi kuwa Rais wa Nchi anaamuru Mkuu wa Majeshi aamuru atolewe hospitali na kupelekwa kijijini kwake?
Hivi alikuwaje Rais na hajui hata mipaka ya madaraka na uongozi?
Kusema kweli tuna tatizo kubwa kwenye hii nchi na hii ni kansa ambayo kusema kweli itatutafuna na kutumaliza kabisa.
Hata kama anavyo, vinakuwa unofficial.Makamu wa Rais unakosaje vipenyo wa kukupenyezea taarifa nyeti na muhimu kama hii?!
Kesi ya jpm ni tofauti,kila mtu pale juu kasoro bashiru slli aliitamani jamaa akate motoMbona JPM urais wake haukipiganiwa kwa gharama zozote!!??
Mbona hakuna watu waliokuwa "responsible" wakati tunaambiwa ni uzembe ndio umepelekea kifo chake!!??
Usisahau Mkuu wa Nchi ni Mali ya UmmaSasa mbona mmeshindwa kumpangia asife?
Watanzania wengi kama wewe hawaelewi uhuru ni nini.
Hivyo hawaelewi uhuru wa mtu binafsi ni nini.
Hawaelewi kuwa hata Rais, licha ya itifaki zote, bado pia ana uhuru wa mtu binafsi.
Yani mtu mshajua anakufa tu huyu. Yeye anataka afie kwao kazungukwa na ndugu zake.
Mnavyomkataza asipate hilo takwa lake la mwisho itasaidia nini? Ndiyo itazuia asife?