Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine


View: https://twitter.com/clickHabari/status/1755141018964336921?t=k06mHdM-v4SWyhaMwMr1BQ&s=19
 
Acha woga na tcra yako we andazi

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama hawana hiyo haki si mlazimishe basi ahojiwe.Hicho ni kituo binafsi kinachomilikiwa na mtu binafsi.Anachodai Lisu ni kwanini Interview imekuwa cancelled.Apewe maelezo tu aondoke zake.
Ndio maanake maana kaambiwa kituo kimepewa maelekezo toka juu. Huyo wa juu ni nani anayezuia biashahara halali za watu zisifanye kazi? Maana Sheria inataka vyombo vya habari visifanye ubaguzi, Sasa ni nani kawapa maelekezo toka juu? Kama hata ww unamjua au sababu ya msingi ya Lisu kuzuiwa iseme.
 
Haya sasa Lisu kapewa maelezo na ameridhika kwamba hakukuwa na nia ovu wala amri kutoka kokote kuhusu ku cancel hiyo interview.
Wazee wa kukurupuka njooni na lingine.
 
Mbona Wananchi wanamiminika Kwa Makonda kutoa kero zao? Kwa nini wasimiminike huko Chadema?
Huko kote wanakomiminika Kuna viongozi wa ccm, matatizo yao yashindwe kutatuliwa na hao wakazi, Hadi aje muhalifu mpita njia kutatua matatizo yao? Bado Kuna wajinga wa hivyo miaka hii?
 
Umekurupa na uzushi wako.Haya rejea maelezo ya Tundu Lisu kuhusu hiyo interview.
 
kwa nini alialikwa?
Nadhani aliyemwalika hakufanya risk analysis

Anyway Tundu Lisu angepotezea tu unless alikuwa na hidden agenda ya kuyabwaga kuhakikisha akimaliza interview TCRA wanafuifingia hiyo TV

Asitangaze vita na TV hawatatangaza chochote chake Wala Cha Chadema mbeleni huko

Awe future focussed akiwatibua asahau habari zake kurushwa zitabakia BBC swahili huko
 
Haya sasa Lisu kapewa maelezo na ameridhika kwamba hakukuwa na nia ovu wala amri kutoka kokote kuhusu ku cancel hiyo interview.
Wazee wa kukurupuka njoo na lingine.
Weka ushahidi wa yeye kuridhika kuahirishwa kipindi kwa maagizo toka juu.
 
Ahhh. πŸ˜‚Kwani pale ni maelezo. Apunguze Udikteta

Akamalizie kombe lake la Uji, aje afanye mahojiano humu basi. T.L aje tu J.F amalize nyongo.
Wao wamemuita, halafu dakika za mwisho wanahairisha mahojiano. Kama Leo alikuwa na ratiba zake, amehairisha kwaajili ya mahojiano?. Ongea uhalisia usipende siasa muda wote
 
R.I.P Thadei Ole Mushi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…