Hando atamponza DiamondKasema juzi mujahid twendeni kwa wananchi na marufuku hizo media zote zimekatazwa kurusha mikutano ya wapinzani.Jana nilijiuliza hando alifukuzwa efm,huenda na wasafi akafukuzwa.KAMA MKURUGENZI WA VIPINDI ZINAKUTOSHA jiuzulu.
Umekurupa na uzushi wako.Haya rejea maelezo ya Tundu Lisu kuhusu hiyo interview.
Nani kakwambia kavamia!!!?? Kaenda kupata taarifa za kina kwanini yamesitishwa maana kwa hadhi ya Lissu unapompa session ya mahojiano anakuwa amevunja ratiba zake nyingi so siyo sawa kuahirisha kizembe namna hiyo bila kumpa taarifa za kina.Wasafi, nao Wana mumunya mumunya tu.
Hatahivyo, tabia ya kukurupuka na kwenda kuvamia kituo cha redio, eti kwasababu hakuridhika na taarifa ya kufutwa au kubadilishiwa Mahojiano yake-Kina uashiria wa Udikteta. Ubabe Ubabe.
Sidhani kama Diamond ana wajibu. Labda kama makubaliano hayakuwekewa kipengele cha "Kusitisha mahojiano bila ya sababu yeyote ile"
....anywho
Mnalisha manenoNdio huyo mhalifu anatatua.
View: https://twitter.com/clickHabari/status/1755141018964336921?t=k06mHdM-v4SWyhaMwMr1BQ&s=19
Hahahahaha Hando alipanga kipindi bila kumjurisha Diamond hahahahahahaMlisema wamekatazwa vipi tena nyie Punda?
View: https://twitter.com/clickHabari/status/1755141018964336921?t=k06mHdM-v4SWyhaMwMr1BQ&s=19
Mahakamani mnaenda lini? π€£π€£π€£
Kuna mkono wa Bashite pia kwenye hili.NAPE ni kilaza sanaa
hayupo kibaraka anaetumwa na mabwenyenye atafanya kitu nchi hii bila kukabiliwa mapema sana...Hawaja asses kabla ya kumuita, Bali wamefanya assessment baada ya majizi ya kura ya ccm kuwakataza? Mabwanyenye wapi wanaomtegemea Lisu wakati Kila kitu wanapewa na ccm, ni kipi hawajapewa Hadi sasa useme Lisu ndio atawapa? Bandari mmeshawapa, misitu mmeshawapa, madini ndio wako hatua za mwisho kuyamalizia, ngorongoro wanajidai tu. Hizo propaganda za kizee mkawapelekee waliopoteza ramani huko bush.
Nasema hivi, acheni kuharibu biashara za wanaume, wakati mmeshapoteza mvuto.
Clouds ndo TAKATAKA nyingine, wanatumika sana na sasa wamepoteza kabisa mvuto kwa jamii ndo unaona inatumika Wasafi japo Clouds bado ni dekio la CCMWasafi sio radio Mimi radio yangu ni clouds FM tu na kwa mbali radio free Africa
I'm sorry brother, very sorry nimeghafilika kidogo..Ndezi mwenyewe stupid
show love bas πZile CHUKI za KIJINGA za Awamu ya Tano zinarejeshwa na MAKONDA.
Mmiliki au wamiliki!? Clouds haina mmiliki mmoja na hata Wasafi pia haina mmiliki mmoja. Wasafi kuna wadau watatu, mmoja ana 52%, mwingine 45% na mwingine 3%Mmiliki wa Clouds na Wasafi ni huyo huyo mmoja
Kitu ni kile kile [emoji209]
Kuna tofauti gani Kati ya Mwamedi na Muddy? Clouds na Wasafi ni kitu kile kile tofauti Wasafi ameongezeka Diamond Platinum kwenye share.Wasafi sio radio Mimi radio yangu ni clouds FM tu na kwa mbali radio free Africa
Ukishaona mtu ana 51%+ huyo ndio mwenye maliMmiliki au wamiliki!? Clouds haina mmiliki mmoja na hata Wasafi pia haina mmiliki mmoja. Wasafi kuna wadau watatu, mmoja ana 52%, mwingine 45% na mwingine 3%
Wataje majina Yao na hisa zao.Mmiliki au wamiliki!? Clouds haina mmiliki mmoja na hata Wasafi pia haina mmiliki mmoja. Wasafi kuna wadau watatu, mmoja ana 52%, mwingine 45% na mwingine 3%
Siasa za Mjinga ni CHUKI Facts za Lissu kwanini wasiz8jibu kwa Facts?show love bas π
hana ratiba nyingi wala hana umhuhimu kiasi hicho πMtu wa level ya Tundu Lisu haishi kama mdudu, kwenye diary yake lazima kuna schedule ya weekly na monthly.
Sasa huwezi kucancel appointment na yeye kirahisi rahisi tu Bila kumpa sababu za Msingi.
NI Kwa vile NI kiongozi wa Chadema lakini angekuwa siyo kiongozi akiwapeleka mahakamani mnakwenda kumlipa pesa nyingi tu.
Nakumbuka kipindi cha nyuma wakati natumia mtandao wa Tritel tulikuwa wateja wote tuna mkataba kama mtandao mtasababisha kukwama mambo yako Kwa sababu Yao Una haki ya kudai fidia.
NI vile Bongo tunaishi kama mifugo tunachukuliana powa.
Kabisa maana Lissu ndo aliyebinafsisha kwa wageni hifadhi ya Ngorongoro, Bandari, Gas na kukopa mikopo kausha damu inayowaumiza Watanzania leo hii! Kwa hakika tumpinge kwa kila namna jambazi Lissu maana hata juzi tu katoka kukopa trilioni 4 zisizo na maelezo ya kueleweka na kutuongezea mzigo wa madeni walipa kodi.Huyu mtu anasemaga uongo na kueneza falsafa isiyofaa ya uliberali tanzania. Eti kila kitu ruksa na kushindana. Wanaruhusu ushoga umalaya eti ni uhuru wa mtu. Asante wasafi kufuta mahojiano na hii kibaraka wa sera za sisi kunyonywa na wageni.