Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ukifika umri huo unakuwa na moyo wa chuma.😀Kwamba wao hawaumiagi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifika umri huo unakuwa na moyo wa chuma.😀Kwamba wao hawaumiagi
Haijawahi nitokeaWee hujawahi oenda mwanaume alafu janaume lenyewe linakula mbususu na kusepa
ShukuruHaijawahi nitokea
Kuna ni wakubwa kimwili ila kihisia na kiakili ni watotoHuwa najiuliza sana hili swali. Yaani huwa nashangaa kusikia au kuona mwanamke au mwanaume mwennye miaka 35+ kulia na kuhangaika kwa sababu ya mapenzi...
Pole.Kwa mara ya kwanza naumizwa na mapenzi kiasi inabadilisha maisha yangu umri ulikuwa miaka 37.
Yule mwanamke hii laana ataishi nayo mpaka anaingia kaburini- she changed my life in a negative way.
[emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]
Utoto unakusumbua! Hata akiwa 90 tumeyaona mengiThat's why i wonder!!!
Yaani kusikia mtu wa umri huo anavurugwa kisa mapenzi nashangaa sana.
🤣🤣🤣 Shida wanaume wengi hawataki kukubali ukweli kuwa mbususu ya mwanamke unakooeshwa tuu. It will never be urs to own.Wanawake kama unajijua kabisa wewe sio poa basi usile hela ya mwanaume. Unaweza kuuliwa. Hakunaga mbadala wa papuchi kwa mwanaume. Bora umwibie hela ila sio mwanamke anayempenda mtauana
Hatuwezi kuwa na uhakika mpaka habari kamili itolewe.Vifo kama hivyo unafikiri kuna kingine zaidi wa wivu wa kimapenzi
Tena mnoShukuru
Mbususu na de libolo zinawachanganya watuTena mno
Ila nimecheka na 🤣 za Hiyo comment..😂😂haloo
Moyo hauzeeki ila akili katika umri wa 35 zinapaswa kuwa nguvu juu ya hisia..mind must have controll over your heartKwani moyo huwa unazeeka ee
Lkn maumivu hayakosekani inapotokea utaumia tuUkifika umri huo unakuwa na moyo wa chuma.
Thank you , maisha yanaendelea.
Kwani hapo yupo Bank?? ulitaka hata kitaa atembee na sare za kazini???Eti ni mtumishi wa Bank kwa Mavazi hayo
Exactly, mtu mzima 35+ analia kisa mapenzi inashangaza siyo kitoto.Ikiwa hakuna kikomo cha hisia, kwanini mtu mzima anapoanguka halii kwa sauti kama mtoto endapo tu hajapewa pole? Kwanini mtu mzima akihisi njaa halii?
Binafsi naona kwa mtu mzima kuliala kisa mapenzi; ni kujiendekeza tu! Kwani huyo mtu mtakufa wote???