Inawezekanaje mtu akampenda mchepuko sana kuliko mke wa ndoa?

Sababu kubwa inayofanya watu kutafuta michepuko ni kuwa na mapungufu katika ndoa hasa mwanamke kumnyima unyumba mumewe, na ni sababu hiyo hiyo inayofanya mtu kumpenda mchepuko kuliko mke wa ndoa. Mke anakunyima unyumba na siku akikupa inakuwa kama unambaka tu lakini mchepuko anakupa kama unavyotaka wewe mwenyewe lazima mzani utalalia kwa mchepuko tu.
 
Aaaah wapi !!!
 
 
Tatizo n mazoea kwenye ndoa watu wanakuwa wanaishi Kwa mazoea lakn Kwa mchepuko anajua akipata hyo nafasi kuzipata tena siku zinapita so lazma afanye analoweza ili mwamba amiss kurudi cku nyingine
Sio wanaume hawatoi hela?
 
Sio sifa, mbwa we!
Nimesoma comments hapaa...kosa kubwaa ni kunyimwaa mbususu...kwani huwaa mnataka mara ngapi Kwa wiki?
Mke kuishi kimazoea kua mchafu kijiachaniza kunenepeana ama kujikondesha ama kujichubua hahaha mke uwe ivo ivo kama ilivoolewa
Kama hautoi hela mke awe msafi unataka aweje msafi?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…