Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?.

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea!, maana...!

Duh...!.

Paskali
Pascal, 2025 wewe nenda kamchague huyo mm
 
Pascal kauli Yako inaeleweka hivi! Wamarekani siyo wajinga kumkataa Rais Mwanamke. Watanzania Tutakuwa wajinga kumkubali Rais Mwanamke. Hivyo tufanye kama marekani.
Watanzania tulipofika hatuna tatizo na jinsi ya mtu kuwa Rais. Tuna watu wanauwezo kuwa Rais mfano mzuri Tulia Ackson, Rose Migiro, Anna Tibaijuka, Amina Salum wa Zanzibar, nk.
Tanzania shida yetu kubwa ni katiba na Aina ya Muungano tulionao ndiyo itakuwa kizingiti Cha Samia kurudi ikulu na siyo umwanamke wake!!

Wapinzani wakisimama vizuri kwenye hoja ya katiba na Muungano huu kichwa maji CCM hakika hawatoboi 2025.
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Hebu tuanzie hapa, dini yake inasemaje.

Hapa nani ni mwendawazimu!
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Tunataka raisi sio mama
 
Bila kupepesa macho, Mwanamke yeyote yule duniani hafai kuongoza nchi hasa sekta nyeti.

Mambo ya gender, sijui haki sawa, sijui uchaguzi haujali jinsia ni propaganda uchwara.

Mwanamke hafai kuongoza nchi hasa sekta nyeti
Huwa ninakuona una akili kumbe mwehu tu siwajawahi kuona atheist mbumbumbu hivi kumbe na wewe hujamuelewa P? ... Kilaza
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Wanatafuta ishara lakini hawatapewa ishara yo yote isipokuwa ile ya Joyce Banda.
 
Huwa ninakuona una akili kumbe mwehu tu siwajawahi kuona atheist mbumbumbu hivi kumbe na wewe hujamuelewa P? ... Kilaza
Wala sihitaji unione nina akili, Hatuko hapa kuonana Akili.

Ninakwambia hivi, Mwanamke yeyote yule duniani hafai kuongoza nchi hasa sekta nyeti.
 
Kwa mara nyingine wazungu wamedhihirisha kwao unafiki No, hawamwamini kabisa mtu jinsia ya kike kwenye Mambo ya msingi.

Ukiona wanampa mwanamke anapewa ujue hiyo ishu kwao Ni ya kawaida Sana ama Kuna walioko nyuma Na mwanamke Ni kivuli tu
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Mkuu P, tutakuwa tufanya kosa sana kama tufanya hivyo ,maana sisi na marekani ni mbingu na nchi, Tanzania hawezi kufananisha na marekani,
Pili hatuwezi kuchagua raisi mwanamke kwa kuikomoa marekani. Tutakuwa too wrong
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
😂😂😂😂😂Watu kama nyie ndo mnasababisha ccm itawale milele
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
Mkuu umekuwa nashangazwa sana na nyuzi zako sikuhiz, vituko sana.
 
Urais ni Cheo Cha kiume,

Lugha ya kifaransa inatambulisha vyeo hivyo katika "musculine" na "feminine".

Islam pia Iko wazi kuwa " Imelaaniwa kaumu inayoongozwa na...."
 
Wanabodi,

Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza
Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke?

Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea kuwa tuna akili zaidi yao hao majinga ya Marekani?

Na kufuatia matokeo haya, sisi akina Tomaso, sio watu wa kujikalia tuu na kujiuliza, ngoja tufanye michakato ya kusogelea maeneo ya karibu na golini kujua ni nini haswa kimetokea, maana...

Duh!

Paskali
mkuu pascal kumbuka kuwa watz hatuchagui raisi huwa tunapangiwa na ccm ingekuwa upinzan una nguvu mambo yasingekuwa hivi
 
Back
Top Bottom