Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

Kweli ulimwengu ni mpana kuliko tunavyoufahamu.
 
Hawa hawapati ajali ni nidra sana kabla hajaanza safari machale yanamcheza unashangaa tu mtu gafla anahairisha safari
 
Hii niliona kwa bibi mmoja x alikua anaoza pale ndani tunamuona.
Alikufa badae sana.
Kila kiumbe hai lazima tu kitaonja mauti, sasa mbwembwe zote hizo za nini kama si kuchelewesha tu kesi Mahakamani ilihali hukumu lazima ihusike?
 
katika maisha yangu sitaki kabisa mambo ya imani, licha ya kuwa nina elimu kubwa kutoka kwa wazee na pia nimeshuhudia mambo manne makubwa ambayo science ninayoiamini bado haijanipa jibu.....wasikilizeni waliowapigia simu....
Tupe mawili mkuu NACKO tujifunze kitu
 
Yale yale ya Michael Jackson ya kujitafutia madaktari zaidi ya 15 kwa majivuno tele kuwa anataka kuishi miaka 150, hatimaye aliyemuumba akampumzisha akiwa na miaka 50 tu.

Uhai mrefu ni kwa rehema na neema za Mungu tu mbali na hapo ni sawa na kujilisha upepo tu.
 
Heshima yako mkuu kama chipu ni kwa wajomba zako
 
Ukiambiwa hadharani wewe ni mbaya unabatilisha hadarani kwa kuonyesha uzuri wako siyo unajificha na kunong'oneza watu kwa usiri mkubwa kuhusu uzuri wako.
Hao unaowahusudu walikwambia kwanini walijenga daraja la mto Rumi Mara ulioua Watu wengi sana kabla ya kujengwa daraja na hawakutaka kuhusisha Mwafrika yeyote?

Kwanini hawakufundishi hadharani hata teknolojia tu ya kutengeneza teeth sticks mbali na simu, magari, vinu na mabomu ya nyukilia?
 
Hawajui weupe vizuri huyo, Watu wana tiba za asili za kisukari, kansa, UKIMWI n.k lakini huogopa kujitanabaisha sababu wema wao ndiyo utaharibu dili za wenyewe wafanyao biashara kupitia miili ya Watu kuumwa (magonjwa) kwa kuwauzia dawa n k kama ilivyo Malaria haipo kwao ila Africa ni dili kwa uuzwaji wa neti na dawa.
 
Hii tafsiri inaishia anga la Afrika tu si ndio?

Maana kule kwa wenzetu Mila zao zinaitwa Dini, marehemu wao (mizimu kwetu) wanaitwa watakatifu.

Na huu ujuzi wa kwamba mila na tamaduni hizi ni kuingia mikataba na shetani umeupatia wapi?
Soma Biblia uielewe ndugu.Imani ya umizimu,ibada ya wafu n.k.ni desturi za kipagani za kirumi [rumi ya kipagani]zilizoingizwa kwy dini [ukristo]kipindi cha utawala wa mwanzo wa upapa sambamba na mengine kadhaa na kufanywa kuwa sehemu ya ibada .
 
Unaowajua ninao wahusudu? Assumptions.
 
Wakati nasoma chuo kulikuwa na mkaka kwao sumbawanga aliwahi kunisimulia story inafanana na hii alisema huyo mtu had aliwaambia mwenyew wafukue mlangoni wakakuta nguozake zimezikwa walivozitoa ndio akafa
Mmhhh. Kweli tuliyoyaona ni asilimia ndogo sana....hatujaona mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…