Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

Tundu Antipas Lissu ni Tishio.
Sioni sababu ya Kwanini wazuie yeye kuhojiwa tena wakiendelea kumchafua mama samia kwamba maagizo yametoka juu.

Hili linadhairisha huyu jamaa anafatiliwa na watu wengi sana na ni mtu hatari kwa serikali ya CCM.

hatuwezi kumkaba Messi akiwa katika court ya basketball ila akiwa Lebron james atakabwa maradufu.

Hivyo hivyo tukimpa mpira wa miguu Lebron James hatutamkaba ila mpira atakapokuwa nao messi ni lazima watu wachanganyikiwe

Hili jambo la Leo limeivua nguo CCM na kuonyesha maridhiano ya unafki na kuogopwa kwa mtu mmoja kama simba.
 
Lisu anashindwaje kujua hiyo wasafi mmiliki wake ni bonge la chawa la CCM? Aibu zingine ziepukike jamani.
 
Kwani lazima mahojiano, si aitishe press conference aseme ya kwake, asitafute lawama. huyu mgomvi
 
Wenye mamlaka walikua kitakacho tokea ndio maana wamewahi mapema, yani hapa kuna Hando pale Lissu pangechimbika mbona
 
Kwa akili zako nyingi unafikiri tcra watatoa license ya media ya chadema?
Aende Chanzo, au aje hapa.

Where we dare to talk openly.

Hatahivyo wakikidhi matakwa ya Leseni watapata. Shida nini tena?
 
Kudai haki yako ndo udikteta
Unajua maana ya udikteta wewe hivi uko shuleni mnaenda kusoma nini au mnaenda kukua
Kwa maneno yako hayo ndio unaona umepata haki?

Sasa mtu ashaambiwa , Mzee Interview hamna, yeye anaamua kwenda kuvamia na kugoma kuondoka, hiyo ni nini kama sio kiashiria cha ubabe.

Ndio, Ubabe ni Udikteta.
 
Kwanza nimefurahi sana ,nimekuwa natoa malalamiko hapa jf mara kadhaa kwamba ni chombo Cha Upinzani maana ukinadika mada ya kusifi Serikali na Rais mara nyingi lazima heading wabadili waweke Ile wanayoita.

Ukileta mada ya kuponda Serikali Kwa heading yenye ukakasi inapewa airtime ya kutosha.

Sasa nilikuwa najibiwa na Machadema humu kwamba niende kuandika kwenye majukwa ya ccm kwani humu sijaitwa.

Sasa Leo mumekutana na Rungu huko safi saaana ,tena mpigwe pini kote anzisheni ya kwenu au njooni jf mhojiane na kule kwenye bi blog vyenu 😁😁😁😁😁😁😁
 
Kwa maneno yako hayo ndio unaona umepata haki?

Sasa mtu ashaambiwa , Mzee Interview hamna, yeye anaamua kwenda kuvamia na kugoma kuondoka, hiyo ni nini kama sio kiashiria cha ubabe.

Ndio, Ubabe ni Udikteta.
Yeye ameuliza apewe sababu hakuna sehemu yeyote amevunja sheria wala sio ubabe

Unajua definition dictator ujinga unakusumbua katiba ya Tanzania inatoa freedom of speech
 

Yaani hapa nilipo Ninacheka vibaya sana, wangekuwa wamekataliwa na kituo Cha wasafi hapo ningeelewa, na Wala wasafi wasingeweza kuwakatalia maana kwa mara ya kwanza Leo wangekuwa na idadi kubwa ya wasikilizaji toka ilipoanzishwa. Lakini wamekatazwa na chama Cha majizi, kwa sababu ya wivu, na kutaka wawe wanasikilizwa wao tu kwenye upotoshaji. Acheni kuharibu biashahara za watu kwa kushurutisha kubaki madarakani.

Hapo ulipo umejaa fadhaha na aibu, maana unajua Hila zenu zinazidi kukaa wazi. Hicho kituo Cha wasafi sio machinery ya propaganda chafu za ccm, acheni kituo kiite watu wenye mvuto, kama mmefubaa fubaeni kimpango wenu sio kuharibu biashahara za wanaume.
 
Ratiba mzee,Lissu ana ratiba my ngi,huwezi kumuandaa kisaikolojia halafu ukaahirisha pasipo kutoa sababu maalum.
 

Halafu kuana watu wanafagilia R4 za Maza .... Ujanja ujanja tu wa maCCM....!!
 
Tatizo Lisu Hana self control hazingatii kanuni za TCRA akiongea vyombo vya habari

Ni mtu risk Kwa vyombo vya habari vyaweza fungiwa na TCRA labda mahojiano yafanyike Private wahariri ndio warushe Lakini akiongea Live Kuna uwezekano mkubwa chombo Cha habari kufungiwa na TCRA Kwa kukiuka maadili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…