Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

Kwani anashare pale wasafi hadi aelezwe sababu?
Unaelewa unachouliza? Yani watu mmewasialna zaidi ya wiki mbili na kukubali. Halafu masaa machache unapigiwa simu kuharisha mahojiano bila sababu za msingi. Kuna mambo mangapi umehairisha?. Tuwe wakweli
 
Boss wa wasafi ni chawa wa ccm unategenea nini? Ati matatizo ya kiufundi ati ubora wa kipindi? Hovyo kabisa🚮
 
Hawa Watu waliosoma shule za Vipaji usiwachukulie poa au kihunihuni ndio Sababu huwa namuheshimu sana tu mwanabodi Pascal Mayalla

Unaweza kukuta sasa Tundu Antipas Lisu anajadiliwa zaidi huko mitaani na mitandaoni kuliko hata kama angeruhusiwa kushiriki kile kipindi cha radio

Akili kubwa ni kubwa tu hata kama ni Made Darasani 😄
 
Kitenge yupo sahihi. Ameelezea vyema kabisa, dawa ni kutoganya nao interview tena.
 
Yawezekana alizi-cancell baadhi ya ratiba zake kutokana na mwaliko wa kipindi,hivyo kwa leo ratiba zake unakuta zimevurugika,yaani ratiba yake imemfanya yeye kuathirika.
sasa ikitokea ivo si anajiformat na kujimodify chap anaendelea na nyingine 🐒

huyo hamna kitu bana anaforce kisichowezekana kutafuta huruma na kuwaonyesha mabwenyenye wanaomfadhili kwamba anaonewa na kudhulumiwa 🐒
 
Huyu mtu anasemaga uongo na kueneza falsafa isiyofaa ya uliberali tanzania. Eti kila kitu ruksa na kushindana. Wanaruhusu ushoga umalaya eti ni uhuru wa mtu. Asante wasafi kufuta mahojiano na hii kibaraka wa sera za sisi kunyonywa na wageni.
Leta clip moja inayosema hayo. Tusipende kuropoka vitu kisa chuki ya kisiasa
 
Ndio muone sasa umuhimu wa kuwa na VYOMBO vyenu vya HABARI... mnaweza kusema ohoo havitosajiliwa, sawa ILA mlishajaribu kuomba kwa kufuata TARATIBU zote?..

Ombeni kwa kufuata taratibu zote, wakikataa, NJOONI kwa Wananchi
Huzijui figisu za MCC wewe.
 

Yaani wasirushe habari zake Wala hawezi kuwabembeleza, hata Wakati wa kampeni za 2020 kwenye kampeni hiyo hujuma ilikuwepo, hivyo sio jambo jipya. Ila tumejua ule utapeli wa uhuru wa vyombo vya habari umerudi ni utapeli kama utapeli mwingine. Mitandao ya kijamii inatutosha maana Dunia ya Sasa kwenye upande wa habari uko juu ya mbinu za kizee za ccm.
 
Mlisema wamekatazwa vipi tena nyie Punda?

View: https://twitter.com/clickHabari/status/1755141018964336921?t=k06mHdM-v4SWyhaMwMr1BQ&s=19
Mahakamani mnaenda lini? 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…