Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

moja ya ajenda ambayo chairnan hapendi kuisikia ni vice-chairman kupenda kujinasibu kuwa atagombea uraisi bila baraka za chama ikiwa chairman anataka kusimama mwenyewe!
Hii nimewahi kuzungumza humu kuwa wakati mchakato wa kugombea haujaanza rasmi ndani ya vyama, hakuna ubaya wowote kwa mwanachama yoyote kutangaza nia ya kugombea nafasi yoyote, kitu ambacho sio sawa ni mtu kujimilikisha ugombea wa nafasi fulani kwasababu tuu ni wewe uligombea uchaguzi uliopita!. Hongera ITV kumhoji Tundu Lissu. Hongera sana Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu kwa lugha za staha. Ruksa kuhisi chochote, sio fair kutaja majina!

P
 
Maono ya mbali sana!
 
Umebakiza nukta chache sana kuwa SH0G@
 
asubuhi.
Ni figisu za chairman wa hicho zinazoendelea chini kwa chini eti hawajui vice-chairman angekwenda kusema nini, hawataki mvurugano na serikali .
Wewe ni mwendawazimu Sana Sana, kama ni hivyo kama unavyodai, kwanini washindwe kumtaja? Sometimes tumieni akili kidogo kuliko makalio.
 
Ndio maana kuna nyakati ukijinasibu kama MTU critical huwa nakushangaa Sana, yaani hata kama ni uchawa, pascal angalia wapi ufanyie uchawa wako. Kuna mada nyingine unakomenti as if sio wewe.
 
Kachukue ujira wako wanao waende chooni.
Ana ujira Gani mwendawazimu huyu?? Hawazungumzii kuhusu ukosefu WA maji kwa week nzima wala mgao WA umeme WA zaidi ya masaa 12 kwa siku, wako na petty issues! Huu ni ujinga na uwendawazimu WA kiwango kikubwa Sana.

Halafu ndio utegemee Wapumbavu kama hawa washauri na kufanya Mambo ya msingi kwenye Taifa? Pumbavu
 
Ndio maana kuna nyakati ukijinasibu kama MTU critical huwa nakushangaa Sana, yaani hata kama ni uchawa, pascal angalia wapi ufanyie uchawa wako. Kuna mada nyingine unakomenti as if sio wewe.
Iko hivi
 
CHADEMA waanzishe channel yao ya radio na tv, wenzao CCM wana radio Uhuru, Channel ten TO fghjn5%, gazeti la uhuru plus wapiga makofi wengine kama Clouds, Wasafi n.k.
 
Ujinga tu kwani wangemuacha kungekuwa na shida gani?
Tatizo hivi vyombo navyo kujishtukia tu, unaweza kuta hata hawajapata hayo maelekezo kutoka juu basi tu shobo zao na kujishtukia basi unakuta wanachukua hatua kusitisha bila taarifa sahihi
 
Ndio muone sasa umuhimu wa kuwa na VYOMBO vyenu vya HABARI... mnaweza kusema ohoo havitosajiliwa, sawa ILA mlishajaribu kuomba kwa kufuata TARATIBU zote?..

Ombeni kwa kufuata taratibu zote, wakikataa, NJOONI kwa Wananchi
wananchi walikuwa wapi wakati hao jamaa walipofanyiwa figisu za kisiasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…